Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha Ekari moja ya Dragon

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
4,695
6,398
Ni mwaka Jana ndiyo nilifahamu kwa mara ya kwanza juu ya uwepo wa tunda liitwalo dragon.

Dragon ni kama jina la "utani"

Jina lake halisi, kama sikosei, ni PITAYA au MSHOKISHOKI.

Uchunguzi wangu nilioufanya umenibainisha kuwa zao hili lingali lina soko sana hapa Tanzania na hata Afrika Mashariki kwa ujumla
Nimejiridhisha kuwa ni uwekezaji sahihi kuufanya.

Naomba wadau wenye kufahamu zaidi wanijuze:
1. Ekari moja itahitaji miche mingapi?

2. Ikiwa nitaamua kununua miche kidogo kidogo, labda miche minne kila mwezi, itanichukua muda gani kukamilisha ekari moja?

3. Kuna ulazima wa kuwa na miundombinu ya umwagiliaji kwenye shamba husika?

4. Ni mambo gani ya kuzingatia sana unapoamua kufanya kilimo husika?

Ni hayo tu!

Asante🙏🙏🙏
 
Mmeshahama kwenye vanilla na chia seeds?
Ukulima "serious" nimeuanza hivi karibuni.

Sijawahi kulima vanilla wala chia, na sina uhakika kama ninayafahamu hayo mazao.

Hata dragon sina uzoefu nayo. Lakini ni kilimo ambacho bado changa sana Tanzania na hata Uganda. Ni kule Kenya ndiyo kimetamalaki.

Ukiona project inafanywa mpaka na mapadri wa Kanisa Catholic, ujue kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na faida. Simaanishi kuwa mapadri ndiyo kipimo, lakini mara nyingi hao si wakurupukaji pia. Kwa taarifa iliyopo ni kuwa wameshaanzisha hicho kilimo wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.
 

Attachments

  • Mr.Beatus_Malema_s_sentiments_on_a_Dragon_fruit_from_SJS_Organic_Farm_Kwanyange.(360p).mp4
    23.2 MB
Ukulima "serious" nimeuanza hivi karibuni.

Sijawahi kulima vanilla wala chia, na sina uhakika kama ninayafahamu hayo mazao.

Hata dragon Dina uzoefu nayo. Lakini ni kilimo ambacho bado chsnga sana Tanzania na hata Uganda. Ni kule Kenya ndiyo kimetamalaki.

Ukiona project inafanywa mpaka na mapadri wa Kanisa Catholic, ujue kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na faida. Simaanishi kuwa mapadri ndiyo kipimo, lakini mara nyingi hao si wakurupukaji pia. Kwa taarifa iliyopo ni kuwa wameshaanzisha hicho kilimo wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.
Mkuu Niko nje ya topic, natafuta mbegu za (lote tree) kwa kiswahili inaitwa kunazi.Sijui ntazipatia wapi.
 
Ni mwaka Jana ndiyo nilifahamu kwa mara ya kwanza juu ya uwepo wa tunda liitwalo dragon.

Dragon ni kama jina la "utani"

Jina lake halisi, kama sikosei, ni PITAYA au MSHOKISHOKI.

Uchunguzi wangu nilioufanya umenibainisha kuwa zao hili lingali lina soko sana hapa Tanzania na hata Afrika Mashariki kwa ujumla
Nimejiridhisha kuwa ni uwekezaji sahihi kuufanya.

Naomba wadau wenye kufahamu zaidi wanijuze:
1. Ekari moja itahitaji miche mingapi?

2. Ikiwa nitaamua kununua miche kidogo kidogo, labda miche minne kila mwezi, itanichukua muda gani kukamilisha ekari moja?

3. Kuna ulazima wa kuwa na miundombinu ya umwagiliaji kwenye shamba husika?

4. Ni mambo gani ya kuzingatia sana unapoamua kufanya kilimo husika?

Ni hayo tu!

Asante
Dragon fruits au Pitaya ni tunda lenye asili ya Mexco, kwa Mexco linaitwa pitaya na ndio liliko anzia, ila kwa Asia liliingia China na kule ndio kuitwa Dragon.

Dragon kuna varieties kama 3 zenye spicies zaidi ya 150

  • White
  • Red
  • Purple/Pink

Sasa katika hizo kuna spicies zaidi ya 150

Dragon kama ilivyo na spicies nyingi sana pia kuna kila moja na tabia zake.

Dragon kuna ambazo ni Self pollination, Hand and Self pollination na Hand pollination.

Ekari moja inaweza chukua cuttings 2000 ambazo ni sawa na nguzo 500 na kila nguzo moja zina kaaa cuttings 4.

Ukiotesha cuttings zilizo komaaa kutoka kwa mother plants itakuchukua mwaka na kupata matunda na ukitumia mbegu yaani seeds ni miaka 4 hadi 5.

Umbali kati ya nguzo na nguzo ni mita 2
 
Ni mwaka Jana ndiyo nilifahamu kwa mara ya kwanza juu ya uwepo wa tunda liitwalo dragon.

