Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Oh Mammma!Hakuna hyo makitu meeeen...
Kesho twenzetu Tanga meen!
Nasikia umepoteza kimojawapo cha kimwagia mkojo mzito kwako meeen!
Oh Mammma!Hakuna hyo makitu meeeen...
Oh Mammma!
Kesho twenzetu Tanga meen!
Nasikia umepoteza kimojawapo cha kimwagia mkojo mzito kwako meeen!
Mie tena.
Hapa nilipo nipo UBT nimelala juu ya mabenchi.
Chezea ukunaji wewe!
Mie tena.
Hapa nilipo nipo UBT nimelala juu ya mabenchi.
Chezea ukunaji wewe!
Msemo wa kizamani hauna maana tena.
Mi nikiwa saloon nasubiri kunyolewa huwa sizitii maji nywele zangu na zinanyoleka zamu yangu ikifika.
KakaJambazi hebu rudia kusoma ukiona..wewe TIA MAJI.. waweza tia maji?
Aah!! nyie watoto mliozaliwa kipindi Jakaya ypo madarakani mnamatatizo sna.
asa si uchukue picha yangu uwe unaenda nayo ofishni.