EXCLUSIVE INTERVIEW...Topic: Madhara ya Urafiki wa Kwenye mitandao!!

Japo sijapenda lugha ukiyotumia naungana nawe katika motive.
Jamani mnaotaka picha nenda instagram utaacha mwenyewe, msituharibie muhudhui ya threads za watu.

yeah ni kweli huwa inachosha sana...vitu havina Connection mtu anataka Picha...
 
Niko mingi ila niko addicted na JF more than ever........nahisi ndio huwa natembelea sana..most of the time niko huku

FB mara chache sana...naweza kukaa hata mwezi sijatia maguu..nadhan FB nina marafiki wengi niwajuao ila

JF nina friends wengi ambao siwajui

U just come into it.. kati ya fb na Jf ulianza kujiunga wapi?
 
Japo sijapenda lugha uliyotumia naungana nawe katika motive.
Jamani mnaotaka picha nenda instagram utaacha mwenyewe, msituharibie mahudhui ya threads za watu.

umenifurahisha et mnaotaka picha muende insta..umefikiria kweli mana kule ni picha tu mpka uchoke mwanzo mwisho.
 
FB nadhani tangu enzi hizoooo nasoma....JF nimejiunga recently

I think you can see it in before nilikuwa naingia as a GUEST....

kwa hiyo jf imekusahaulisha fb, regardles fb una marafiki unaowajua?
 
We ni mwanachama mitandao gani tena tofauti na jf?

Nipo katika mitandao mingi mkuu, nakumbuka mwanzoni kabisa nilianza kujiunga na mtandao wa hi5 baada ya kupata mualiko wa rafiki yangu(lakini sasa hivi nipo inactive)...

Wakati nikiwa hi5 ndio ikatokea ibuko la mtandao wa FB ambao nako nikajiunga. Huku nilijiunga kufuata marafiki wa zamani maana wakati huo sikuwa nakaa Tz...

Pia nipo Instagram. Tagged, Graduates.com na zaidi nipo LinkedIn (mtandao wa wanataaluma).
 
kwa hiyo jf imekusahaulisha fb, regardles fb una marafiki unaowajua?

Nothing new kule........bora niwe JF naenjoy sana...marafiki ninao ila sio wengi kihivo.....

I think nime loose marafiki wengi sanaa.....Here is where am making new friends again
 
Nipo katika mitandao mingi mkuu, nakumbuka mwanzoni kabisa nilianza kujiunga na mtandao wa hi5 baada ya kupata mualiko wa rafiki yangu(lakini sasa hivi nipo inactive)...

Wakati nikiwa hi5 ndio ikatokea ibuko la mtandao wa FB ambao nako nikajiunga. Huku nilijiunga kufuata marafiki wa zamani maana wakati huo sikuwa nakaa Tz...

Pia nipo Instagram. Tagged, Graduates.com na zaidi nipo LinkedIn (mtandao wa wanataaluma).

Safi! mitandao ya kikubwa zaidi!
Mkuu huo mtandao wa wanataaluma members mnajuana?
 
Nothing new kule........bora niwe JF naenjoy sana...marafiki ninao ila sio wengi kihivo.....

I think nime loose marafiki wengi sanaa.....Here is where am making new friends again

Sawa! ujue we are talking about madhara ya urafiki wa kwenye mitandao na wewe umesema, umeloose marafiki wengi sana, sasa uliwaloose kwa reason zipi?
kwanini uwapoteze?
 
Safi! mitandao ya kikubwa zaidi!
Mkuu huo mtandao wa wanataaluma members mnajuana?

Mmh!!!

Wengine tunafahamiana kwa kuwa ni watu niliosoma nao ngazi mbalimbali za kielimu, wengine ni wale tupo pamoja kikazi, wachache siwafahamu kabisa.

Unajua kuna utofauti wa mitandao ya kijamii, LinkedIn ni aina ya mtandao ambao unatoa fursa kwa mtu yoyote(normally ni wale waliopo katika ajira) kuweka CV zao online na wakati huo huo waajiri kutazama CV hizo na inapowezekana kutoa fursa za kazi.

Watu kule mara nyingi huwa hawafanyi interaction nyingine yoyote kinyume na zile za kitaaluma.
 
Sawa! ujue we are talking about madhara ya urafiki wa kwenye mitandao na wewe umesema, umeloose marafiki wengi sana, sasa uliwaloose kwa reason zipi?
kwanini uwapoteze?

No hao ni wale tuliofahamiana either nilisoma nao..wale tuliokua pamoja...tukacheza pamoja..etc
sio niliokutana through Social Network.....

na the reason of what happened mpaka urafiki kuisha kwa wengi wao sio result ya social Network
ilikuwa ni maaumuzi yangu tu after some Issues kutokea
.
 
Back
Top Bottom