funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,036
Mwanaume ni kama taa muda wowote kukiwa na giza unaiwasha na inawaka hapo hapo na ikimaliza kazi yake inazimika mara moja
Mwanamke ni kama pasi ukitaka kunyoosha nguo unaiwasha inachukua muda kushika moto na ikishakolea ukimaliza kazi yake unaizima na inachukua muda mrefu kupoteza joto
Wakubwa wenzangu hapo mtakuwa mmenielewa
Mwanamke ni kama pasi ukitaka kunyoosha nguo unaiwasha inachukua muda kushika moto na ikishakolea ukimaliza kazi yake unaizima na inachukua muda mrefu kupoteza joto
Wakubwa wenzangu hapo mtakuwa mmenielewa