Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli

Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli

Status
Not open for further replies.
Ili mtu uone aibu, kitu cha kwanza ni hiyo aibu kwanza iwepo, ndipo ionekane, au mt uweze kuona aibu, lakini kwa Bahati mbaya sana, kila mtu anazaliwa na mapungufu yake au ulemavu Fulani, mimi nimezaliwa bila kupewa mgao wa aibu!, hivyo sina aibu kabisa hata chembe!, ndio maana siku zote nasema kweli Daima bila kumuogopa mtu yoyote, na kuhusu hili la udikiteta wa rais Magufuli, sidhani kama kuna mwana jf mwingine yoyote aliyelizungumzia humu kuliko mimi, na kwa taarifa yako, sijaishia kuuzungumza tuu humu, bali nina Makala katika weekly magazine nauzungumzia udikiteta.


Kuzaliwa bila aibu hakukufanyi uwe mkweli tu,unaweza kua muongo pia!

Hiyo conclusion yako mufilisi eti kwasababu huoni aibu ndio maana unasema ukweli daima ni fallacy tupu...

Na kutokua na aibu sio sifa pia...mwanadamu should be "ashamed" of himself kama ametenda kosa,hii inaleta kutubu na rectification to be a better human being...Kutokua na aibu ni sawa na kua sokwe au any animal asiekua sentient and concious...Human Beings ambao ni proven scientifically kua wana very low level ya aibu ni GAYS tu..No wonder ukawa gay,au ukawa na gay tendencies...Nimepiga ramli hapo,naweza kua sahihi au nisiwe sahihi vilevile,wewe ndie unajijua!
 
Nani kamtaja?Nani kasema ndie walikua wanamtaka?Sijaona mahali kapost hicho kitu...Nadhani umeamua kua mganga mpiga ramli....

Just relax...Jibu vitu tangible hapa,acha kujibu vipi abstract ambavyo havipo!

Halafu,kwanini The Economics imewauma sana?Yaani imewauma sana,ni mwezi sasa mnalia....

Poleni bwana "Itakua wanawaonea gere na Maliasili zenu na Uchumi unaopaaa sana".."Ni wivu wazungu kwa Magufuli"..Hahahaaa,my ribs!
Swali ni kwamba kwa nini The economist iwaume?
Badala ya kuchambua uchumi wa Tanzania wamebakia na utunzi wa majina mapya kwa Rais wetu.

Inaelekea hata hilo The economist huwa hulisomi in details kwa sababu isingekuwa ngumu kunielewa.
 
Swali ni kwamba kwa nini The economist iwaume?

The Economics wana model yao ya kutafuta news na ku-produce,leo wamegotea TZ maana kuna juicy news they think is good for the publication,sasa wewe mchimba chumvi sijui kwanini unawapangia cha kuandika?TZ ipo duniani,kuna news wanayoona inawafaa,wewe eti unapiga wasiongelee eti "inawauma",wakati kinachomuuma ni wewe kwa wao kuandika wala sio wao..Wewe ndio una matatizo na zile news kwasababu hazikufurahishi wewe hapo.Eti kwavile hakufurahishi wewe basi wasingeandika,hivi wazima nyie kweli?

Badala ya kuchambua uchumi wa Tanzania wamebakia na utunzi wa majina mapya kwa Rais wetu.

Rais wa nchi yenu ndio kiongozi /driver wa uchumi wenu,news lazima iwe centred kwake na nchi yake.Sasa sijui kwanini unawapangia wamwiteje kwenye makala zao kama nani?Basi ungekua wewe mwandishi uandike utakavyoona inakufurahisha,too bad wewe sio mwandishi wa hiyo makala kwenye The Economics.Huwezi pangia mwandishi afanyeje kazi yake!Huwezi mpangia Doctor afanyeje kazi yake,ni ukichaa wa hali juu....

Inaelekea hata hilo The economist huwa hulisomi in details kwa sababu isingekuwa ngumu kunielewa.

Acha kutoa theory za kufikirika.Inashangaza mtu kujifanya mganga wa kuagua kujua mtu hua anasoma magazeti gani wakati hujui chochote...Ni vema ukajibu vitu tangible kwa usahihi kuliko kuanza kuzua story ambazo huna any means ya prove..Na kukuelewa wewe sio lazima,nina haki ya kutokukuelewa pia....Na uelewe mimi kutokukuelewa wewe sio kosa langu tu,ni kosa tunashare mimi na wewe,maana mtoa hoja ana wajibu wa kumuelewesha msikilizaji wake,na msikilizaji ana wajibu wa kujitahidi kuelewa,sasa asipoelewa kati yenu ni shida yenu nyote wawili...Sijui kwanini nyani haoni kundule!

Oh,well,JINGA LAO!
 
Mkuu Ngokongosha, asante kwa bandiko hili. Hiki kinachofanywa na mwandishi huyu, ndicho kitu kilipaswa kufanywa siku nyingi na media zetu.

Paskali
Tatizo lugha ya kizungu.
Waandishi watanzania wanaojua kizungu ambao nilipaswa niwaite wazalendo kama wangefanya kazi za kizalendo wao wapo upande wa The Economist wa kutangaza mabaya ya Magufuli na nchi kiujumla. Hawa ndio wanaweza kujibu makala za The Economist

Nadhani unawajua, wapo kule The East African n.k.
 
The writter seems to have some political inclinations angle that's compeling him to cling to such hymns of praise to the king when we the people know what kind of double standards have been shown to us It is obvious that what's been said and what's been done on the ground quite differ and this brings confusions to my senses that perhaps the writer is drinking on same fountain gushing from none other but C.C.M
 
The Economics wana model yao ya kutafuta news na ku-produce,leo wamegotea TZ maana kuna juicy news they think is good for the publication,sasa wewe mchimba chumvi sijui kwanini unawapangia cha kuandika?TZ ipo duniani,kuna news wanayoona inawafaa,wewe eti unapiga wasiongelee eti "inawauma",wakati kinachomuuma ni wewe kwa wao kuandika wala sio wao..Wewe ndio una matatizo na zile news kwasababu hazikufurahishi wewe hapo.Eti kwavile hakufurahishi wewe basi wasingeandika,hivi wazima nyie kweli?



Rais wa nchi yenu ndio kiongozi /driver wa uchumi wenu,news lazima iwe centred kwake na nchi yake.Sasa sijui kwanini unawapangia wamwiteje kwenye makala zao kama nani?Basi ungekua wewe mwandishi uandike utakavyoona inakufurahisha,too bad wewe sio mwandishi wa hiyo makala kwenye The Economics.Huwezi pangia mwandishi afanyeje kazi yake!Huwezi mpangia Doctor afanyeje kazi yake,ni ukichaa wa hali juu....



Acha kutoa theory za kufikirika.Inashangaza mtu kujifanya mganga wa kuagua kujua mtu hua anasoma magazeti gani wakati hujui chochote...Ni vema ukajibu vitu tangible kwa usahihi kuliko kuanza kuzua story ambazo huna any means ya prove..Na kukuelewa wewe sio lazima,nina haki ya kutokukuelewa pia....Na uelewe mimi kutokukuelewa wewe sio kosa langu tu,ni kosa tunashare mimi na wewe,maana mtoa hoja ana wajibu wa kumuelewesha msikilizaji wake,na msikilizaji ana wajibu wa kujitahidi kuelewa,sasa asipoelewa kati yenu ni shida yenu nyote wawili...Sijui kwanini nyani haoni kundule!

Oh,well,JINGA LAO!
Wingi wa maandishi hauwezi kuwa wingi wa hoja...The economist kama walivyo vyombo vingi vya Magharibi wanaongelea negativity tu inapokuja segment ya habari za afrika.
Halafu unamkuta mburula wa kiafrika anaona raha kulisoma ...ndio maana unadharaulika huko ulipo.

Hiyo model yao ni mbovu na ipo kwa maslahi yao na haimaanishi iko sawa...

What I know wanashabikia ushoga ....Je kwa maini yako wako sawa?
 
Wingi wa maandishi hauwezi kuwa wingi wa hoja...The economist kama walivyo vyombo vingi vya Magharibi wanaongelea negativity tu inapokuja segment ya habari za afrika.
Halafu unamkuta mburula wa kiafrika anaona raha kulisoma ...ndio maana unadharaulika huko ulipo.

Hiyo model yao ni mbovu na ipo kwa maslahi yao na haimaanishi iko sawa...

What I know wanashabikia ushoga ....Je kwa maini yako wako sawa?
Uakuta mtu anaandika maandishi mengi lakini maudhui ya maana ni moja tu
 
The writter seems to have some political inclinations angle that's compeling him to cling to such hymns of praise to the king when we the people know what kind of double standards have been shown to us It is obvious that what's been said and what's been done on the ground quite differ and this brings confusions to my senses that perhaps the writer is drinking on same fountain gushing from none other but C.C.M
He is just responding to what has already been displayed as a political stand...Bringing the facts and fairness.
 
Unajua hao vijana ni asilimia ngapi ya watanzania? Zaidi ya 60% ya watanzania bado ni peasants. Hao vijana unaowasema hata 5% ya peasants hawafiki. Kwa mwaka graduates hawafiki hata laki 1!! Halafu unataka kulinganisha na kundi la peasants ambao wapo si chini ya milioni 20?!?

Btw, kwa hiyo ujenzi wa reli na ununuzi wa ndege ndiyo kipaumbele kwa "white colar job seekers"??

Yaani kwanini pro-Magufuli ni weupe hivi?!?
...ni weupe mno ndio maana wanakuwa mapros
 
Wingi wa maandishi hauwezi kuwa wingi wa hoja...The economist kama walivyo vyombo vingi vya Magharibi wanaongelea negativity tu inapokuja segment ya habari za afrika.


Miaka yote wanavyozungumzia chumi zingine za Africa vibaya mbona mlikua hamuongei?Leo kashikwa uchwara mnatokwa povu sana.Mlikua wapi?

Halafu unamkuta mburula wa kiafrika anaona raha kulisoma ...ndio maana unadharaulika huko ulipo.

Mimi kama Mwafrika siwezi shabikia mwafrika mwenzangu anaeongoza serikali kijinga eti sababu mimi ni mwafrica mwenzie,mzee are you people insane?

Hiyo model yao ni mbovu na ipo kwa maslahi yao na haimaanishi iko sawa...

Model ni sahihi kwao,hutakiwi kuipenda,wala hawataki uipende...Ni mbovu kwako wewe,na una haki hiyo...ku-generalize ndio unapogeuka sokwe sasa....be a human being please!

What I know wanashabikia ushoga ....Je kwa maini yako wako sawa?

Mkuu,unafeli sana...Ni taifa linaloongoza kwa haki za binadamu..Asie shoga ana haki zake full,alie shoga ana haki zake full....Mtu kua shoga haimuondolei haki zake kama mwanadamu...ni ajabu mtu kama Jinga Lao,anaweza mtolea mtu haki zake kama mwanadamu hapa duniani sababu eti kaamua kulala na jini or whoever?Mwanadamu ni mwanadamu,hata muuaji ana haki kama mwanadamu.

Napinga ushoga kama kitendo,sio kunyima wanadamu hako zao mbalimbali sababu tu ya orientation yao...Siwezi mnyima mtu haki ya kuishi eti sababu ni shoga,haki ya kusafiri,kutoa maoni,etc...Naomba utumie upeo wako vizuri mbele ya wanadamu wenzio!
 
Trump anakosolewa sana na vyombo vya huko but The economist hawajawahi muita Rogue.....

TRUMP sio rogue..Unajua maana ya rogue state au rogue president?Ni tabia zipi zinafanya mtu ana-qualify kua rogue president?

Hebu google halafu compare na trump au government of the united states of america...

Hivi unajua una-compare the finest government structure on earth na vitu vya kijinga kabisa!

Taja government ya western hemisphere na latitute degree iliyopo north of Cuba mpaka north pole ni rogue!I will wait for centuries here!

GTFOHMF!
 
Kuwa objective na wewe hata kidogo! Unaambiwa mjinga huku ukijua so mjinga bado unakenua meno! Kkiss ccm na ukawa+ kosoa when needed and shut up when required!
 
Andiko mujarabu kabisa na limejibu uongo Wa wazungu na vibaraka wao
 
Nikiwa abroad ndio sio MTZ?

Hivi kuna mtu TZ alipewa madaraka na mungu kuchagua huyu ni mtz na huyu sio mtz?

Wazaliwa wa TZ wote ni haki yao ya asili kua watz,hawezi ibuka mtz mmoja akaamua ku-nulify utz wa wengine waliozaliwa kama yeye!hata mahakama haiwezi,sembuse wewe?

Hivyo utoto wako uache kabisa!

Sio wajibu wangu kuisifia serikali...kuipinga au kuikubali ni uamuzi wangu,usinipangie!

Nani kakwambia ukiwa nje ya nchi hujui yanayoendelea tz?mbona vijani mna uelewa mdogo sana?

Mimi sio shabiki wa chama tawala, ila sidhan kama unajua kinachoendelea.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom