Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli

Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli

Status
Not open for further replies.
Aksante Ngokongosha (= Ikungurume) kwa kuleta humu uchambuzi wa kisomi toka kwa Dr Herman (a medical doctor) wa Ubirigiji ambaye amekuwa hapa Tanzania kwa miaka minne.

Wasomi wetu wanatakiwa kuwa namna hii. Haijalishi umesomea fani gani. Yaani nchi inajenga reli ya umeme ya thamani ya USD 7.5 billion kwa pesa zake za ndani (bila mkopo), halafu mtu anakuambia nchi hiyo uchumi wake umesinyaa na wewe unakubali. Inajenga hydroelectric power plant ya USD 6.5 billion kwa hela yake huku eti unaambiwa ilishafilisika kiuchumi etc etc.
 
Mkuu Ngokongosha, asante kwa bandiko hili. Hiki kinachofanywa na mwandishi huyu, ndicho kitu kilipaswa kufanywa siku nyingi na media zetu.

Paskali

Dear Paskali, this is absolute truth and facts given by a foreigner in our country.

Watanzania wengi tunajisahau kuwa kuna wakati wa kufanya siasa na kuwakati wa uzalendo.

What the economist is doing is condemning the Tanzanian Nation at large, while using the opposition cries, what we don’t understand is that they are adding their destructive agenda to the plight of our humble opposition .

Kitu cha kushangaza haya magazeti yetu hayako tayari kuipigania nchi NA watanzania kwa ujumla, hii inaonyesha udhaifu wa utanzania wetu.
 
OUR CIC.... till the end TUKO PAMOJA... not like a Tanzanian wanker like u with ur HOAX of a president
I can see Ganja1 has been reminding himself of the good old collage days by plugging your butt. Please do douche your anal orifice today, The C in C's Phallum doesnt look good with yesterday's Githeri and sukumawiki stuck to it. Asshole
 
"Mwogopeni mkurupukaji" nyerere alisemaga ...eti wafungwa wanyimwe chakula...akili gani hizoo jamani[emoji239] [emoji241] [emoji191] [emoji125]
FB_IMG_1521211915504.jpg
 
I can see Ganja1 has been reminding himself of the good old collage days by plugging your butt. Please do douche your anal orifice today, The C in C's Phallum doesnt look good with yesterday's Githeri and sukumawiki stuck to it. Asshole
Mange Kimbambi is behind all this...nimenfuatilia sana pale kwenye page yake na hivyo vilivyoandikwa hapo havina tofauti hata kidogo.. Opposition wanajikuta wako smart sana
 
You GUYS have the MOST BULLSHIT president in Africa the whole world knows it.. ONLY you fools believe in Magu-FOOL-I
What about the most Corrupt, Drunkard president of yours[emoji23][emoji23] The whole universe knows..

Kama hujui Raila anakula nusu mkate pole[emoji23][emoji23] Na Tz ndio tume force mpaka Raila amepewa madaraka makubwa hivyo, We Rule the E.AFRICA
 
Nguvu iliyotumika kuisambaza ile article ya The economics pia ndio inapaswa kutumika kuisambaza na hii na ikiwezekana Tui-Tag kwenye page za social media za The economics ili wajione walivyoumbuliwa kirahisi mnoo na mzungu mwenzao. OVER
 
Economist hawawezi pata faida yoyote ya kuwatetea Ukawa,aidha kama sio kwa their pure observations and sincerety,watakua wanapata faida kwa wengine,sidhani kama ina-make any sense whatsoever eti kuna kitu Ukawa wanaweza wapa,Ukawa=Zero money!Hiyo ni fact!

On the other side sasa,mwandishi mwenyewe kapiikiwa hapa hapa DSM,na CCM=Full money...halafu wasifu wa mwandishi ni wa ajabu sana!

