luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,709
- 8,918
naona dawa imekuingia mnadhan watz wa sasa n wa karne ya 12
naona dawa imekuingia mnadhan watz wa sasa n wa karne ya 12
Mbona wewe ni Luambo feki? Franco alishakufa tangu 1989.naona dawa imekuingia mnadhan watz wa sasa n wa karne ya 12
sikushangai hata jina lako linasadifu how you areMbona wewe ni Luambo feki? Franco alishakufa tangu 1989.
Mbona unaweweseka?sikushangai hata jina lako linasadifu how you are
katibiwe magonjwa yako
katibiwe akiliMbona unaweweseka?
Luambo feki.katibiwe akili
Kweli j=hamjielewi. Sasa hivi m=badala ya kufanya kazi mawazo yote ni maandamano 26th April Really???? Wakati anayehamasisha yuko kwake kwa raha zake. Kwlei mnajitambua kweli!Yaani wanaona sisi vilaza hatujielewi mpaka mzungu ndo atusemee? CCM ni laana
Na anayehamasisha vurugu yuko zake magogoni anakula bata we umekaa hapo benchi la lumumba unapiga porojo na bado buki 7 hupewi cashKweli hamji
Kweli j=hamjielewi. Sasa hivi m=badala ya kufanya kazi mawazo yote ni maandamano 26th April Really???? Wakati anayehamasisha yuko kwake kwa raha zake. Kwlei mnajitambua kweli!
Huyu haingilii mambo ya ndani, ila angekuwa amekosoa ungewaona hapa!!Hata ulaya wajinga wapo