Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 5,363
- 9,239
Kuanzia Kule mapinduzi Zanzibar, Yanga walicheza soka la hovyo Sana wakasingizia kina Pacome hawapo lakini leo wote walikuepo hadi forward jipya la mchongo. Ila ni upuuuuuzi mtupu.
Naitabiria Simba msimu mzuri na wanachukua makombe yote muhimu kuanzia FA hadi la Ligi kama walivobeba Ngao ya jamii kibabe.
Hata huko kimataifa ni tia maji tia maji tu, hamna cha ajabu Simba ataenda robo Yanga watarudi kujipanga.
Naitabiria Simba msimu mzuri na wanachukua makombe yote muhimu kuanzia FA hadi la Ligi kama walivobeba Ngao ya jamii kibabe.
Hata huko kimataifa ni tia maji tia maji tu, hamna cha ajabu Simba ataenda robo Yanga watarudi kujipanga.