Kuna uwezekano mkubwa sana China alikuwa anadanganya namba za maambukizi na vifo....
Fatilia Italy utaona curve yake Italy hadi kufikia Tuesday atampita China kwa Vifo vingi

Sent using Jamii Forums mobile app

IMG_2751.JPG


Kabisa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
karantini za kutotoka nje ya makazi, kuzuia usafiri wa umma na mikusanyiko ya aina yoyote ile ni ushahidi kuwa waathirika wengi hukutwa na mauti hukohuko majumbani, ikizingatiwa na jiografia ya nchi ni milima na mabonde.

naamini hizi takwimu ni kwa wale waliofika hospitalini. hali halisi yaweza kuwa hata mara 5 ya hizi.
Kuna uwezekano mkubwa sana China alikuwa anadanganya namba za maambukizi na vifo....
Fatilia Italy utaona curve yake Italy hadi kufikia Tuesday atampita China kwa Vifo vingi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona South Africa na wenyewe tayari wameshaweka travel ban kwa nchi ambazo zinakuwa considered high risk.

Kuanzia kesho wanafunga mipaka yake yote(air, land and water).

Jumatano shule zote zitafungwa rasmi mpaka baada ya Pasaka ndio itajulikana zitafunguliwa lini.

Serikali yao tayari imeshatenga fungu la pesa na team ya kukabiliana na covid 19.

Huu ugonjwa nilikuwa nauchukulia poa lakini kwa sasa hata Mimi nasema serikali yetu inabidi owe serious LA sivyo wengi tutaondoka.
 
Sources nyingi zilisema mwanzo china anadanganya data maana wakazi na report ya serikali zilikuwa haziendani, na kimahesabu wakasema kutokana na serikali ya china kuwa ya kicomunist, basi lazima wapike data
Ila wakasema italy na nchi nyingi za kidemokrasia hawanaga kupika data kutokana na ukweli na uwazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kuhusu kupika data ila maambukizi china yamepungua.



Beggars can't be choosers
 
Kuna uwezekano mkubwa sana China alikuwa anadanganya namba za maambukizi na vifo....
Fatilia Italy utaona curve yake Italy hadi kufikia Tuesday atampita China kwa Vifo vingi

Sent using Jamii Forums mobile app
Italy kurecord vifo vingi kuliko China.
Haimanishi moja kwa moja kwamba China anadannganya.

Vifo vingi vinaweza kutokana na health system kuzidiwa na idadi ya wagonjwa.

Sio siri Italy wamezidiwa sio wataalamu wa afya tuu hata vifaa(ndio maana utaona China wamepeleka wataalamu pamoja na vifaa vya matibabu italy).

Yaani wagonjwa wanakuwa wengi, inafika wakati madaktari wanaamua nani ahudumiwe nani aachwe akipambana na afya yake.







Beggars can't be choosers
 
Ugonjwa utadumu mwaka mzima mpaka mwakani mwezi wa tatu.Ni moja ya document ya shirika moja la siri la uingereza imeeleza hayo.tujiandae mami kwa maelfu kuambukizwa, kama hatutakuwa makini.
 
Wanajamii pua inatoa kamasi 🤧 laini kama maji yani nahis hii itakua ni corona virus 😷 mwenye kufaham symptoms za corona naomba anipe
 
karantini za kutotoka nje ya makazi, kuzuia usafiri wa umma na mikusanyiko ya aina yoyote ile ni ushahidi kuwa waathirika wengi hukutwa na mauti hukohuko majumbani, ikizingatiwa na jiografia ya nchi ni milima na mabonde.

naamini hizi takwimu ni kwa wale waliofika hospitalini. hali halisi yaweza kuwa hata mara 5 ya hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado naamini China iliwaua wengi kwa makusudi na kwa vile huwezi ulizia popote inakuwa ishapita. Walituwekea benchmark kuwa vifo havizidi 130 kwa siku.
Sasa wametuwekea benchmark maambukizi hayafiki 30 kwa siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
China hakuweza sema ukweli maana alitaka janga liishe mapema arudi kwenye biashara maana yeye tu ndio alikua akisumbuka na hilo gonjwa. Katudanganya weee mwisho wa siku nchi zingine zikaanza shika.

Mgonjwa wa kwanza Italy katokea Iran, Mgonjwa wa Iran katokea China.

Unasema amepeleka msaada wa madakatari, kapeleka madakatari 9 tu. Je 9 wataweza population ya watu 60mil?

Italy kurecord vifo vingi kuliko China.
Haimanishi moja kwa moja kwamba China anadannganya.

Vifo vingi vinaweza kutokana na health system kuzidiwa na idadi ya wagonjwa.

Sio siri Italy wamezidiwa sio wataalamu wa afya tuu hata vifaa(ndio maana utaona China wamepeleka wataalamu pamoja na vifaa vya matibabu italy).

Yaani wagonjwa wanakuwa wengi, inafika wakati madaktari wanaamua nani ahudumiwe nani aachwe akipambana na afya yake.







Beggars can't be choosers

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom