Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Hiyo ya kinyama huyo mwanamke atakuwa haoshi hiyo K yake? Maana umesema siku kadhaa anakuwa amekihifadhi hicho kinyama. Ukitaka mwanaume usipewe limbwata kuwa na wanawake wengi tu nguvu zitagongana na kurepel

Wanaume tumeumbwa mateso...hyo nyama plus nyama ya ile kitu tena inatakiwa iwe kipind cha period.
 
slim5, kweli mnofu uwekwe sehemu hizo kwa siku kadhaaaaaaaaa....... bila kuhatarisha afya ya mbebaji? I have serious doubts na ukweli wa hii OPTION. Thanx for ur efforts

As if you were in my mind.
 
Last edited by a moderator:
Ipo nyingine pia,inafanana na hiyo ya kinyama lakini hii hawatumii nyama instead wanatupia njugu
mawe nyeusi kwenye papuchi kwa siku kadhaa akiichomoa anaisaga,anachanganya na dawa alopewa na Sangoma then unawekewa kwenye msosi! (Usukumani)

Kuna nyingine ambayo ni mchanganyiko Wa mizizi Kama 8 hivi,na moja Kati ya mizizi hiyo uwe WA mti ulio uzidi urefu mti mwingine mfano,mti WA kwanza umeota 2009 then WA pili ukaota 2010 lakini ikawa imekaribiana Sana na huo WA 2010 ukawa mrefu kuliko huo WA 2009. PIA Kuna vitu kibao vinachanganywa eg Kuna panzi Fulani hawanaga mabawa hivyo hawawezi kuruka kwenda mbali(hukaushwa Kisha husagwa)then unga huchanganywa na madude kedekede.Hii huchanganywa kwenye maji ya kuoga mhusika(me) Hapa kidume hafungui zipi nje ya nyumba yake labda awe anataka kukojoa(hagegedi mwingine zaidi ya mkewe hata akimwona Hg Yuko uchi wala hadindishi) USINIULIZE WIFE AKIFA INAKUWA AJE!!!!
 
nilimtongoza mnaijeria akaniambia nina boyfriend kwetu,akaonyesha alama mkononi kwamba alichanjwa na mpenzi wake na yeye alimchanja,yaani ukichanjwa unalamba dam kwamba hutasaliti..................mmmh baadaye mbona alijisahau...........halafu nirudishe mle

huyo alichanjwa kwa ajili ya Yamini....waligusanisha damu.
Yamini hii kuaguliwa kwake:
1....watafutwe wazee walioitengeneza hii yamini, ili uaguliwe kabla mmoja hajafa la sivyo jua kuwa kila mwanaume atakayekuoa lazima afe.
2....endapo utakuja kustuka kuwa wataka kuaguliwa na mmoja ameshakufa,....wazee waliosoma hukukutanisha wewe na marehemu juu ya shuka ambalo mmeshawahi kulitumia kwa kuchanjwa mikono na kuwagusanisha damu.
....maiti ikikubali kutengua yamini....basi damu yake na yenu huwa inapotea juu ya mkono ila isipokubali basi damu ya marehemu huwa juu ya mkono wake.
....kumbuka maiti iliyokaa mochwari haitenguliwi yamini.....itakula kwako.
Epuka kufanya vitu kwa shinikizo.
 
huyo alichanjwa kwa ajili ya Yamini....waligusanisha damu.
Yamini hii kuaguliwa kwake:
1....watafutwe wazee walioitengeneza hii yamini, ili uaguliwe kabla mmoja hajafa la sivyo jua kuwa kila mwanaume atakayekuoa lazima afe.
2....endapo utakuja kustuka kuwa wataka kuaguliwa na mmoja ameshakufa,....wazee waliosoma hukukutanisha wewe na marehemu juu ya shuka ambalo mmeshawahi kulitumia kwa kuchanjwa mikono na kuwagusanisha damu.
....maiti ikikubali kutengua yamini....basi damu yake na yenu huwa inapotea juu ya mkono ila isipokubali basi damu ya marehemu huwa juu ya mkono wake.
....kumbuka maiti iliyokaa mochwari haitenguliwi yamini.....itakula kwako.
Epuka kufanya vitu kwa shinikizo.
zamani alisema havunji maagano,nilikula kisiri,now kasahau analiwa na rafiki yangu mbongo,mmmmh so jamaa atarest?inatisha kwa maelezo yako
 
zamani alisema havunji maagano,nilikula kisiri,now kasahau analiwa na rafiki yangu mbongo,mmmmh so jamaa atarest?inatisha kwa maelezo yako

No,yawezekana akawa katenguliwa na wazee.
Ila endapo hajatenguliwa jua akimuoa huyo mwanamke lazima afe labda ajiwahi kwa madawa.
...Ila mbona una wasiwasi au ni wewe mkuu?
 
No,yawezekana akawa katenguliwa na wazee.
Ila endapo hajatenguliwa jua akimuoa huyo mwanamke lazima afe labda ajiwahi kwa madawa.
...Ila mbona una wasiwasi au ni wewe mkuu?
siyo mimi,nina wasiwasi na ww mkuu
 
huyo alichanjwa kwa ajili ya Yamini....waligusanisha damu.
Yamini hii kuaguliwa kwake:
1....watafutwe wazee walioitengeneza hii yamini, ili uaguliwe kabla mmoja hajafa la sivyo jua kuwa kila mwanaume atakayekuoa lazima afe.
2....endapo utakuja kustuka kuwa wataka kuaguliwa na mmoja ameshakufa,....wazee waliosoma hukukutanisha wewe na marehemu juu ya shuka ambalo mmeshawahi kulitumia kwa kuchanjwa mikono na kuwagusanisha damu.
....maiti ikikubali kutengua yamini....basi damu yake na yenu huwa inapotea juu ya mkono ila isipokubali basi damu ya marehemu huwa juu ya mkono wake.
....kumbuka maiti iliyokaa mochwari haitenguliwi yamini.....itakula kwako.
Epuka kufanya vitu kwa shinikizo.

aiseeeeeeeee yamini iliwafaa zamani uaminifu ulikuwa wa hali ya juu lakini zama hizi mmhh hapana
 
mkuu kabanga kwa bahati mbaya, mlishwa limbwata hawezi kujua kamwe, ila salama yako ni pale ndugu na jamaa zako watakaposhtuka na kukuonea huruma, watakapoamua kuhangaika kwa ajili yako labda wanaweza kukuokoa.

hii inakuwa hatari kubwa..... yote ni mapenzi au mali...?
 
Back
Top Bottom