EXCLUSIVE INTERVIEW...Topic: Madhara ya Urafiki wa Kwenye mitandao!!

EXCLUSIVE INTERVIEW...Topic: Madhara ya Urafiki wa Kwenye mitandao!!

Wakuu!
Niwashukuru sana watu8 na Heaven on Earth kwa ushiriki wao katika hii interview.

Pia niwaombe sana radhi wana MMU wote kwa mimi kutokuwa active sana siku ya leo.

Jamani kuna mambo yalijitokeza tofauti
Na nilivyokuwa nimepanga na yakawa nje ya uwezo wangu.
Sikutaka kabisa kuihairisha interview kwa siku ya leo,
So ilikuwa inaendelea kigumu sana.

Nawaomba sana msamehe kwani kile kilichokuwa kinatakiwa hakijafikiwa
moja kwa moja.
Nawapa ahadi ya interview bomba zaidi huko mbeleni..

lara 1 i have to share some of ur experience, umejitokeza tu kwenye uzi! Nimepata ujumbe kutoka kwa mdau akiomba nikuachie uendeleze, sema
Nilishindwa kufanya maamuzi
Kwa sababu sikuwa nimekushirikisha toka mwanzo.
Na nilimuuliza why u? Ndiyo hakunijibu tena.

Matola, ulinishtukia mapema na ukauliza kama nimejiandaa, infact nilijiandaa vizuri!
sema majukumu mengine yakawa yameingilia so nikawa napiga ndege 2 kwa jiwe moja.
huyu wa jf akanielemea zaidi

Asanteni sana na karibuni tena kwenye interview nyingine!
 
Last edited by a moderator:
mmmh kulikuwa na virus wengiii watu wanaambiwa wakae pembeni vidole vinawawasha lol
ila nimependa japo mambo mengi hayakuulizwa
 
Jaman muda wa maswali ni kesho,tuwaache wapumuee
Wametubania hatukupewa nafasi washiriki wengine kuuliza maswali. Lkn nakupa hongera manake kila wakikuchunia we umo tuu bhagosha/jamani hebu mwallu njoo pande hii utoe maana ya hili neno.
 
Last edited by a moderator:
Ingependeza zaidi ukamhoji mtu mmoja kwa wakati mmoja walau somo litaeleweka. Kuna interview ziliwahi kurindima hapa ikiwa ya Zitto na ingine ya The Boss kama nakumbuka vizuri AshaDii alikuwa msimamizi yaani ilikuwa vigumu kupost katikati ya maongezi. Chukua mwongozo kwa AshaDii.
 
Last edited by a moderator:
Asante sana..kwa maelezo murua.
Is ur family know anything about ur presence on jamiiforums?

Is there any of ur friends become ur family friends through jf connection?
Mkuu uran, nimefurahi sana mjadala unaoendesha ila nina mawazo kidogo...
Jaribu kutafuta lugha unayoielewa vizuri mkuu, sababu ukiandika hivi kwa kweli inakuwa shida kukuelewa...
Ni maoni tu mkuu!!
 
Last edited by a moderator:
Huu mnakasha ulinipita lakin baby yangu DEMBA aliniwakilisha vyema naona

Maswali yangu nitawauliza Heaven on Earth na watu8 in person.🙄
 
Last edited by a moderator:
Hicho cha 4 ichooooo.

You must be beautiful, napendaga sana hawa watu wa hiki kilugha. Niliwahi kuwa na mmoja wenu very beatiful sema tulitofautiana ye alikuwa na haraka ya kuolewa na mi nikawa nafurahia maisha ya useja.
 
You must be beautiful, napendaga sana hawa watu wa hiki kilugha. Niliwahi kuwa na mmoja wenu very beatiful sema tulitofautiana ye alikuwa na haraka ya kuolewa na mi nikawa nafurahia maisha ya useja.

Yani mie ni mzuri sana.....ine ni muza (swaga zangu hizo)...
lla poleeeeee...
 
Back
Top Bottom