GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,902
- 10,503
Na bora hivi virusi vinajitokeza kwa watu wanaojitambua.China kujenga hospitali kwa siku sita mjini Wuhan itakayoweza kulaza watu 1000. Hii itakuwa record mpya ya dunia baada ya ile kujenga hospitali ndani ya siku Saba kupambana na kirusi SAR
Najaribu kufikiri ingekuwa Tanzania sijui magufuli angeanza kushika wapi?
Kwa akili zake angemtumbua waziri wa Afya!
Sent using Jamii Forums mobile app