Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli

Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli

Status
Not open for further replies.
Hii sio habari nzuri kwa wale jamaaa. Sitashangaa wakija na hoja kuwa aliyeandika ni Polepole
tanzania.jpg


Ni polepole ndio alioandika ulipatia aisee


Swissme
 
Those who do not support JPM are stupid and sick. This is the president we want. Corruption was something normal. Watu walikuwa wakiita mil 10 hela ya mboga, tena bila ya uoga.
Na biashara ya utumwa je?
 
Hahah!
Hii imeka akama kazi yako vile?
au ndio ushaanza yale m,ajukumu uliyojipa juzi.
by the way nasikia hii ni [HASHTAG]#fakenews[/HASHTAG]
No sio kazi yangu, mimi situmwagi na mtu!.

Japo ni fake news in terms of the fake source, lakini the contents is truth, hivyo aliyeiandika kama ni Dr.Mashokolokubangashe, angesema tuu kwa mujibu wangu mimi, Dr.Mashokolokubangashe, kwa nini amsingizie mtu?.

P
 
No sio kazi yangu, mimi situmwagi na mtu!.

Japo ni fake news in terms of the fake source, lakini the contents is truth, hivyo aliyeiandika kama ni Dr.Mashokolokubangashe, angesema tuu kwa mujibu wangu mimi, Dr.Mashokolokubangashe, kwa nini amsingizie mtu?.

P

Kwavile ni uongo ikabidi wamsingizie mtu. Ukweli usemwa wazi, uongo ufichwafichwa.
 
No sio kazi yangu, mimi situmwagi na mtu!.

Japo ni fake news in terms of the fake source, lakini the contents is truth, hivyo aliyeiandika kama ni Dr.Mashokolokubangashe, angesema tuu kwa mujibu wangu mimi, Dr.Mashokolokubangashe, kwa nini amsingizie mtu?.

P
Pasco je kama account yk imekuwa hacked kukizi matakwa ya haters, je tuamini kipi.
 
Hahahaaa... Imethibitika ni feki news... Habari leo watatuambia nini!?
 
Economist hawawezi pata faida yoyote ya kuwatetea Ukawa,aidha kama sio kwa their pure observations and sincerety,watakua wanapata faida kwa wengine,sidhani kama ina-make any sense whatsoever eti kuna kitu Ukawa wanaweza wapa,Ukawa=Zero money!Hiyo ni fact!

On the other side sasa,mwandishi mwenyewe kapiikiwa hapa hapa DSM,na CCM=Full money...halafu wasifu wa mwandishi ni wa ajabu sana!

Nendeni zenu huko!
Ukawa wana zero money!!!na wewe una zero brain!!hahahahaaaa
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom