Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Hiyo ya kinyama huyo mwanamke atakuwa haoshi hiyo K yake? Maana umesema siku kadhaa anakuwa amekihifadhi hicho kinyama. Ukitaka mwanaume usipewe limbwata kuwa na wanawake wengi tu nguvu zitagongana na kurepel

Mkuu kapalamsenga huwa iko hivi, mwanamke anaambiwa na mganga kwa mf. hiki kinyama kikae kumani kwa siku 5, na anaambiwa achague labda kukiweka kutwa nzima, basi jioni anakitoa na anaosha K! anaweka kukiweka usiku, na asubuhi anaosha kumani! Si kwamba kinakaa 24 hrs
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kapalamsenga huwa iko hivi, mwanamke anaambiwa na mganga kwa mf. hiki kinyama kikae kumani kwa siku 5, na anaambiwa achague labda kukiweka kutwa nzima, basi jioni anakitoa na anaosha K! anaweka kukiweka usiku, na asubuhi anaosha kumani! Si kwamba kinakaa 24 hrs

Kwa siku zote hizo lazima kinyama kitoe harufu mbaya!
 
khaaaa... sili tena msosi kwa mdada yoyote, yani ndo mambo haya!!! unaanzaje kukaa na kipande cha nyama uko chini...
 
Mi nikila kinyama hakyanani siku ya pili mkija nyumbani hamnikuti kwa sababu nitakuwa nimeanza kula ugari wa bure Segerea kwa sababu nitakuwa nimeshamtanguliza mtu mbele za haki.
 
Hii ya kinyama inapendwa sana hata uchagani anaweka kinyama kwenye k kinakaa siku tatu hafu wanadai ili likolee lazima upike na mboga ya majani hapo mwanaume hufuruki ila nyingine ya kumnenea usiku wa manane na kumpiga mqanaume upofu asione wengine ni wewe tu hii ni nzuri haina madhara unaweza ukamfungua mwenyewe ila ya mganga inaweza kumfanya mwanaume zuzu kabisa
 
Hii ya kinyama inapendwa sana hata uchagani anaweka kinyama kwenye k kinakaa siku tatu hafu wanadai ili likolee lazima upike na mboga ya majani hapo mwanaume hufuruki ila nyingine ya kumnenea usiku wa manane na kumpiga mqanaume upofu asione wengine ni wewe tu hii ni nzuri haina madhara unaweza ukamfungua mwenyewe ila ya mganga inaweza kumfanya mwanaume zuzu kabisa

Mkuu princess sayuni uko sahihi, karibia kila kabila wana technolojia yao ya limbwata, na kumbuka Tanganyika tuna makabila zaidi ya 120, so kuna zaidi ya aina 100 za limbwata!
 
Last edited by a moderator:
Mi nikila kinyama hakyanani siku ya pili mkija nyumbani hamnikuti kwa sababu nitakuwa nimeanza kula ugari wa bure Segerea kwa sababu nitakuwa nimeshamtanguliza mtu mbele za haki.
Mkiu ni hivi, hiyo akili ya kumtanguliza mtu kwa muumba, hutakuwa nayo kwa vile ushatengenezwa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom