papaa2015
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 411
- 101
ni imani mbovu mbovu tu hizo hakuna kitu chochote.
hizo ni story tu,kama limbwata lingekuwa linafanya kazi basi ndoa nyingi zisingevunjika?
ni imani mbovu mbovu tu hizo hakuna kitu chochote.
hizo ni story tu,kama limbwata lingekuwa linafanya kazi basi ndoa nyingi zisingevunjika?
tunatakiwa tujue pia
hakuna dawa ya mapenzi.
hahahahah hapo sasa eti unajua honey watu hawatutakii mema si unjua eti wanasema eti umenipa limbwata. mama anauliza hebu nitajie jina lake na anakokaa huyo alokwambia. Subiri mtiti wake hapo na baba anakaa kimya kama kawekwa glue mdomo wakeCC: The Boss
- Unapo mwambia kua amepewa Limbwata anaanza kukukimbia, hataki kabisa kuskia hilo.
- Uki-insist anamwambia mpenzi wake na anakutaja!
limbwata...!! ndio nini? mimi nimekaa uswahilini muda mrefu ila sijawahi kuona hiyo kitu...
Hata hii ni dalili ya mtu aliyepewa limbwata.
tunatakiwa tujue pia
hakuna dawa ya mapenzi.
Kuna hadithi nyingi juu ya hii kitu pengine kuna ukweli hasa tukiwa waaminifu ktk kuchangia
Nimeona watu wengine wakiwa na tabia hizi sasa sijui ni akili yao tu au ndio limbwata
- Mwanaume anamfumania mkewe na hamfanyi kitu chochote
- Mwanaume huyo kabla hajaoa alikua mchangamfu ie anaonekana mwenye busara lkn baada ya kuoa hasa msichana fuska anashindwa kabisa hata kuisimamia nyumba yake ie anakua hana cha kusema juu ya familia yake na anabuluzwa kama mtoto. Yaani hadi inauma msichana/mwanamke anamtesa sana ktk mapenzi ie huyo mke anakua na wapenzi wa nje kwa wazi kabisa na mwanaume analalamika na baadae kukaa kimya.
- Mke anakua na safari nyingi zisizokua na msingi na mume anaangalia tu just imagine mke anakwenda sherehekea sikukuu kubwa kama xmas, m/mpya au idd mkoa mwingine na hiyo anaifanya kila wakati lkn mumewe hawezi kumzuia na anabaki kulalamika tu
- Mme anajua kua mkewe kila atokapo anaenda kwa mabwana zake na iko wazi lkn mwanaume anatazama tu
- Mke anakwenda bar anakunywa na kulewa huku akiwa na mabwana zake pengine ni vijana wadogo tu lkn mme hafanyi kitu
Hebu wapendwa tushirikishane je wewe hujaiona hii huko uswaz.
kiaje sasa ? mkuu