TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,513
- 11,276
Hicho cha 4 ichooooo.
Mh, kumbe eeh?
Hicho cha 4 ichooooo.
Yani mie ni mzuri sana.....ine ni muza (swaga zangu hizo)...
lla poleeeeee...
Hebu weka picha..
Ine ni muza
Usijaliiiiiii ntaweka mwakani... nikipata zawad ya camera siku ya boxing day...
poa...
za masiku mengi?
Usijaliiiiiii ntaweka mwakani... nikipata zawad ya camera siku ya boxing day...
nani anakuletea hiyo zawadi?
^^
Njema, nimekuona unakatiza mtaa wa thread hii nikaona si vibaya kukupungia mkono.
^^
Asante sana...
Sijakuona humu muda kidogo hadi nikakumisssss...
Am glad....
^^
Am happy too! Shughuli tu zinabana.
Nice day a girl without name!!
^^
Daaaaaaaa...
Kila siku nafunga na kuomba niletewe hiyo zawad na Asnam...
Kila la heri Mama,
Ila asipoileta basi uniambie ili nikuletee mimi..
Hiyo rahisi, nitakuzawadia pamoja na ATM Machine yake kabisa..
View attachment 127615
to hell!!, mnaleta kujuana hapa!