Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

daaaah mkuu cjawahi kucheka kama leo yani hadi machozi yamenitoka kwa kicheko, nashukuru Mungu cjawahi kula kinyama ni hatari
madem wa kirangi wanaweka kwanza nyama kwenye sehemu za halafu ndo unaletewa,ukila tu utadataje na mtoto wa kirangi
 
ukifanikiwa usisahau kurudisha shukran huku!

Usijali lazima nitoe ushuhuda
We Excel usilete mambo ya kuzuga poa lakini.
Mie nina bepari mmoja hapa nataka mtaji nifanye biashara ya diamond.
Umamantilie ushanchosha mie.
Yaani bora utoe ushirikiano utakula mema ya nchi kuliko unavyozuga
 
Last edited by a moderator:
Dadiiiii l love you dadiiiiii.....
Dadiiiiii l love you dadiiiiii.....
love you too my dear daughter!

i have missed you soo much!

i-miss-you-so-much.jpg
 
Usijali lazima nitoe ushuhuda
We Excel usilete mambo ya kuzuga poa lakini.
Mie nina bepari mmoja hapa nataka mtaji nifanye biashara ya diamond.
Umamantilie ushanchosha mie.
Yaani bora utoe ushirikiano utakula mema ya nchi kuliko unavyozuga

Hahahaaa! angalia hilo bomu la nyuklia lisije likapinda likamwangukia mlinzi wa getini! nakwambia utalia na kusaga ma.----!

mbona mabepari ya vicfish pale yako peace tu!

mugambile wayanda amahela mulungi wange!

nkugambile inkintu?

ngambila olinka?
 
Kichuguu damu
Jina la muhusika huandikwa ndani ya chungu kidogo kwa kutumia damu yako kisha kama una nywele za muhusika huwekwa ndani ya hiko chungu na kwenda kupasuliwa juu ya kichuguu.
....siku 3 nyingi, muhusika anakuwa zezeta juu yako.
Hasikii la mwadhini wala mswalisha swala msikitini.
Ila madhara yake ni kuwa mganga aliyefanya hiyo dawa akifa....muhusika nae huweza kufa....hivyo ukiona mganga wako anaumwa, omba akaunti namba za bwana wako kabisa.
Limbwata hii haiaguliwi.
 
Kichuguu damu
Jina la muhusika huandikwa ndani ya chungu kidogo kwa kutumia damu yako kisha kama una nywele za muhusika huwekwa ndani ya hiko chungu na kwenda kupasuliwa juu ya kichuguu.
....siku 3 nyingi, muhusika anakuwa zezeta juu yako.
Hasikii la mwadhini wala mswalisha swala msikitini.
Ila madhara yake ni kuwa mganga aliyefanya hiyo dawa akifa....muhusika nae huweza kufa....hivyo ukiona mganga wako anaumwa, omba akaunti namba za bwana wako kabisa.
Limbwata hii haiaguliwi.
nilimtongoza mnaijeria akaniambia nina boyfriend kwetu,akaonyesha alama mkononi kwamba alichanjwa na mpenzi wake na yeye alimchanja,yaani ukichanjwa unalamba dam kwamba hutasaliti..................mmmh baadaye mbona alijisahau...........halafu nirudishe mle
 
Mmmh hicho kinyama kikiekwa mf. Siku tatu ama nne si kinaoza aisee ...

Hahahahah halafu njemba inakuja tafuna

Ptuuuuuuuuuuuuuu..
 
Mi mbona limbwata langu sijaliona hapo banaaaa
 
Kichuguu damu
Jina la muhusika huandikwa ndani ya chungu kidogo kwa kutumia damu yako kisha kama una nywele za muhusika huwekwa ndani ya hiko chungu na kwenda kupasuliwa juu ya kichuguu.
....siku 3 nyingi, muhusika anakuwa zezeta juu yako.
Hasikii la mwadhini wala mswalisha swala msikitini.
Ila madhara yake ni kuwa mganga aliyefanya hiyo dawa akifa....muhusika nae huweza kufa....hivyo ukiona mganga wako anaumwa, omba akaunti namba za bwana wako kabisa.
Limbwata hii haiaguliwi.

Yote hayo ya niniii labda kama simpendi mume wangu ndio ntafanya hivyo
Thubutuuuu
 
Back
Top Bottom