Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Mhhhh iyo ya kinyama ishanipita kushoto kwasababu mi sigusi nyama mbichi kabisa hata iweje. Kama hakuna mtu mwingine atakayei andaa nyama na kuipika basi ntaisikia tu kwa jirani. Lakini wakuu naombeni kuuliza nasikia huko mahotelini kuna vitu vya ajabu sana vinafanyika. Salaleeeee maana kila siku mchana lazima nile hotelini kutokana na kuwepo kazini! Jamani si tushakula vya ajabu sana(terrible)
 
Pumbavu zako unafundisha with

Mkuu ni wapi niliposema nafundisha? Huoni kwa uzi huu nimetoa hadhari kubwa kwa wanaume wenzangu? Huoni kuwa uzi unatoa fursa kwa ndg ama jamaa kufuatilia kwa karibu kinachowasibu jamaa zao wa kiume endapo ataonekana na mwenendo ama tabia zisizoeleweka na huku akipelekwa pelekwa na mke ama mpenzi wake, ikawa sababu tosha ya ndg ama jamaa kutafakari na kuchukua hatua?
Mkuu mbona unanishutumu bila sababu? Baada ya uzi huu kutoka, ni wangapi wameelezea namna wanavyoyajua mambo haya? Je, hao na nimewafundisha mimi? Mkuu mbona hufikirii kwa kina?

Mbona neno langu sio bible kwamba kufuata ni lazima! Ni wangapi wamekuambia wameelimika baada ya mafundisho yangu? Mkuu ungepita kimya kimya ungepungukiwa na nini? lakini nakushukuru angalau na wewe umeonekana umechangia mada!
 
kwa nini hizi technologia zisingefanyiwa marekebisho afu watoe kitu kama 'limbwata: investment version' halafu wale wanaoiba madini yetu badala ya kupeleka kwao, wawe wanachimba wanasafisha then wanatupa sisi bila percentage yoyote. ila seriously, kwa nn hizi technologia hazitusaidii kama nchi?! maana naona tuna-misuse resource hii!
 
wanaume awanaga ayo mambo ata kidogo

ukitakata usidhurike na hyo kitu ogea mafuta ya nguruwe hata achukue mzigo wote wa mav.uzi limbwata halikupati sana sana ndo unazd kuwa ndimu. Madame B na slim5 tuelekezeni namna ya kuepuka pia
 
Last edited by a moderator:
wakuu kwa wapenda movie za naigeria angalieni golden moon ndo utajua nini maana ya limbwata!
 
ukitakata usidhurike na hyo kitu ogea mafuta ya nguruwe hata achukue mzigo wote wa mav.uzi limbwata halikupati sana sana ndo unazd kuwa ndimu. Madame B na slim5 tuelekezeni namna ya kuepuka pia

Nawe uko kwenye listi.
Nitatundika jina lako juu ya ule muarobaini pale barazani kwako.
Afu uone kimbembe chake.....nakuinamisha kama kondoo.
 
Last edited by a moderator:
Nawe uko kwenye listi.
Nitatundika jina lako juu ya ule muarobaini pale barazani kwako.
Afu uone kimbembe chake.....nakuinamisha kama kondoo.

pale c pana upepo angalau sitazidiwa pia mie naogea mafuta ya nguruwe viuchawi mshenzi havinipati
 
pale c pana upepo angalau sitazidiwa pia mie naogea mafuta ya nguruwe viuchawi mshenzi havinipati

....hayo mafuta mbona sikuwahi kuyaona bafuni kwako?
tunalala na kuamka wote,....wala sikuwahi kukuona ukipaka achilia mbali kuyaogea.
Hahahahaha......ngoja urudi, labda usinitafute.
 
Kama akiweza kuweka kipande cha nyama papuchini wiki nzima, kikaoza then akakuwekea kwenye chakula, ni kitu gani kitamzuia kukuwekea sumu siku akiamua?

Bado nafikiria maumbile ya mwanamke na jinsi hicho kipande cha nyama kinavyokaa huko ndani siku zote hizo.
 
Kama akiweza kuweka kipande cha nyama papuchini wiki nzima, kikaoza then akakuwekea kwenye chakula, ni kitu gani kitamzuia kukuwekea sumu siku akiamua?

Bado nafikiria maumbile ya mwanamke na jinsi hicho kipande cha nyama kinavyokaa huko ndani siku zote hizo.

....kitafichwa katikati ya mashavu ya uke.
 
umesahau moja ,maji yaliyooshea maiti unanyeswa wewe mwanamme uankuwa kama maiti hufurukuti
 
Na ndo maaana tunashauri siku zote usile chakula kilichopikwa na mwanamke ambae sio mke wako wa ndoa.hii itasaidi kuepuka kunyweshwa hayo mavitu..
 
Back
Top Bottom