limbwata ni dawa ya mapenzi yenye nguvu ya kumshawishi mwanaume au mwanamke azidi kumpenda mwingine zaidi.Rimbwata haina mazara manayake haizuri.kutokana na utafiti wangu nilioufanya nimegundua watu wengi waliopewa limbwata awe mume au mke walibadilika tabia zao kutoka mbaya na kuwa wema.watulivu na ilisaidia kuimalisha ndoa zao zilizokuwa na migogoro ina maana ni njia inayombadilisha muhusika bila kugombana naye au kuwa na mazungumzo naye.imekuwa na faida kubwa sana katika jamii kwani mambo yamekuwa yakienda vizuri katika ndoa inamaana kwamba kama mwanamme alikuwa akilala inje sasa atakuwa akilala ndani na kama alikuwa akichelewa kuludi atakuwa analudi mapema hii itasaidia kuokoa kipato katika familia.Tofauti yake ni kwamba limbwata limekuwa na matokeo mabaya linapotumika vibaya inamaana mwanamke anampa mume asiyekuwa wake hapo ndipo hatali kiasi kwamba hata jamii imekuwa ikipingana na hilo.Na asilimia kubwa ya watumiaji au walengwa ni wanaume hii hutumia bila wao kujua.Tunashauli watengenezaji wa limbwata wawe wanaomba vyeti vya ndoa vya wenza wa wateja wao au wawashauli wateja zao waenda mnunuzi na mtumiaji.nawakilisha
uhauri gani hu unayupa,first go test the applicability of this to ua wife,second jifunze kuandika Kiswahili fasaha