Angelicious
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 869
- 499
Aiseeed.....ni sheeeeda
Pengine ni kwa vile bado hayajakukuta.katika vitu sijawahi kuwaza kutumia ni pamoja na hiyooo
Pengine ni kwa vile bado hayajakukuta.
katika vitu sijawahi kuwaza kutumia ni pamoja na hiyooo
slim5, kweli mnofu uwekwe sehemu hizo kwa siku kadhaaaaaaaaa....... bila kuhatarisha afya ya mbebaji? I have serious doubts na ukweli wa hii OPTION. Thanx for ur effortsJamani mmeshinda poa!
Kinyama[/B]
Hii kitu kuna siku Mkuu MziziMkavu aliielezea vizuri tu. Katika hili, kipande kidogo cha nyama mfano wa mnofu mmoja wa "mshikaki" huwekwa katika maku ya mtaka tiba, kwa muda wa siku kadhaa kulingana na masharti ama maelekezo ya mganga husika "fundi", baadae kinyama hiki hupikwa na sehemu nyingine ya kitoweo kama mboga na kuliwa. Mlengwa wa limbwata ataathirika mara tu baada ya kula mlo uliohusiha mboga yenye kinyama hiki! Wanaoipenda njia hii wanasema ni ngumu sana kumuagua mwanaume alielishwa kinyama
shida ya kujipeleka kwenye mchepuo wa shirki ni kuwa KIALI unabaki kuwa tegemezi wa option hiyo
sihitaji kwakweli
Hii imeshika usukani maeneo ya Bukoba Mjini na viunga vyake, according to my experience.
Kuna wanafunzi wenzangu wengi tu mpaka tunahitimu kidato cha sita na wengineo wa kidato cha nne, wameshalishwa hii kitu na shule ikawashinda!
Yani machiz wangu kibao tu walikuwa wanaletewa menyu za maana sana wakati tuko bweni, basi wanazigonga wakisifia madem zao kuwapenda kishenzi! kumbe hiyo ni mitego tu mingine!
Aisee Bk kwa maoni yangu ni hatari kwa hii kitu!
waulize hata wenyeji watakwambia!
Mpaka naondoka Bk mwaka 2012 niliogopa sana kuanzisha mahusiano na binti yeyote yule kuhofia kugeuzwa zoba na kuharibu masomo yangu! dah, hii kitu ni mbaya sana asikwambie mtu...
Hii imeshika usukani maeneo ya Bukoba Mjini na viunga vyake, according to my experience.
Kuna wanafunzi wenzangu wengi tu mpaka tunahitimu kidato cha sita na wengineo wa kidato cha nne, wameshalishwa hii kitu na shule ikawashinda!
Yani machiz wangu kibao tu walikuwa wanaletewa menyu za maana sana wakati tuko bweni, basi wanazigonga wakisifia madem zao kuwapenda kishenzi! kumbe hiyo ni mitego tu mingine!
Aisee Bk kwa maoni yangu ni hatari kwa hii kitu!
waulize hata wenyeji watakwambia!
Mpaka naondoka Bk mwaka 2012 niliogopa sana kuanzisha mahusiano na binti yeyote yule kuhofia kugeuzwa zoba na kuharibu masomo yangu! dah, hii kitu ni mbaya sana asikwambie mtu...
Mkuu kapalamsenga huwa iko hivi, mwanamke anaambiwa na mganga kwa mf. hiki kinyama kikae kumani kwa siku 5, na anaambiwa achague labda kukiweka kutwa nzima, basi jioni anakitoa na anaosha K! anaweka kukiweka usiku, na asubuhi anaosha kumani! Si kwamba kinakaa 24 hrs
nilikua mtwara 2001 nikiwa chuo cha ualimu na nilibahatika kupata girlfriend ambaye ni mwenyeji wa mtwara japo tulikua wote chuoni. Mara nyingi sana alikua ananiletea msosi ila siku moja alikwenda nyumbani kwao aliondoka chuo alhamis akidai kuna mgonjwa home, alirejea chuo jumapili jioni akiwa kanibebea wali nyama lakini kitu kilichonishangaza ni kwamba pamoja na chakula kile kuwa kitamu sana lakini kilikua na kipande kimoja tu cha nyama!!!!! Sikuweza kuhoji ila yaliyonipata juu ya binti yule yatabaki siri yangu daima!!!! Naskia yupo dar hapa.....usiombe
Nacheka! Kwa nini mkuu?
Embu hao madem huna mawasiliano nao wanielekeze kutengeneza hiyo shuntama. Excel agandi
unaitaka eenh? mwenzio mpaka leo nasakwa kutoka kyakailabwa, bahati tu sijawahi kula chochote! lol
Hao watengenezaji wapo sana tu! lakini si ishaelezwa na slim5? we sokomeza steki robo kilo kwenye papuchi kwa siku saba! baada ya hapo ikarangize vizuuuuri kabisa halafu mwalike ruttashobolwa dinner!
utaona matokeo tu after a week! you wont be amu that went by foot anymore!
usijaribu hii kitu aisee!...
Lazima iwe na viungo vyake bana ili inoge.
Yaani kesho naenda kyaka kuitafuta
upendo kawaida huwepo shem kwa kipindi cha kwanza kwanza!Mhhhhh?Kazi yote ya nini?Kama upendo upo hakuna haja ya yote hayo
Hata ya bure natoa ofa.
Lazima iwe na viungo vyake bana ili inoge.
Yaani kesho naenda kyaka kuitafuta