EXCLUSIVE INTERVIEW...Topic: Madhara ya Urafiki wa Kwenye mitandao!!

EXCLUSIVE INTERVIEW...Topic: Madhara ya Urafiki wa Kwenye mitandao!!

Asante sana..kwa maelezo murua.
Is ur family know anything about ur presence on jamiiforums?

Is there any of ur friends become ur family friends through jf connection?

Hapana hakuna ajuaye mkuu isipokuwa a cousin brother of mine...

Hili swali la pili sijui kama nimelielewa kama ulivyokusudia, labda fafanua kidogo ili nitoe jibu fasaha...
 
ohoo! je, umewahi kupata hasara yoyote kwenye mitandao? au itokanayo na rafiki wa mtandaoni?
je,umeshawahi kumdissappoint any of ur friend on social network, yani hadi ile mwenyewe ukaona umem'boa au kumkwaza

mmhhh hasara nadhani zipo sidhani kama imewahi kua 100% positive all the way....

Nimewahi kuwakwaza ndio kwa mfano poor response....kumjibu mtu vibaya......
 
Hapana hakuna ajuaye mkuu isipokuwa a cousin brother of mine...

Hili swali la pili sijui kama nimelielewa kama ulivyokusudia, labda fafanua kidogo ili nitoe jibu fasaha...

ok..hilo la pili lilitegemea majibu ya hilo la kwanza!
nilimaanisha kama unamarafiki wa familia yako uliowapata kupitia jf.

Another question!
inamaana hata wife wako hajui kama upo jf?
 
Hapana hakuna ajuaye mkuu isipokuwa a cousin brother of mine...

Hili swali la pili sijui kama nimelielewa kama ulivyokusudia, labda fafanua kidogo ili nitoe jibu fasaha...

ok..hilo la pili lilitegemea majibu ya hilo la kwanza!
nilimaanisha kama unamarafiki wa familia yako uliowapata kupitia jf.

Another question!
inamaana hata wife/mchumba/girl friend wako hajui kama upo jf?
kama unae lakini.
 
ok..hilo la pili lilitegemea majibu ya hilo la kwanza!
nilimaanisha kama unamarafiki wa familia yako uliowapata kupitia jf.

Ooh!! hakuna mkuu, najaribu kufikiria hii scenerio ya kujenga urafiki na mtu halafu mwisho wa siku wagundua ni ndugu....

Another question!
inamaana hata wife wako hajui kama upo jf?

Huwa anajua tu kuwa ni mpenzi wa mtandao lakini mtandao gani haswa hilo hajui...

Ninapokuwa nyumbani mara nyingi huwa natumia simu badala ya dadavuzi, hii hunifanya nisiwe busy sana na mambo ya mitandao...
 
Mkuu jaribu kuipeleka fasta hii makitu, naona muda wa kuwajibika kwenye mambo mengine wakaribia...
 
mmhhh hasara nadhani zipo sidhani kama imewahi kua 100% positive all the way....

Nimewahi kuwakwaza ndio kwa mfano poor response....kumjibu mtu vibaya......

Usilale kwanza..
je, wewe huwa unafull fil promise zote unazopanga na marafiki zako?
je, uliwahi kumdis appoint friend wako kwa kutotimiza ahadi?
 
Muuliza maswali jipange fresh next tym, interview iwe hot, hii imepoa kinoma.
 
Sasa jamaniii huo mda wa sisi kuuliza maswali unafika sangapi? Maana naona tumesahaulika huku
 
Asante sana..kwa maelezo murua.
Is ur family know anything about ur presence on jamiiforums?

Is there any of ur friends become ur family friends through jf connection?

hahahahahahahaaaaa...
Nimecheka sana....
 
Wana MMU! karibu sasa. mnaweza kuendelea kuchangia mada according to the topic.

karibuni.
 
Back
Top Bottom