Fahamu mambo mbalimbali kuhusu Kilimo cha Korosho

Nashukuru sana kwa maelezo yako. Na nilijaribu kuyafanyia kazi mwaka huu sema nilishindwa kutokana na sabab zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Ko nilifanikiwa kupulizia mara mbili tuu. (Kutokana na ghalama za viwatilifu kuwa juu) ila mwakani tumejipanga maana tumeshaandaa viwatilifu na kila kitu (serikali imetuletea huku katavi) mvua hizi zinazoanz zikiisha tuu Mungu akijalia tutaanza mapema ili tupige sumu na dawa kwa zaidi ya mara 6 kabla ya mavuno. Nashukuru sana kwa maelekezo yako. MUNGU AKUBALIKI
Mkuu, unaweza kupanda mazao mengine kwenye shamba la mikotosho hasa inapokuwa bado midogo?
 
Nashukuru sana kwa maelezo yako. Na nilijaribu kuyafanyia kazi mwaka huu sema nilishindwa kutokana na sabab zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Ko nilifanikiwa kupulizia mara mbili tuu. (Kutokana na ghalama za viwatilifu kuwa juu) ila mwakani tumejipanga maana tumeshaandaa viwatilifu na kila kitu (serikali imetuletea huku katavi) mvua hizi zinazoanz zikiisha tuu Mungu akijalia tutaanza mapema ili tupige sumu na dawa kwa zaidi ya mara 6 kabla ya mavuno. Nashukuru sana kwa maelekezo yako. MUNGU AKUBALIKI

Kila jema mkuu
 
Back
Top Bottom