Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,907
- 28,081
Hamna kitu kama hiyo kwetu..., ni dushelele kwa kwenda mbele..
Hiyo inaitwa Natural limbwata...
Hamna kitu kama hiyo kwetu..., ni dushelele kwa kwenda mbele..
KakaKiiza unajua limbwata linaloitwa ''PANGABOY ''mimi nnalo ntakuwekeaTanzania kuna makabila mengi mimi naomba kuuliza kuna aina ngapi za Hii kitu inaitwa Limbwata???
Kwetu ka kabila yetu kuna kitu kinaitwa!!"SHUNTAMA OGENDE OGARUKE"Hii ukipewa unashahau hata JINSIA YAKO!!!
Je kwenu mna nini???Je Limbwata la wapi kali??
Kwani ulisikia mimi ninampango na bi Paloma??
Ehe:confused2:kumbe uko nyuma ya pazia nilikuwa sijakuona kumbe ulikuwa unabadili nguo uje stejini karibu!mmppphhh........ Erickb52 unazijua kelele za debe tupu?!?
Hahahahaaa si zile kama za KakaKiiza ?
Huyu nimeisha mzoea kapigwa chini na Preta akaja kwako ukatolea mbafuni sasa anatangatanga!utajibeba Erickb52hakiamungu kwa majungu nakuvulia kofia aisee lol unayaweza sana.mbona wanyanyasa pedeshee wangu KakaKiiza unataka niishi mujini kwa tabu siyo?
Umeona baelezee bandugumwache KakaKiiza apumuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee unamsonga kama mgoni wako lol kumbe kakuolea dada zako huoni kakupunguzia kufuga mbwa lol huna shukani weye
Nakuwa nazunguka hapo hapo na kazini sitaki mimi nivea nivea!!Leta hii kitu mimi niwe kazi yangu moko!KakaKiiza unajua limbwata linaloitwa ''PANGABOY ''mimi nnalo ntakuwekea
heheheheeheh wapenda ''pangaboy'' weye ???hii limbwata original haidhuru mtu wapewa waendelea na shughuli zako ila shurti ujue kulia kama mbuzi hahahh utawezanakuwa nazunguka hapo hapo na kazini sitaki mimi nivea nivea!!leta hii kitu mimi niwe kazi yangu moko!
Kwanza umenikumbusha Preta wangu lolKwani ulisikia mimi ninampango na bi Paloma??
Ehe:confused2:kumbe uko nyuma ya pazia nilikuwa sijakuona kumbe ulikuwa unabadili nguo uje stejini karibu!
Huyu nimeisha mzoea kapigwa chini na Preta akaja kwako ukatolea mbafuni sasa anatangatanga!utajibeba Erickb52
Umeona baelezee bandugu
Nakuwa nazunguka hapo hapo na kazini sitaki mimi nivea nivea!!Leta hii kitu mimi niwe kazi yangu moko!
yale yanayofungwa kiunoni.KakaKiiza unajua limbwata linaloitwa ''PANGABOY ''mimi nnalo ntakuwekea
Mh sisi kwetu libwata ni kazi zuri tu hakuna madawa.
mmppphhh........ Erickb52 unazijua kelele za debe tupu?!?
Hahahahaaa si zile kama za KakaKiiza ?
hakiamungu kwa majungu nakuvulia kofia aisee lol unayaweza sana.mbona wanyanyasa pedeshee wangu KakaKiiza unataka niishi mujini kwa tabu siyo?
mwache KakaKiiza apumuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee unamsonga kama mgoni wako lol kumbe kakuolea dada zako huoni kakupunguzia kufuga mbwa lol huna shukani weye
Tena mwambie nina goldcard,na dinnercard menyu napiga serena!hahahah KakaKiiza ana mastercard hata M-pesa hajajisajili hana hahahahaah chezea pedeshee weye ?