LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 2,958
- 5,564
Shukrani
Shukrani
Mkuu, unaweza kupanda mazao mengine kwenye shamba la mikotosho hasa inapokuwa bado midogo?Nashukuru sana kwa maelezo yako. Na nilijaribu kuyafanyia kazi mwaka huu sema nilishindwa kutokana na sabab zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Ko nilifanikiwa kupulizia mara mbili tuu. (Kutokana na ghalama za viwatilifu kuwa juu) ila mwakani tumejipanga maana tumeshaandaa viwatilifu na kila kitu (serikali imetuletea huku katavi) mvua hizi zinazoanz zikiisha tuu Mungu akijalia tutaanza mapema ili tupige sumu na dawa kwa zaidi ya mara 6 kabla ya mavuno. Nashukuru sana kwa maelekezo yako. MUNGU AKUBALIKI
Unaweza kupanda kiongoziMkuu, unaweza kupanda mazao mengine kwenye shamba la mikotosho hasa inapokuwa bado midogo?
🙏🙏🙏Unaweza kupanda kiongozi
Nashukuru sana kwa maelezo yako. Na nilijaribu kuyafanyia kazi mwaka huu sema nilishindwa kutokana na sabab zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Ko nilifanikiwa kupulizia mara mbili tuu. (Kutokana na ghalama za viwatilifu kuwa juu) ila mwakani tumejipanga maana tumeshaandaa viwatilifu na kila kitu (serikali imetuletea huku katavi) mvua hizi zinazoanz zikiisha tuu Mungu akijalia tutaanza mapema ili tupige sumu na dawa kwa zaidi ya mara 6 kabla ya mavuno. Nashukuru sana kwa maelekezo yako. MUNGU AKUBALIKI
Ndio ndio unaweza ukapanda kabisa maana hata sisi ndivyo hufanya huku.Mkuu, unaweza kupanda mazao mengine kwenye shamba la mikotosho hasa inapokuwa bado midogo?