Nendeni zenu huko!
Nakumbuka ccm kuchokwa na wazungu kipindi kile cha uchaguzi.... ile ilikuwa kwa faida ya nani kauli ile? ukawa? wazungu au ccm?
ilikuwa ni kwa faida ya wananchi? laa lalalala... kwa faida ya wazungu tu.. walioichoka ccm ni wazungu sio watanzania... wazungu..

kwahiyo siwezi kuamini kuwa wazungu siku moja wafanye au waseme jambo kwa maslahi ya mwafrika hata ikiwa serikali ni ya chadema sasa. sina shaka na stand hiyo ya wazungu dhidi ya maslahi yao hapa kwetu especially yanapohatarishwa na uongozi rogue kama wanavouita...

kina mangungo wa msovero hamtakosekana leo, hii ni dalili ya wazi ni kwa namna gani elimu zetu zilizobez ulaya hazituwezeshi kuona baya lolote la watu wa ulaya... utakuta mtu ana flo english vizuri tu, anadhani kasoma na kaelimika kweli lakini fact moja tu ambayo inampelekea kujikomboa kama muafrika, jitu hili jinga litaibeza , litaishambulia kwa dharau na huku linajiambia liko sahihi na wajinga ni wale wanaosapot na ku work together ku accomplish chochote kama jamii ....

kina kipanya wale walitakiwa kuchora katuni zikionesha mazungu yanavoimong'onyoa hii nchi daily mpaka wananchi wajue wame porwa mali zao kiasi gani.....

kule ulaya wapi kuna mgodi wa dhahabu mpaka mataifa yale yawe na umiliki wa madini mengi namna ile kama sio yanaibiwa uku kwetu??????
 
Hivi ndo vitu ambavyo akina Msigwa na wenzake wa Lumumba inabidi wafanye. Facts zipingwe kwa facts. Siyo hawa vijana wa Lumumba wanashinda JF wakiachia povu na kutukana. Povu na ulalamishi kamwe haviwezi ku-challenge andiko kama la Economist.

Mfano sijaona magazeti ya nje yanapo-acknowledge uthubutu wa JPM kujenga reli, na miradi mingine mikubwa! Hata re-negotiations za mikataba ya madini...I mean siyo kwamba JPM hana mabaya..Lakini na mazuri yake yasemwe! Tumkome nyani giladi!

Next time mkiona gazeti la kimataifa liwe the economist, Bloomberg nk wameandika habari negative kuhusu nchi/serikali yetu..inabidi wahusika waingie front kujibu kwa kuweka records straight. siyo kukimbilia JF na kuanza kulialia kwamba JPM anachukiwa na haya magazeti/jarida. Dunia haina huruma na yeyote.
Hujaona kwa kuwa hupendi kuona ....sema umefurahi kwa kuwa aliyejibu ni mlami na kiukweli hii ndio lugha wanayoisikia vyema haswa wanapoambiwa na wenzao
 
Mkuu Ngokongosha, asante kwa bandiko hili. Hiki kinachofanywa na mwandishi huyu, ndicho kitu kilipaswa kufanywa siku nyingi na media zetu.

Paskali
Paskali, tatizo la media zetu zinazoendeshwa kwa kodi zetu zinaongozwa na watu wanaoteuliwa kwa ushabiki wa kisiasa badala ya uwezo wa mtu. Matokeo yake hawana uwezo wa kujenga hoja za kujibu mapigo, kazi yao ni kusifia kila kitu.
 
Hawa economist nilipitia jarida leo nikajua ni upuuzi, kuna economist & Bloomberg , kwa mbali na BBC ,wanatumika sana kutoa makala ya kuichafua nchi yetu, kuna mtangazaji mmoja wa BBC nimesikia eti anasema maandamano yazidi kupamba moto Tanzania ,jamaa kakomaa na sauti yake kama kala makande kuongea vitu ambavyo havipo, yaani sisi watanazania/waafrica sijui tuna matatizo gani kichwani. Clinton alishindwa uchaguzi, mbona hatuoni rally za kila siku zikiendelea mji mmoja kwend mwingine? sana sana utamuona kwenye fund raising to mara moja , tujikite kwenye udhalishaji na tufanye siasa tukifuata sheria na taratibu,mazungumzo, tukipenda kusikia wazungu wa nje basi nchi yetu hii tutaipasua.
 
Nakumbuka ccm kuchokwa na wazungu kipindi kile cha uchaguzi.... ile ilikuwa kwa faida ya nani kauli ile? ukawa? wazungu au ccm?


Unaweza kua sawa,ila ni vita kati ya hao wazungu na CCM,yanini mnawatukana Chadema kwa vita yenu nyie?Maana ni wajibu wa CCM kuifanyia kazi hii nchi na vita yake na wazungu wanatakiwa waifanye bila kuchanganya wengine..

kwahiyo siwezi kuamini kuwa wazungu siku moja wafanye au waseme jambo kwa maslahi ya mwafrika hata ikiwa serikali ni ya chadema sasa. sina shaka na stand hiyo ya wazungu dhidi ya maslahi yao hapa kwetu especially yanapohatarishwa na uongozi rogue kama wanavouita...

Sio wote wako hivyo..na sio mzungu tu,hata Waafrica wenyewe kwa wenyewe wanaweza wasiongee kitu kwa faida ya Muafrica huyo huyo..Kumbuka tuna Wachina,Wahindi na Waarabu..sio lazima Wazungu tu...Mataifa mengine wakiandika CCM vibaya sio ishu,ishu ni Mzungu aandike?Hii inakua myopic thinking..

kina mangungo wa msovero hamtakosekana leo, hii ni dalili ya wazi ni kwa namna gani elimu zetu zilizobez ulaya hazituwezeshi kuona baya lolote la watu wa ulaya... utakuta mtu ana flo english vizuri tu, anadhani kasoma na kaelimika kweli lakini fact moja tu ambayo inampelekea kujikomboa kama muafrika, jitu hili jinga litaibeza , litaishambulia kwa dharau na huku linajiambia liko sahihi na wajinga ni wale wanaosapot na ku work together ku accomplish chochote kama jamii ....


Unafeli sana kudhani ni lazima mtu akubaliane na CCM na serikali yake ndio aonekane mzalendo?Mzalendo haangalii CCM wala serikali yake...Hivyo hoja ya Mangungo ni ya kijinga kwa kuchukua mtakabali wa CCM na serikali yake kama the only entities zinazostahili kuungwa mkono ili uonekane mzalendo....Hamna kitu nisichokiamini kama CCM ana serikali yake,I will never be on their side na ni mzalendo as it comes!

kina kipanya wale walitakiwa kuchora katuni zikionesha mazungu yanavoimong'onyoa hii nchi daily mpaka wananchi wajue wame porwa mali zao kiasi gani.....


Mkuu anaemomonya hii nchi tangu mwaka 1961 ni CCM wanaoeruhusu huu unyonyaji wa Wazungu mnaodai,Chadema haihusiki wala wananchi hatuhusiki,tunawalalamikia nyie....Wa kwanza kuchorwa ni CCM na serikali tuliowapa mandate tangu mwaka 1961 na kuiba na hao wazungu...Kwa kifupi hii vita ya CCM na wazungu mnayoisema nia vita kati ya wezi wawili waliozidiana maslahi.Sisi wananchi hatuhusiki,sisi tunatakiwa tumuadhibu CCM kwa kuruhusu na kushirikiana na mzungu kutuumiza....wezi watupu

kule ulaya wapi kuna mgodi wa dhahabu mpaka mataifa yale yawe na umiliki wa madini mengi namna ile kama sio yanaibiwa uku kwetu??????

Mkuu,kwenye madini Tanzania ni uchafu juu ya uchafu..madini iliyonayo Marekani tu ni bara la Africa combined..Northern Europe/Ireland kuna mafuta na gas,Australia is another monster,South Africa ambayo basically ni nchi ya mzungu usiseme..Tanzania ni vichaa watupu wanasimama na kusema eti tuna maliasili dunia inatuonea gere,shaarra'p! Hebu tafadhali soma vizuri natural resources za North America,Europe,Russia,Australi halafu uje uongee utumbo wa TZ...
 
hana lolote huyu mzungu koko... anatafuta tenda ya kifisadi kwa Ba-SHIT-e !!
 
Huyo Mwandishi hayupo na hii makala imetungwa na CCM na kuweka jina la mzungu.

Huyo mtu hayupo.

Nimejaribu kufanya uchunguzi wangu. Huyu mtu anasema ni mzungu n.a. no social worker na ni Dr. One maana ni mtu mwenye nafasi kubwa ndani ya NOT yake. Haiwezekani jina lake lisitokee mahali popote kwenye mitandao yote.

Pia wazungu huwa hawatumii cheo Dr mpaka kama anafundisha au ni daktari wa kutibu. Hivyo hawa ni Waswahili wa Lumumba wameweka majina ya Wazungu Ili waaminike.

Jambo lingine kwa kiongozi wa BRO kujiingiza kwenye siasa za nchi ni makosa hivyo sio rahisi kuandika barua kama hiyo.

Hii barua imeandikwa na akina Mwanakijiji na kundi lake la Lumumba
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom