kwa hiyo apandishe bei?Hili la kujaribu kuua viwanda vingine naona lina ukweli.
Analalamikia gharama za uendeshaji wakati bei ya cement yake ipo chini sana.
Tafakari hapo
Kanye 2016, acha ujinga.Kama unavyomjua sio eeh? wabongo bana, mtu hata kukujua hakujui unajifanya unamfahamu grow up, yeye kama Investor hawezi kuja na kuhonga, yeye lazima apewe ahadi nzuri ili aje kuchoma pesa zake, sasa tatizo aliempa ahadi ni nani ndo wakushtakiwa sio mnalaumu tu upande mmoja
kwanza unajuaje Dangote kakopa hela benki kujenga kiwanda?
second, hata Lukuvi katangaza juzi tena jamani, nashangaa hulijui hili, M-Nigeria au mjuba yeyote wa kuja nchi hii haruhusiwi kumiliki title deed ya ardhi Tanzania!
tuseme mara ngapi jamani?
title deeds za diaspora waliozaliwa hapa na baadae kuomba uraia nje title deeds zao zitapelekwa kwa Rais kufutwa, sembuse m-Nigeria kaja 2014 mwaka jana hapo jamani?
ardhi ya Tanzania ni kwa Watanzania natural born citizens, au kama wewe ni documented alien umeomba kuandikishwa uraia hapa ukapewa, tukishtukia kwamba hujakana wa kwenu huko ulikotoka wa hapa tunakufuta na ardhi tunataifisha.
niliposikia kwamba Dangote ardhi yenyewe kawekwa bure bure si yake ya kununua nikasema Alhamdullilah Allakuli Haal, Hadha Min Fadhil Rabbi, hizi ndio fadhila za Munyanzi Mngu, siku yeyote tukitaka tunamwambia Dangote huna chako hapa, sepa!
Ni rahisi kukwepa kodi na mambo mengine kama umeajiri wageni.
Wazawa wakiona kosa dogo lazima walilete hapa JF halafu magazeti wanalichukuwa.
Kaa kimyaHili andiko ni la kufikirika tu sasa sijui jamaa kashiba maharage ya wapi huyu
Lakini kama %80 yao wamekamata top positions ni tatizoHao wahindi hata 100 hawafiki mkuu
Walioingia naye mikataba ni ccm ....
Wanaovunja mkataba ni Ccm.....
Waliompokea ni Ccm......
Wanaotaka aondoke ni Ccm.....
Tafakari chukua hatua.........
Hujui wale wahindi wewe,nenda pale siku ya malipo uone masupplier wanavyonyanyasika ndio utajua wa hindi sio watu wa mchezo mchezo! Dangote hana clear business na his integrity is very questionable especially anavyofanya business etc.Uliza mabank,uliza watu wa mafuta,wafanyakazi ndio utajua. Mtu km huyu nchi haiwezi kufaidika kwa lolote,kodi halipi,ajira hatoi,malighafi anagiza kutoka nje,income yote anapeleka kwao na ulaya bado mnamtetea? Only in Tanzania! Aende akawekeze kenya uone km watamruhusu na haya maujanjajanja yakeTatizo watanzania tumezoea na tunataka mzungu aje mikono mitupu,tumpe ardhi aende bank akope,atunyonye kisha asepe zake ndiyo tutamuita muwekezaji.Kumbuka Dngote ana surplus ya pesa na viwanda nchi mbali mbali afrika hivyo hana hasara kama udhaniavyo.Wewe ndiye utapata hasara Kwa kuuziwa cement sh 15000
Mondoros
Jamaa sasa hivi wanadai awamu ya nne haikuwa yaoWalioingia naye mikataba ni ccm ....
Wanaovunja mkataba ni Ccm.....
Waliompokea ni Ccm......
Wanaotaka aondoke ni Ccm.....
Tafakari chukua hatua.........
NA SASA ANATETEWA NA CDM !Walioingia naye mikataba ni ccm ....
Wanaovunja mkataba ni Ccm.....
Waliompokea ni Ccm......
Wanaotaka aondoke ni Ccm.....
Tafakari chukua hatua.........
Mimi Huyu Dangote habari zake zimekuwa nyingi sana humu, ila sasa inanibidi mimi mwenyewe nitafute habari zake huko Nigeria ili nijue..
Kwa sababu, tunasikia kuwa kuna Hujuma zilikuwa zinafanywa na washindani wake akina Twiga ili kum-provoke Dangote ili ahamishe kiwanda chake, ila kwa hili, naweza kukubali maana, Ile siku Prof. Muhongo alienda na wazalishaji wa Saruji kule Mgodi wa NGAKA ili kuprove au Dis-prove uwepo wa makaa ya mawe, Ubora na wingi wake, Niliona kupitia Television mwakilishi mmoja wa kiwanda cha saruji akishangilia sana pale ambapo Prof. Muhongo alipotamka kuwa...."Tumejiridhisha kuwa makaa ya mawe yapo nchini na ni ya kutosha na ni bora, sasa sitatoa kibali cha kuagiza makaa ya mawe tena kwa mtu yeyote hata kama ni Dangote" huyo mwakilishi alishangilia sana hadi wenzie wakawa wanamzuia...pale nilipata kitu.
Kwa hiyo ili ku-deal na Dangote ni lazima tuangalie mikataba aliyoingia kwanza na hao Awamu ya Nne, inawezekana inatoa relief kwake.
Kuhusu, hilo la Bei ya bidhaa zake kuwa chini ili kuua viwanda vingine, TUME YA USHINDANI Ipo wapi?
True kabisa, lazima pawe na malalamiko ya unfair treatment, tumesikia kwa Steve Jobs, Marc na hata Bill GateHakuna tajiri aliyefanikiwa akafanya fair kwa watu
inaitwa fierce competition kama mtu huezi unakaa pembeniMbona baresa hamumsemi...
Boti zooote pale feri zinazopiga kazi ni yeye peke yake kajenga mpaka gati yake. Zile boti za kampuni nyingine zipo hoi zimepaki.