MarkHilary
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 1,760
- 2,025
Mkuu nimekuelewa, sitaki kufuata principle ya natural justice... Rais atume bulldozer kumi pale zikasafishe lile eneo...
Walioingia naye mikataba ni ccm ....
Wanaovunja mkataba ni Ccm.....
Waliompokea ni Ccm......
Wanaotaka aondoke ni Ccm.....
Tafakari chukua hatua.........
Hii ni kweli, Dangote huviua Viwanda vya nchi husika kwa kushusha bei kisha upandisha bei.
Halafu tujiulize kama angepewa gas bure au kwa bei ya chini je, Viwanda vingine vingene navyo vingepewa
vimeshanawiri sana mzee, nimeanza kujenga kitambo sana sijawahi kutumia sumenti ya huyo jamaa. na sidhani kama hata akisambaza namna gani kama cement yake itazidi ubora wa NYATI. hiyo nyati balaa, weka mbali na watoto.Hivo viwanda vyako vimeshindwa kunawiri kipindi hakuepo ndo vitanawiri akiondoka, Think Big kijana
Ni ajabuBaada ya nchi ya Morocco, Tanzania inafuatia kwa kuwa na watu wasiokuwa waaminifu duniani.
Siyo SUMENTI ni CEMENTvimeshanawiri sana mzee, nimeanza kujenga kitambo sana sijawahi kutumia sumenti ya huyo jamaa. na sidhani kama hata akisambaza namna gani kama cement yake itazidi ubora wa NYATI. hiyo nyati balaa, weka mbali na watoto.