Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

limbwata ni dawa ya mapenzi yenye nguvu ya kumshawishi mwanaume au mwanamke azidi kumpenda mwingine zaidi.Rimbwata haina mazara manayake haizuri.kutokana na utafiti wangu nilioufanya nimegundua watu wengi waliopewa limbwata awe mume au mke walibadilika tabia zao kutoka mbaya na kuwa wema.watulivu na ilisaidia kuimalisha ndoa zao zilizokuwa na migogoro ina maana ni njia inayombadilisha muhusika bila kugombana naye au kuwa na mazungumzo naye.imekuwa na faida kubwa sana katika jamii kwani mambo yamekuwa yakienda vizuri katika ndoa inamaana kwamba kama mwanamme alikuwa akilala inje sasa atakuwa akilala ndani na kama alikuwa akichelewa kuludi atakuwa analudi mapema hii itasaidia kuokoa kipato katika familia.Tofauti yake ni kwamba limbwata limekuwa na matokeo mabaya linapotumika vibaya inamaana mwanamke anampa mume asiyekuwa wake hapo ndipo hatali kiasi kwamba hata jamii imekuwa ikipingana na hilo.Na asilimia kubwa ya watumiaji au walengwa ni wanaume hii hutumia bila wao kujua.Tunashauli watengenezaji wa limbwata wawe wanaomba vyeti vya ndoa vya wenza wa wateja wao au wawashauli wateja zao waenda mnunuzi na mtumiaji.nawakilisha

uhauri gani hu unayupa,first go test the applicability of this to ua wife,second jifunze kuandika Kiswahili fasaha
 
Mnatafuta infections tu zisizo na sababu
Chukua nyama robo kilo.....kisha iweke kuleeee kunako mwenzio kwa siku 3 mpaka saba kulingana na mahitaji yako.....halafu uitoe uipike vizuri na kwa ufundi mkubwa sana......kisha mtengee mezani mpenz wako.....akila atakusifu sana.....kuanzia hapo kaisha huyo.......
 
Chukua nyama robo kilo.....kisha iweke kuleeee kunako mwenzio kwa siku 3 mpaka saba kulingana na mahitaji yako.....halafu uitoe uipike vizuri na kwa ufundi mkubwa sana......kisha mtengee mezani mpenz wako.....akila atakusifu sana.....kuanzia hapo kaisha huyo.......

hii ishu niliisikia kule maeneo ya kashai, bukoba!

ila uache uongo, nyama kilo moja? si kweli!
 
hii ishu niliisikia kule maeneo ya kashai, bukoba!

ila uache uongo, nyama kilo moja? si kweli!

Hahahah minofu........wenyewe wanaita shuntama (Kiswahili nadhani ni kuchuchumaa). Na sio kilo moja wala robo, wenyewe wanadai kijipange kidogo tu ndo unaki'vundika' kasha siku ya siku wakiunga pamoja na nyama nyingine ya kawaida. Hakikisha mlengwa anakila!! Hahah ila sidhani kama ni kweli bwana................................................ limbwata kwa mwanamke ni ulimi wako, uelewa wako, mapenzi yako ya dhati na ujuzi wako katika mapenzi
 
Last edited by a moderator:
Nyama unachukua saiz tu ambayo inaingia kwenye papuchi uziweke nyingi mpaka ukitembea zinaanza kudondoka kama mkaa kwenye pakacha
 
Limwata ni sumu inayowekwa kwenye chakula mwanaume akila inaenda kuua ubongo na anakuwa zezeta uwezo wa kufikiri unashuka , utendaji wa kazi unashuka , umakini unashuka anakuwa kama tahila . Ndani ya nyumba mke atafanya kila jambo analotaka kufanya bila kuuliza kwa sababu mme akiri imekufa. Tupige vita Limbwata ni hatari kama madawa ya kulevya
 
Chukua nyama robo kilo.....kisha iweke kuleeee kunako mwenzio kwa siku 3 mpaka saba kulingana na mahitaji yako.....halafu uitoe uipike vizuri na kwa ufundi mkubwa sana......kisha mtengee mezani mpenz wako.....akila atakusifu sana.....kuanzia hapo kaisha huyo.......
Hii receipe NO THANX :smile-big:
 
Mh jamani nyama mbichi siku tatu si itaoza humo wadudu wakale mayai ya uzazi na UTI juu, kisa kumtuliza mtu mliekutania ukubwani
 
Back
Top Bottom