Mimi ni mdau wa kilimo. Nina mashamba kadhaa baadhi ya mikoa. Ila natafuta mdau mwenye mzuka wa kilimo tulime, kwa shamba langu liliopo Mkoa wa pwani, Wilaya ya Kisarawe, kijiji cha Kisanga ekari 6. Shamba lina maji ya kutosha.
Kilimo cha umwagiliaji kinalipa. Njoo tulime
Kilimo cha umwagiliaji kinalipa. Njoo tulime