Baada ya Wapinzani Kuangukia Pua DRC, Waitisha Maandamano; Serikali Yapiga Marufuku

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,060
49,744
Kama kawaida ya Wapinzani wa Afrika kwao Demokrasia Huwa inakamilika wakishinda 😁😁😁😁 ila waliangukia pua basi wameibiwa.

Huko DRC akina Moise Katumbi na wenzake wameitisha maandamano kupinga mwenendo wa matokeo ambao ulionesha Rais Felix Tshisekedi akiongoza Kwa zaidi ya 80% ya matokeo ya awali yaliyotangazwa na Tume huku vibaraka wa Wazungu/Rwanda kina Katumbi wakipuuzwa na wapiga kura.

Sasa wameitisha maandamano ya wafuasi wao ambao ni maskini wasio hata na pa kwenda,watatandikwa bakora huku waliotisha Maandamano wakipanda Helikopta kusepa na kuwaachia msala.

Waafrika wajifunze kuacha kutumika na wanasiasa uchwara kama wa hapa Tanzania ambao wakikinukisha hukimbilia Nje au kwenye Balozi za waliowafadhili harafu wale nyumbu huishia Kuchezea kichapo na jela.

Hongera sana DRC Kwa kupiga marufuku upuuzi,nyumbu ambao watataka kuleta vurugu wadhibitiwe vilivyo.

View: https://www.instagram.com/p/C1WfIVpNqPK/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==

My Take
Chadema jiandaeni kisaikolojia,mwenzako akinyolewa zako tia maji.

Uzuri hakuna Watanzania wajinga wa kwenda kufanya vurugu Ili kuwasaidia vibaraka.
 
Yani bora Moise Katumbi kashindwa. Ni muhuni, mtu wa deal mwiziwizi. Kwanza siyo mcongo asili mama mzambia baba myahudi.

Muhuni mwenzake rais wa Angola Laurenco (lorenso) inavyotamka naye siyo muangola ni mcongo.

Lorenso na Katumbi ni marafiki wakubwa toka zamani wezi na wapiga deal.
 
Yani bora Moise Katumbi kashindwa. Ni muhuni, mtu wa deal mwiziwizi. Kwanza siyo mcongo asili mama mzambia baba myahudi.

Muhuni mwenzake rais wa Angola Laurenco (lorenso) inavyotamka naye siyo muangola ni mcongo.

Lorenso na Katumbi ni marafiki wakubwa toka zamani wezi na wapiga deal.
Tapeli na Kibaraka yule hatakiwi kuwa Rais ,hakuna system itampa ikuli kibaraka.

Na hapa Tanzania wapo hao vibaraka wao.
 
Kama kawaida ya Wapinzani wa Afrika kwao Demokrasia Huwa inakamilika wakishindwa 😁😁😁😁 ila waliangukia pua basi wameibiwa.

Huko DRC akina Moise Katumbi na wenzake wameitisha maandamano kupinga mwenendo wa matokeo ambao ulionesha Rais Felix Tshisekedi akiongoza Kwa zaidi ya 80% ya matokeo ya awali yaliyotangazwa na Tume huku vibaraka wa Wazungu/Rwanda kina Katumbi wakipuuzwa na wapiga kura.

Sasa wameitisha maandamano ya wafuasi wao ambao ni maskini wasio hata na pa kwenda,watatandikwa bakora huku waliotisha Maandamano wakipanda Helikopta kusepa na kuwaachia msala.

Waafrika wajifunze kuacha kutumika na wanasiasa uchwara kama wa hapa Tanzania ambao wakikinukisha hukimbilia Nje au kwenye Balozi za waliowafadhili harafu wale nyumbu huishia Kuchezea kichapo na jela.

Hongera sana DRC Kwa kupiga marufuku upuuzi,nyumbu ambao watataka kuleta vurugu wadhibitiwe vilivyo.

View: https://www.instagram.com/p/C1WfIVpNqPK/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==

My Take
Chadema jiandaeni kisaikolojia,mwenzako akinyolewa zako tia maji.

Uzuri hakuna Watanzania wajinga wa kwenda kufanya vurugu Ili kuwasaidia vibaraka.

Nafikiri mnadanganyana hapa, njia pekee iliyo nzuri zaidi ya kudhibiti vurugu za uchaguzi ktk nchi za ki-Afrika ni kuendesha Chaguzi Huru, za haki, za uwazi na za kuaminika. Vitendo vya Ghilba, wizi, ufisadi, usiri usio wa lazima ndio vyanzo vikuu vya kuibuka kwa vurugu, mauaji na mifarakano nyakati za Uchaguzi ktk nchi nyingi za Afrika.
 
Nafikiri mnadanganyana hapa, njia pekee iliyo nzuri zaidi ya kudhibiti vurugu za uchaguzi ktk nchi za ki-Afrika ni kuendesha Chaguzi Huru, za haki, za uwazi na za kuaminika. Ghilba, wizi, ufisadi, usiri usio wa lazima ndio vyanzo vikuu vya kuibuka kwa vurugu, mauaji na mifarakano nyakati za Uchaguzi ktk nchi nyingi za Afrika.
Chaguzi huru na Haki ni pale Wapinzani wakishinda si ndio? 😁😁😁😁
 
Kagame ajiandae kivipi wakati miaka yote mitano amemsumbua Tshekedi?
Aliambiwa Nikishinda mara ya pili na akiendelea kusapoti M23 ,Rais atagombea idhini ya Bunge atangaze vita rasmi.

Hatoenda Kigali Bali atapiga kutokea ndani ya Ardhi ya Congo.
 
Back
Top Bottom