Dragon ni kama jina la "utani"

Jina lake halisi, kama sikosei, ni PITAYA au MSHOKISHOKI.

Uchunguzi wangu nilioufanya umenibainisha kuwa zao hili lingali lina soko sana hapa Tanzania na hata Afrika Mashariki kwa ujumla
Nimejiridhisha kuwa ni uwekezaji sahihi kuufanya.

Naomba wadau wenye kufahamu zaidi wanijuze:
1. Ekari moja itahitaji miche mingapi?

2. Ikiwa nitaamua kununua miche kidogo kidogo, labda miche minne kila mwezi, itanichukua muda gani kukamilisha ekari moja?

3. Kuna ulazima wa kuwa na miundombinu ya umwagiliaji kwenye shamba husika?

4. Ni mambo gani ya kuzingatia sana unapoamua kufanya kilimo husika?

Ni hayo tu!

Asante
Dragon Irigation ni mujimu kiasi hasa wakati wa maua, kama Dragon itatoa maua na kuwe na ukame basi ina abort yale mau yote.

Dragon yes unaweza anza hata na cuttings chache tu
 
Mmeshahama kwenye vanilla na chia seeds?
Dunia inakuwa kijiji mkuu, wacha kukalili life, Dunia ina crops nyingi sana, na usipangie watu au mtu kitu cha kulima, nchi hii ni freee Market, ukiona wewe labda kitu fulani ndio una kipenda wewe fanya. Kwani Vannila sio zao? Vannila ni cash crop yes. sijui unataka nini hasa bado sijajua point yako.
 
Dunia inakuwa kijiji mkuu, wacha kukalili life, Dunia ina crops nyingi sana, na usipangie watu au mtu kitu cha kulima, nchi hii ni freee Market, ukiona wewe labda kitu fulani ndio una kipenda wewe fanya. Kwani Vannila sio zao? Vannila ni cash crop yes. sijui unataka nini hasa bado sijajua point yako.
Baada ya maelezo yako marefu hayo ndo unakumbuka kuwa hujaelewa pointi yangu?
 
Ukulima "serious" nimeuanza hivi karibuni.

Sijawahi kulima vanilla wala chia, na sina uhakika kama ninayafahamu hayo mazao.

Hata dragon Dina uzoefu nayo. Lakini ni kilimo ambacho bado chsnga sana Tanzania na hata Uganda. Ni kule Kenya ndiyo kimetamalaki.

Ukiona project inafanywa mpaka na mapadri wa Kanisa Catholic, ujue kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na faida. Simaanishi kuwa mapadri ndiyo kipimo, lakini mara nyingi hao si wakurupukaji pia. Kwa taarifa iliyopo ni kuwa wameshaanzisha hicho kilimo wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.
Dragon ni Food crops, unaweza lima kwa ajili ya chakula ni sawa na kulima mapera, au machungwa na kadhalika, ni tunda ambalo liko tiyari kuliwa so ni Chakula.

Tanzania kuna intergration sana ya watu, kuna foregners wengi wanakuja wanaishi Tanzania hawa wana utamaduni wao wa vitu wanavyo pendelea na ndio maana ukienda Suoer Market kuna aina za matunda ambazo nina uhakika humu watu hawajahi hata kusikia majina yao ila Zinakuwa imported kwa wingi. Sasa Bongo kosa useme unataka kulima utasikia utapeli.

Wapumbavu wanataka watu wote walime t traditional crops
 
Siyo kweli mkuu. Nafikiri yanalipa, ni ubunifu wako tu. Natarajia kuyalima mwaka huu.

Matikiti yanalipa, lakini dragon fruits yanalipa zaidi. Zote hizo ni fursa.
Swala sio yanalina, swala ni kwamba ni tunda chakula na pia kwa sababu ya Intergration, ni lazima watu walime, sasa shida ni kwamba Bongo ujinga mwingi sana,
 
Baada ya maelezo yako marefu hayo ndo unakumbuka kuwa hujaelewa pointi yangu?
Nyie ni wapumbavu ambao mko humu kuharibu tu, yaani mtu akija na Idea yake au post yake ni lazima wachawi kama weww uje na post negative, ni lazima uje na coment negativ? Maana ya kusema watu wamehama kwenye Vannila na Chia seeds ni nani?

So kama watu wanalima Vannila au Chia seeds hawapaswi kulima kitu kingine kile? Punguzeni ujinga
 
Nyie ni wapumbavu ambao mko humu kuharibu tu, yaani mtu akija na Idea yake au post yake ni lazima wachawi kama weww uje na post negative, ni lazima uje na coment negativ? Maana ya kusema watu wamehama kwenye Vannila na Chia seeds ni nani?

So kama watu wanalima Vannila au Chia seeds hawapaswi kulima kitu kingine kile? Punguzeni ujinga
PUMBAVU.
 
Back
Top Bottom