Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli

Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli

Status
Not open for further replies.
159.gif
 
Even when kenya is not involved you still pull us in ...wewe uko na shida akili
Leave the poor bugger alone. He has wasted so many years revealing and promoting his envious attitude towards Kenya. It is his sole life's work. It will top up there when his obituary is being read.
 
Sawa kabisa. Wale "noveau riche" waliokuwa wanatesa kwa matanuzi ya pesa za pombe bar na nyumba na magari ya bei mbaya mitaani sasa wapo chali na wamekuwa vitu adimu siku hizi. Magufuli is doing a great job. Everybody is toeing the line aka kuisoma namba.
 
Sawa kabisa. Wale "noveau riche" waliokuwa wanatesa kwa matanuzi ya pesa za pombe bar na nyumba na magari ya bei mbaya mitaani sasa wapo chali na wamekuwa vitu adimu siku hizi. Magufuli is doing a great job job. Everybody is toeing the line aka wanaisoma namba.
Mawazo ya kimasikini sana haya.
Mtu unapata kiki kuona tajiri akinyanyaswa?
Nawe utatajirika lini?
 
Waisrael The Economist ni wamoja endeleeni kujidanganya vile ni taifa teule wamesema
 
Uchambuzi huu bora sana. Hapa suala sio akina Msigwa wala vijana wa Lumumba, hapa tatizo ni sisi wote Watanzania. Economist wanaishambulia nchi yetu, wanamshambulia Rais halafu tunakaa kimya wote waandishi wa habari, wasomi, wachambuzi wa siasa na kila mtu eti tunamsubiri Msigwa na Lumumba. Tena mimi kwa mawazo yangu kwenye mapambano kama haya akina Msigwa na Lumumba hawapaswi kufunua mdogo maana wataonekana wanajitetea. Hapa palitakiwa tuuone ubingwa, umahiri na uzalendo wa akina Pascal Mayalla. Kilichofanywa na Economist ni attack against our country not against somebody. Tatizo letu we are not putting Tanzania first. Lakini nadhani hili limetufunza.
Ndugu zangu with the presence of Social media platforms tunaweza kuwanyoosha hao Economist wasirudia kuandika upuuzi wao. Mimi nimejifunza sana na huyu Mzungu wa Arusha kuna mengi hajaandika wacha nijipinde nitarudi sio muda mrefu
 
Lakini wahenga husema mti wenye matunda ndo hupigwa mawe. Kama hauna matunda no stones thrown against it. Lakini haya ni mawazo yangu tu.
 
Uchambuzi huu bora sana. Hapa suala sio akina Msigwa wala vijana wa Lumumba, hapa tatizo ni sisi wote Watanzania. Economist wanaishambulia nchi yetu, wanamshambulia Rais halafu tunakaa kimya wote waandishi wa habari, wasomi, wachambuzi wa siasa na kila mtu eti tunamsubiri Msigwa na Lumumba. Tena mimi kwa mawazo yangu kwenye mapambano kama haya akina Msigwa na Lumumba hawapaswi kufunua mdogo maana wataonekana wanajitetea. Hapa palitakiwa tuuone ubingwa, umahiri na uzalendo wa akina Pascal Mayalla. Kilichofanywa na Economist ni attack against our country not against somebody. Tatizo letu we are not putting Tanzania first. Lakini nadhani hili limetufunza.
Ndugu zangu with the presence of Social media platforms tunaweza kuwanyoosha hao Economist wasirudia kuandika upuuzi wao. Mimi nimejifunza sana na huyu Mzungu wa Arusha kuna mengi hajaandika wacha nijipinde nitarudi sio muda mrefu
Well said but hata hivyo Watanzania wengine ni kama wao hawaishi hapa Tz kwasababu vitu vizuri vikiwa Tz sio vizuri vi vibaya. Kwa mfano Lindi na Mtwara siku za nyuma walihangaika sana kuuza korosho kwa bei nzuri wamefaulu tu juzi halafu wengine wanachang'anya na kokoto hata mchanga. Basi tu ndo wengine wa Tz tulivyo. Samehe 7x70.
 
well narrated, no gun hoja kwa hoja, serikali ina mazuri yake mengi sana
Mkuu ulisoma analysis ya mh msigwa juu ya upinzani wa Tanzania?
Msigwa alisema "" kazi ya upinzani ni kuchonganisha serikali na wananchi,ili wananchi waichukie serikali iliyopo madarakani ili uchanguzi ukifanyika wao wapinzani waweze kukamata dola":
Sasa kwa mawazo hayo unategemea kwamba wapinzani wataona kazi nzuri za serikali?
 
Uwongo unapopingwa kwa kudanganya.
Huyu jamaa anaposema magufuri amekuta nchini kuna maandamano yaliyokuwa yanasababisha vifo

Yepi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom