Mwanamme asiyekuwa na uhakika wa kumtimizia mkewe ni shida sana. Kama alimpata huyo mwanamke kwa kutishwa kuachwa basi kila siku hatathubutu kumwuliza ulikuwa wapi. Miaka inapozidi kuyeyuka ndivyo hofu ya kuachwa inaongezeka. Kidume miaka 20+ hajawahi kumvua mwanamke pichu. Akiija kukutana na kicheche si ndiyo anamfia?
Mjamaa mmoja alioa, siku ya ndoa usiku akapiga kelele, nimeua, nimeua, akidhani ametokezea nje upande wa pili wa mtu kuona alivyozama. Huyu unategemea aweze kutongoza mwingine?? Hakuna limbwata.
Mjamaa mmoja alioa, siku ya ndoa usiku akapiga kelele, nimeua, nimeua, akidhani ametokezea nje upande wa pili wa mtu kuona alivyozama. Huyu unategemea aweze kutongoza mwingine?? Hakuna limbwata.