mkubwa haya.....ila utajuaje ikiwa umerishwa hilo limbwata....?
Mkuu princess sayuni uko sahihi, karibia kila kabila wana technolojia yao ya limbwata, na kumbuka Tanganyika tuna makabila zaidi ya 120, so kuna zaidi ya aina 100 za limbwata!
Huu ni Ukombozi wa mwanamke asiyejiamini.
duuu! Kumbe kuna limbwata ee..koz k ninayo ngoja nijaribu
kumwekea mwafulani...hivi ni mpaka nimwone sangoma au naeza nunua nyama na kuinuwia mwenyewe?msaada jamani
Mkuu kapalamsenga huwa iko hivi, mwanamke anaambiwa na mganga kwa mf. hiki kinyama kikae kumani kwa siku 5, na anaambiwa achague labda kukiweka kutwa nzima, basi jioni anakitoa na anaosha K! anaweka kukiweka usiku, na asubuhi anaosha kumani! Si kwamba kinakaa 24 hrs
me nahisi nimepewa iyo ya kifaranga,....
Ndo vizuri utulie
Lakini nilisikia hiyo limbwata ina 'expire date'.
Duuu! Kumbe kuna limbwata ee..koz k ninayo ngoja nijaribu
Kumwekea mwafulani...hivi ni mpaka nimwone sangoma au naeza nunua nyama na kuinuwia mwenyewe?msaada jamani
me nahisi nimepewa iyo ya kifaranga,....
Enheee