Fahamu mambo mbalimbali kuhusu Kilimo cha Korosho

Baada ya miaka 3 unaanza kuvuna, inavumilia ukame , wadudu nq magonjwa, kwa ufupi ni polyclonal seeds
 
Nikiwa mwanzishaji wa uzi huu niwashukuru wote ambao mmechangia mada. Kwa ujumla mimi binafsi nimepata mwanga mkubwa katika kilimo cha korosho, naamini pia wengine wengi mmefaidika na uzoefu wa watu mbalimbali ktk zao hili.

Ni rai yangu kuwa tuendelee kupeana maarifa zaidi ili kila mmoja aweze kuongeza kipato kupitia kilimo cha korosho.
 
Wakuu Salaam,

Napenda kuwashirikisha kwenye fursa hii ya korosho tena, Nilihamasika na kufuatilia kilimo cha korosho katika mikoa ya kanda ya kati, yaani Dodoma na Singida.

Sina data za uhakika lkn kwa taarifa zilizopo ardhi ya Singida na Dodoma zinafaa sana kulima korosho na yield yake ni kubwa kushinda mikoa ya kusini.

Wilayani manyoni zimepandwa korosho nyingi sana karibu hekta 12000 na zinavutia kwa kweli, Kitu kizuri ardhi bado sio ghali huku nami nishaanza kuchukua mamia ya ekari kwa kilimo hiki.
 
Wakuu Salaams

Napenda kuwashirikisha kwenye fursa hii ya korosho tena, Nilihamasika na kufuatilia kilimo cha korosho katika mikoa ya kanda ya kati, yaani Dodoma na Singida.
Sina data za uhakika lkn kwa taarifa zilizopo ardhi ya Singida na Dodoma zinafaa sana kulima korosho na yield yake ni kubwa kushinda mikoa ya kusini.

Wilayani manyoni zimepandwa korosho nyingi sana karibu hekta 12000 na zinavutia kwa kweli, Kitu kizuri ardhi bado sio ghali huku nami nishaanza kuchukua mamia ya ekari kwa kilimo hiki.
Hongera mkuu na mimi ngoja niunge tela.
 
MREJESHO WA THREAD HII KUHUSU KOROSHO.

Napenda kuwashirikisha japo kwa uchache hatua niliyofikia baada ya kuandaa shamba la ekari 25. Hapa chini nimeweka picha za mikorosho niliyopanda japo changamoto ni nyingi sana na ukiwa muoga unaweza kuachia ngazi. Nilichojifunza: Fika mwenyewe shambani, epuka kuwaamini watu kwa kufanya kilimo cha simu
LUMUMBA
.
IMG-20191201-WA0086.jpeg
IMG-20191201-WA0082.jpeg
IMG_20191205_085453_3.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Salaam,

Napenda kuwashirikisha kwenye fursa hii ya korosho tena, Nilihamasika na kufuatilia kilimo cha korosho katika mikoa ya kanda ya kati, yaani Dodoma na Singida.

Sina data za uhakika lkn kwa taarifa zilizopo ardhi ya Singida na Dodoma zinafaa sana kulima korosho na yield yake ni kubwa kushinda mikoa ya kusini.

Wilayani manyoni zimepandwa korosho nyingi sana karibu hekta 12000 na zinavutia kwa kweli, Kitu kizuri ardhi bado sio ghali huku nami nishaanza kuchukua mamia ya ekari kwa kilimo hiki.
Heka 100 huko mtu unaweza kupata kwa shilingi ngapi?

God save us
 
Karibu kwa mahitaji ya Miche Bora ya korosho.
Korosho zinaanza kuzaa miaka 2.5- 3 tu.
Bei ya Miche ni shilingi 1000 tu
Tunapatikana Tumbi- Kibaha.
0766006128
0655715184
0783579456
FB_IMG_1578844973290.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me nauza ekari 10 zipo Lind manispaa ya Lind mijni Kijiji Cha likwaya zipo barabaran zote zina Miche ya mikorosho yenye umri mwaka na nasu kwa muhitaji karibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom