hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,919
Ww kenya acha ujuhaMatumizi ya neno "hujui"yanaonyesha naongea na mtu wa namna gani.The word is "hujui," sio "haujui."
Ww kenya acha ujuhaMatumizi ya neno "hujui"yanaonyesha naongea na mtu wa namna gani.The word is "hujui," sio "haujui."
Mnaibiwaje wakati mna polisi na jeshi? Au kazi ya polisi imebadilika siku hizi badala ya kulinda mali za raia inailinda ccm?Huyu mzungu ana akili sana, si kama watanzania wapuuzi kama wewe MKWEPA KODI wanaoshabikia sie kuibiwa na hawapati manufaa yeyote.
Mnaibiwa mkiwa wapi ninyi watu? Huna polisi? Kazi yao ni ipi? Huibiwi bali umewagawia na wewe ukachukua 10% yako na kwenda kununulia wapigakura!Huyu mzungu ana akili sana, si kama watanzania wapuuzi kama wewe MKWEPA KODI wanaoshabikia sie kuibiwa na hawapati manufaa yeyote.
Vijana wa slowly vichwa taka tupu.Unaandika wew unasema mtaalam wa ubeligiji,ni lini wabeligiji wameanza kutumia kiswahili,hapa hakuna evidence zaidi ya propaganda za kishamba tu kumtukuza mkuu wa malaika wa duniaMTAALAMU wa masuala ya afya kutoka Ubelgiji anayefanya kazi na moja ya taasisi isiyo ya kiserikali katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Dk Herman Louise Verhofstadt amewakosoa watu hasa kutokea mataifa ya Magharibi wanaokashifu juhudi za Rais John Magufuli katika kuendeleza Tanzania.
Dk Verhofstadt katika makala yake ya maneno 1,500 aliyoiandika kwenye Mtandao wa Pan African News Hub na kisha kuandikwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii nchini, ameonesha kukerwa zaidi na wachambuzi wa nje wakiwamo wanahabari wanavyomzungumzia Rais Magufuli.
Mzungu huyo alisema kwa muda wa nusu muongo aliokaa nchini, anamuona Rais Magufuli kuwa ni mkombozi wa Watanzania na kiongozi ambaye atalipeleka taifa hili katika uchumi wa kati na wa juu zaidi.
Mtaalamu huyo alianza makala yake kwa kukosoa habari iliyoandikwa katika jarida la Economist ikimkosoa Rais Magufuli na kumfananisha na Rais Donald Trump, kuwa anatimua watumishi kupitia mikutano yake inayorushwa moja kwa moja kwenye televisheni.
Alilikosoa jarida hilo si tu kwa hoja, bali hata marejeo iliyofanya kuhusu kutimuliwa kwa watumishi hao.
Alisema ameshuhudia mabadiliko makubwa ya sera yaliyochochea ukuaji wa uchumi, uimarishwaji wa utawala bora, huduma bora kutokea taasisi za umma na mengineo, katika utawala wa Rais Magufuli.
Aliongeza kuwa Rais Magufuli ameingia madarakani wakati nchi ikiwa imegubikwa na matatizo ya rushwa huku vyombo vya habari vikinunuliwa kusaidia kundi maalumu la watu.
Aliongeza, “Magufuli anawahangaikia wananchi wake kuishi maisha bora kitu ambacho baadhi ya wachumi hawakipendi na kutafutia sababu ya kufanya aonekane ni kama mtu mbaya anayegandamiza demokrasia, uhuru wa vyombo vya habari na mengine mabaya.”
Alisema katika utawala wa Rais Magufuli ameshuhudia viongozi wakifunguliwa mashtaka mahakamani huku wengine wakifukuzwa kwa kuhujumu mali za umma na taasisi za umma zikiimarika, lakini wachumi wameona kuwa hiyo ni sawa na kazi bure.
Pia alizungumzia harakati za Rais Magufuli za kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia hasa akitolea hatua ya hivi karibuni ya kukutana na Waziri wa Mambo ya Ulinzi wa Israel, kuwa ni harakati za kuinadi nchi kimataifa zaidi.
Aidha, aligusia sera za Rais Magufuli katika kulinda maliasili na nishati za nchi, ambapo kupitia hilo kwa sasa nchi imeanza kunufaika na madini yake huku kampuni kama Acacia iliyokuwa ikinufaika na madini hayo ikibanwa, Dk Verhofstadt ameshangazwa na kwa nini wachumi wamekerwa na hatua hiyo.
Mzungu huyo alivitaka vyombo vya habari vya nje kutoandika habari za Tanzania kwa mazoea, akitolea mfano wa kitendo cha vyombo hivyo kukosoa hatua ya serikali ya kuwazuia wasichana wanaopatiwa mimba kuendelea na masomo, akisema kwa mujibu wa tamaduni za Tanzania, hiyo ni sawa.
Chanzo: Habari leo
Anayesombwa na maji huona chochote kinachoelea kama kitamsaidia asisombwe. Hata jani kavu anadhani litamsaidia. Mwambieni hata Trump atoe tamko la umalaika wa just praise me kama litamuondolea mawaa alonayo.MTAALAMU wa masuala ya afya kutoka Ubelgiji anayefanya kazi na moja ya taasisi isiyo ya kiserikali katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Dk Herman Louise Verhofstadt amewakosoa watu hasa kutokea mataifa ya Magharibi wanaokashifu juhudi za Rais John Magufuli katika kuendeleza Tanzania.
Dk Verhofstadt katika makala yake ya maneno 1,500 aliyoiandika kwenye Mtandao wa Pan African News Hub na kisha kuandikwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii nchini, ameonesha kukerwa zaidi na wachambuzi wa nje wakiwamo wanahabari wanavyomzungumzia Rais Magufuli.
Mzungu huyo alisema kwa muda wa nusu muongo aliokaa nchini, anamuona Rais Magufuli kuwa ni mkombozi wa Watanzania na kiongozi ambaye atalipeleka taifa hili katika uchumi wa kati na wa juu zaidi.
Mtaalamu huyo alianza makala yake kwa kukosoa habari iliyoandikwa katika jarida la Economist ikimkosoa Rais Magufuli na kumfananisha na Rais Donald Trump, kuwa anatimua watumishi kupitia mikutano yake inayorushwa moja kwa moja kwenye televisheni.
Alilikosoa jarida hilo si tu kwa hoja, bali hata marejeo iliyofanya kuhusu kutimuliwa kwa watumishi hao.
Alisema ameshuhudia mabadiliko makubwa ya sera yaliyochochea ukuaji wa uchumi, uimarishwaji wa utawala bora, huduma bora kutokea taasisi za umma na mengineo, katika utawala wa Rais Magufuli.
Aliongeza kuwa Rais Magufuli ameingia madarakani wakati nchi ikiwa imegubikwa na matatizo ya rushwa huku vyombo vya habari vikinunuliwa kusaidia kundi maalumu la watu.
Aliongeza, “Magufuli anawahangaikia wananchi wake kuishi maisha bora kitu ambacho baadhi ya wachumi hawakipendi na kutafutia sababu ya kufanya aonekane ni kama mtu mbaya anayegandamiza demokrasia, uhuru wa vyombo vya habari na mengine mabaya.”
Alisema katika utawala wa Rais Magufuli ameshuhudia viongozi wakifunguliwa mashtaka mahakamani huku wengine wakifukuzwa kwa kuhujumu mali za umma na taasisi za umma zikiimarika, lakini wachumi wameona kuwa hiyo ni sawa na kazi bure.
Pia alizungumzia harakati za Rais Magufuli za kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia hasa akitolea hatua ya hivi karibuni ya kukutana na Waziri wa Mambo ya Ulinzi wa Israel, kuwa ni harakati za kuinadi nchi kimataifa zaidi.
Aidha, aligusia sera za Rais Magufuli katika kulinda maliasili na nishati za nchi, ambapo kupitia hilo kwa sasa nchi imeanza kunufaika na madini yake huku kampuni kama Acacia iliyokuwa ikinufaika na madini hayo ikibanwa, Dk Verhofstadt ameshangazwa na kwa nini wachumi wamekerwa na hatua hiyo.
Mzungu huyo alivitaka vyombo vya habari vya nje kutoandika habari za Tanzania kwa mazoea, akitolea mfano wa kitendo cha vyombo hivyo kukosoa hatua ya serikali ya kuwazuia wasichana wanaopatiwa mimba kuendelea na masomo, akisema kwa mujibu wa tamaduni za Tanzania, hiyo ni sawa.
Chanzo: Habari leo
Kwa hiyo Lisu kaenda tibiwa ubelgiji kwa wajinga?Hata ulaya wajinga wapo
Kwahiyo mzungu amesema zile Trillion 200 tunazowadai Acacia tutalipwa?Ngoja waje wasaliti wa nchi hii watoe mapovu bila hata facts!! Mzungu ametoa facts mururwa siyo blabla za Chadema na Maaskofu wale wa KKKT!!
Wewe ndiyo zero kabisa!! Tunaongelea kitu kingine unaleta mambo ya Acacia!! Nonsense comments!!Kwahiyo mzungu amesema zile Trillion 200 tunazowadai Acacia tutalipwa?
ZEROOO kantri
Hizo Trillion 200 mmelipwa nyie ZEROOO teh teh tehWewe ndiyo zero kabisa!! Tunaongelea kitu kingine unaleta mambo ya Acacia!! Nonsense comments!!
Chanzo Habari Leo.MTAALAMU wa masuala ya afya kutoka Ubelgiji anayefanya kazi na moja ya taasisi isiyo ya kiserikali katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Dk Herman Louise Verhofstadt amewakosoa watu hasa kutokea mataifa ya Magharibi wanaokashifu juhudi za Rais John Magufuli katika kuendeleza Tanzania.
Dk Verhofstadt katika makala yake ya maneno 1,500 aliyoiandika kwenye Mtandao wa Pan African News Hub na kisha kuandikwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii nchini, ameonesha kukerwa zaidi na wachambuzi wa nje wakiwamo wanahabari wanavyomzungumzia Rais Magufuli.
Mzungu huyo alisema kwa muda wa nusu muongo aliokaa nchini, anamuona Rais Magufuli kuwa ni mkombozi wa Watanzania na kiongozi ambaye atalipeleka taifa hili katika uchumi wa kati na wa juu zaidi.
Mtaalamu huyo alianza makala yake kwa kukosoa habari iliyoandikwa katika jarida la Economist ikimkosoa Rais Magufuli na kumfananisha na Rais Donald Trump, kuwa anatimua watumishi kupitia mikutano yake inayorushwa moja kwa moja kwenye televisheni.
Alilikosoa jarida hilo si tu kwa hoja, bali hata marejeo iliyofanya kuhusu kutimuliwa kwa watumishi hao.
Alisema ameshuhudia mabadiliko makubwa ya sera yaliyochochea ukuaji wa uchumi, uimarishwaji wa utawala bora, huduma bora kutokea taasisi za umma na mengineo, katika utawala wa Rais Magufuli.
Aliongeza kuwa Rais Magufuli ameingia madarakani wakati nchi ikiwa imegubikwa na matatizo ya rushwa huku vyombo vya habari vikinunuliwa kusaidia kundi maalumu la watu.
Aliongeza, “Magufuli anawahangaikia wananchi wake kuishi maisha bora kitu ambacho baadhi ya wachumi hawakipendi na kutafutia sababu ya kufanya aonekane ni kama mtu mbaya anayegandamiza demokrasia, uhuru wa vyombo vya habari na mengine mabaya.”
Alisema katika utawala wa Rais Magufuli ameshuhudia viongozi wakifunguliwa mashtaka mahakamani huku wengine wakifukuzwa kwa kuhujumu mali za umma na taasisi za umma zikiimarika, lakini wachumi wameona kuwa hiyo ni sawa na kazi bure.
Pia alizungumzia harakati za Rais Magufuli za kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia hasa akitolea hatua ya hivi karibuni ya kukutana na Waziri wa Mambo ya Ulinzi wa Israel, kuwa ni harakati za kuinadi nchi kimataifa zaidi.
Aidha, aligusia sera za Rais Magufuli katika kulinda maliasili na nishati za nchi, ambapo kupitia hilo kwa sasa nchi imeanza kunufaika na madini yake huku kampuni kama Acacia iliyokuwa ikinufaika na madini hayo ikibanwa, Dk Verhofstadt ameshangazwa na kwa nini wachumi wamekerwa na hatua hiyo.
Mzungu huyo alivitaka vyombo vya habari vya nje kutoandika habari za Tanzania kwa mazoea, akitolea mfano wa kitendo cha vyombo hivyo kukosoa hatua ya serikali ya kuwazuia wasichana wanaopatiwa mimba kuendelea na masomo, akisema kwa mujibu wa tamaduni za Tanzania, hiyo ni sawa.
Chanzo: Habari leo
Huyu muzungu huyuHuyu mzungu amegundua kuwa ukitaka kuchota mali za Tanzania msifie Magufuli, ccm na Serikali yake, hapo sasa atachuma mpaka avimbewe
We ndio kichwa panzi kabisa mi mzungu akisifu au kuponda hainipi any alert maana sisi wananchi wenyewe tunajua madudu yanayoendelea hata wale wanaoponda naona bado hawako katika hali ya mwananchi wa kawaida maana wangetakiwa waponde zaidi ya hivyo wanayopondaMchango Dhaifu wa Mfuasi Hasi.
Mzungu akitumponda kwako ni Chanya.
Hujielewi Mzee. Wake Up. F**k Up
Mnaibiwaje wakati mna polisi na jeshi? Au kazi ya polisi imebadilika siku hizi badala ya kulinda mali za raia inailinda ccm?
Ukisema mnaibiwa ni kulikosea neno wizi kwani mwizi huvunja na kuiba bali wazungu mmewapa wenyewe tena kwa maandishi! Hawaibi wanachukua mlichokubaliana nao ninyi ccm! Msituzuge eti wezi wa rasilimali zetu ilihali mna vyombo vya ulinzi! Kichefuchefu kabisa hiki! Tafuteni msamiati mwingine huu wa wizi umechuja na mnajichora!