EXCLUSIVE INTERVIEW...Topic: Madhara ya Urafiki wa Kwenye mitandao!!

EXCLUSIVE INTERVIEW...Topic: Madhara ya Urafiki wa Kwenye mitandao!!

ok..niambie sasa kuhusu JF..hapa umesema hujuani na marafiki zako wengi..

je,unadhani hii inaongeza uhuru wa kujiachia zaidi?
Japokuwa umwesema huwajui wengi humu
je, una mawasiliano nao zaidi ya humu(like simu n.k)

1.nawafaham watu wawili tu mbao tumewahi kukutana face to face
na tukaenjoy our good times together ka marafiki na hadi kesho huwa tunawasiliana

2.kuwafaham hainizuii kitu...ndio maana huwa naandika chochote kinachokuja in my mind

3.wengine tunawasilina sana tu kwa PHONE...ila hatujaonana
 
Sijawahi kwaruzana na mtu.

Hivi kuna watu huwa wanakwaruzana FB??

wapo mkuu..
mkuu hebu tuendelee sasa have you ever do real dating on social networks?
 
1.nawafaham watu wawili tu mbao tumewahi kukutana face to face
na tukaenjoy our good times together ka marafiki na hadi kesho huwa tunawasiliana

2.kuwafaham hainizuii kitu...ndio maana huwa naandika chochote kinachokuja in my mind

3.wengine tunawasilina sana tu kwa PHONE...ila hatujaonana

ok..Heaven umewahi labda kupata Mpenzi kupitia mitandao?
 
wapo mkuu..
mkuu hebu tuendelee sasa have you ever do real dating on social networks?

Bad for em...

Nada, sijawahi kufanya mkuu na kiukweli watu8 kwa kiasi fulani haafiki maudhui ya dhana ya 'online dating'...
 
Bad for em...

Nada, sijawahi kufanya mkuu na kiukweli watu8 kwa kiasi fulani haafiki maudhui ya dhana ya 'online dating'...

thats so good, lakini hii kitu ya kudate kupitia mitandao we unaionaje?
Hata ile ya kichit chat we unadhani ina impact gani?
Hivi haiwezi kujenga hamasa yoyote ile?

from joking to reality? especially pale users wanavyoitana majina ya kimahaba?
 
ha ha ha ha ha..je kuwa seduced? ishakutokea?
how do u overcome it?

hiyo ipo sana tu tena kwa bint mrembo kama mimi LOL...........


I know what I want naamin nisipokuwa makin naweza kuishia kulalwa na kuwa used tu....
Najitambua tu...na kujielewa...ko nina limits zangu....
 
hiyo ipo sana tu tena kwa bint mrembo kama mimi LOL...........


I know what I want naamin nisipokuwa makin naweza kuishia kulalwa na kuwa used tu....
Najitambua tu...na kujielewa...ko nina limits zangu....

mhhh,. Yetu macho!!
 
hiyo ipo sana tu tena kwa bint mrembo kama mimi LOL...........


I know what I want naamin nisipokuwa makin naweza kuishia kulalwa na kuwa used tu....
Najitambua tu...na kujielewa...ko nina limits zangu....

mhhh,. Yetu macho!!

Sorry for interruption,..lol
 
thats so good, lakini hii kitu ya kudate kupitia mitandao we unaionaje?

Labda nifafanue jambo moja mkuu,

Ili watu wawili waweze kufanya dating huwa kuna mambo matatu yanapaswa kutangulia;
1. Kukutana
2. Kufahamiana
3. Get attracted to each other(nimekosa tafsiri ya haraka ya Kiswahili)

Sasa hizi social networking zenyewe ni platforms tu za kukutanisha watu na watu hao kufahamiana.
Ila wapo ambao husogea hatua moja zaidi ya kutamaniana na hatimaye kuwa wapenzi.

watu8 mimi ni mhafidhina, naamini katika ulimwengu unaoonekana zaidi hivyo hata kama umekutana na kufahamiana na mtu, suala la dating linapaswa liwe nje ya mtandao.

Hata ile ya kichit chat we unadhani ina impact gani?
Hivi haiwezi kujenga hamasa yoyote ile?

from joking to reality? especially pale users wanavyoitana majina ya kimahaba?

Kwangu chitchat haijabadilisha lolote kwa kuwa nje ya maongezi ya kichitchat bado kuna heshima na mipaka halisia.

Ukitaka uiweze chitchat basi yakupasa uwe na heshima 'discpline' ya dhana nzima ya chitchat...yaani usitazame mambo kiuhalisia kama yalivyo.

Hivyo kwangu so far haijaniletea madhara yoyote...
 
hiyo ipo sana tu tena kwa bint mrembo kama mimi LOL...........


I know what I want naamin nisipokuwa makin naweza kuishia kulalwa na kuwa used tu....
Najitambua tu...na kujielewa...ko nina limits zangu....

Safi sana mrembo.
mpenzi wako, kama unaye, anafahamu matumizi yako ya mitandao?

mliwahi kuntradict in any means kwa sababu ya marafiki zako wa mtandaoni?
 
Labda nifafanue jambo moja mkuu,

Ili watu wawili waweze kufanya dating huwa kuna mambo matatu yanapaswa kutangulia;
1. Kukutana
2. Kufahamiana
3. Get attracted to each other(nimekosa tafsiri ya haraka ya Kiswahili)

Sasa hizi social networking zenyewe ni platforms tu za kukutanisha watu na watu hao kufahamiana.
Ila wapo ambao husogea hatua moja zaidi ya kutamaniana na hatimaye kuwa wapenzi.

watu8 mimi ni mhafidhina, naamini katika ulimwengu unaoonekana zaidi hivyo hata kama umekutana na kufahamiana na mtu, suala la dating linapaswa liwe nje ya mtandao.



Kwangu chitchat haijabadilisha lolote kwa kuwa nje ya maongezi ya kichitchat bado kuna heshima na mipaka halisia.

Asante sana..kwa maelezo murua.
Is ur family know anything about ur presence on jamiiforums?

Is there any of ur friends become ur family friends through jf connection?
 
Safi sana mrembo.
mpenzi wako, kama unaye, anafahamu matumizi yako ya mitandao?

mliwahi kuntradict in any means kwa sababu ya marafiki zako wa mtandaoni?

Mpenzi ninae......ila yuko maili 100 huko you can imagine.....
he is Ant Social I can say sijui ndo lifestyle yake hana cha FB wala JF wala nini....
ananiboaga saa nyingine...Ila inabidi nimu understand tu.

hajui ka hata niko JF...FB anajua nakumbuka tumewahi kugombana kisa kijana mmoja hivi duuh
na akaniambia nijiblock FB I was like WHAT!!!!!!!!!this is my LIFE ...let me live the way I want to...
kijana mwenyewe nilikuwa sina hata mahusiano...Wivu wake tu
 
Mpenzi ninae......ila yuko maili 100 huko you can imagine.....
he is Ant Social I can say sijui ndo lifestyle yake hana cha FB wala JF wala nini....
ananiboaga saa nyingine...Ila inabidi nimu understand tu.

hajui ka hata niko JF...FB anajua nakumbuka tumewahi kugombana kisa kijana mmoja hivi duuh
na akaniambia nijiblock FB I was like WHAT!!!!!!!!!this is my LIFE ...let me live the way I want to...
kijana mwenyewe nilikuwa sina hata mahusiano...Wivu wake tu

ohoo! je, umewahi kupata hasara yoyote kwenye mitandao? au itokanayo na rafiki wa mtandaoni?
je,umeshawahi kumdissappoint any of ur friend on social network, yani hadi ile mwenyewe ukaona umem'boa au kumkwaza
 
Back
Top Bottom