Hapo awali, Meya wa Wuhan, sehemu ambapo kirusi hiki kilianzia, alisema kuwa takribani watu milioni 5 wamekwisha ondoka mjini hapo licha ya zuio la kusafiri lililowekwa.

Hivyo, kuna uwezekano mkubwa wa kuenea zaidi kwa maambukizi sehemu nyinginezo iwapo kama kulikuwepo na walioambukizwa kati ya hao walioondoka mjini hapo.
 
Coronavirus update:
  • 2,900 confirmed cases
  • 82 fatalities
  • 439+ in serious/critical condition
  • Vast majority of cases in China
  • 12 countries reporting cases
 
Picha za kwanza za hadubini zinazoonesha muonekano wa kirusi cha Corona (Coronavirus).

====
UPDATE: First pictures of China's killer coronavirus [Daily Mail]
  • China's National Microbiology Data Center has released pictures of the virus
  • The specimens were extracted from two patients on January 6 and January 22
  • They were the first '2019-nCov' novel coronavirus samples obtained by medics
1580163841195.png

The above picture shared by China's National Microbiology Data Center shows the first-ever specimen of the novel coronavirus, known as '2019-nCov', extracted from a patient,

1580163885747.png

The sample, with a serial number 'NPRC 2020.00001', was extracted from a patient on January 6, according to China's National Microbiology Data Center. It is the first 2019-nCov specimen.

1580163936332.png

The second picture, with a serial number 'NPRC 2020.00002', was shared by China's National Microbiology Data Center today and shows particles taken from a patient on January 22.
 
BREAKING: Idadi ya vifo kutokana na virusi vya Corona (Coronavirus) imekwisha fikia 106 hivi sasa kutoka idadi iliyoripotiwa mara ya mwisho ya 82.

Mkoa wa Hubei, China pekee umeripoti visa vipya takribani 1291.

Wagonjwa wapatao 690 wana hali mbaya zaidi.

====

China virus death toll jumps to 106, nearly 1,300 new cases: govt [AFP]

There are now over 4,250 confirmed cases of coronavirus across the world. The death toll has risen to 106.

690 people infected with virus now in serious or critical condition.

Hubei reports 1,291 new coronavirus cases, 24 new deaths bringing total to 106 deaths.
 
Hali si nzuri!

Kuna ripoti mbalimbali na taarifa za visa vipya zinatolewa kutoka mikoa mbalimbali nchini China jambo litakalopelekea mamia ya visa vipya hapo baadaye ripoti ya kitaifa itakapotoka.

Tuendelee kusubiri.
 
Kuna taarifa inayohusiana na Korea Kaskazini kuufunga mpaka wake na China ili kuzuia virusi hivyo visiweze kuingia nchini humo.

====

NEW: North Korea has closed their border with China to prevent Coronavirus from entering into the country. [KCNA]
 
Marekani inajiandaa kwenda kuwahamisha kwa ndege raia wake waliopo nchini China hususani katika mji wa Wuhan huku pia ikitoa tahadhari kwa raia kutosafiri kuelekea nchini China kwa sasa.

Nchi nyinginezo zinazopanga kuwahamisha raia wake kutoka maeneo yaliyoathiriwa nchini China ni pamoja na Japan na Ufaransa. [AP]
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Watu wa China, Li Keqiang amekwisha wasili mjini Wuhan ili kusimamia zoezi zima la kuhakikisha kuwa virusi hivyo vinadhibitiwa. [SCMP]
 
Mpaka kufikia Januari 27, jumla ya visa 2,714 vimeripotiwa katika mkoa wa Hubei huku idadi ya waliokufa ikifikia 100 katika mkoa huo pekee.

====

The health commission of China’s Hubei province said on Tuesday that 100 people had died from a coronavirus outbreak as of Jan. 27, according to an online statement.

The number of confirmed cases in the province rose to 2,714. [Reuters]
 
Back
Top Bottom