Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,732
- 6,632
Ngoja nifike home nikae niisome
Bado siamini kama Dangote anaweza kung'oa mitambo yake pale Mtwara; Mitambo ya kutengeneza cement inafanana sana na mitambo ya migodini, hata kama akitaka kuiondoa still hawezi ngoa kila kitu, Dangote bado anakihitaji sana kiwanda chake ili aendelee kutengeneza pesa au hata kurudisha mtaji wake aliouzika pale. Hata kama sijafika Mtwara but ninakubaliana na mleta uzi kwa 90% cause malalamiko ya hao Wahindi yalianza kipindi kiwanda kinafunguliwa tu na pia tunao uzoefu na Wahindi wakiwa kwenye management ya biashara yoyote. Dangote anacha kupoteza zaidi kuliko sisi though atakua katuchafua huko kwenye nchi za watu cause habari zake hizi tayari lile jarida maarufu duniani limeisha andika kuhusu hili suala.Ukiona propaganda za "sizitaki mbichi hizi", zimezidi hivi ktk social media ujue hili saga limemwelemea Mjomba Magu na tujue tayari jamaa anajiandaa kung'oa mitambo ya kiwanda chake kukipeleka Kenya!!
Sasa mwoneni naye huyu, jamaa insha ndeefu na kila mstari umebebwa na na maneno..... jamaa ni tapeli .....tapeli.....tapeli, lakini cha ajabu hata hasemi alimtapeli nani, nini na wapi!!
Possibly, ukweli wa haya waweza kuwa ni the opposite.
Kwamba, inawezekana CCM ndiyo walikuwa wanataka kumtapeli jamaa na kwa kuwa kawashtukia na kama ilivyo asili yao kutapeli sasa wanajaribu kuigeuza picha up side down ili tushindwe kuisoma vyema!!
Katumwa huyooNaona mleta mada anashambuliwa kwa madongo ya ukweli na uongo. Huyu jamaa ameandika mengi na anajua mwenye kayatoa wapi. Mwenye ukweli tofautikuhusiana na Dangote, kando ya yaliyomo ndani ya mkataba ambao wengi wetu hatujauona, auseme hapa. Kuna mmoja amesema anafanya kautafiti kuhusu Dangote, which is fairly simple; afanye atuambie. Kwa wenzetu mlioko Dar mnaweza kuanzia Tanzania Investment Center. Mtu fulani anaweza kuja na more objective information kuhusu Dangote maana nahisi kuna kaukweli katka mada ila kaukweli kako kiudaku zaidi.
Mtoa mada nakuunga mkono. Kama management ipo chini ya wahindi bora waondoke tu hawa watu sio kabisa. Watu wa Arusha nadhani wanajua shida za wahindi pale A TO Z kisongo kuna unyanyasaji wa hali ya juu. Pia taasisi zinazokua chini ya wahindi ni shida hizohizo...hao wahindi walitaka wapewe gesi bure ili wapige cha juu na ndo zao. Kam kuna mtu anapinga viongozi wa serikali katika hili maana yake anaunga mkono mikataba ya kinyonyaji ya madini iendelee kutukamua.....Kaza Magufuli. Sikukuchagua lakini naamini utasimamia nidham na usawa, hakuna upendeleo vigezo na masharti kuzingatiwa kama hataki kununua makaa ya mawe ya bongo basi ayalipie kodi bandarini hayo anayotoa south
Hshahaaaa. Mtoa mada ni muongoUjinga wa hawa maccm yanadhani dangote anatuhitaj sisi wakat sisi ndo tunamhtaj dongote kupitiliza