Labda kwanini haujawahi? Hakuna mwanaume aliyejitokeza mtandaoni na kukutongoza au wanakuja wasiokidhi vigezo unawakatalia? Maana kwa ulivyo maarufu hapa lazima utakuwa umetongozwa tu.
Hongera kwa marafiki zako kama mahusiano yao yanaenda vizuri.
Ningependa nikutane na mtu iwe love at the first sight,haya mambo ya online dating mtu ana ghairi mawawazo baada ya kukuona live. Wakati huo umepoteza muda mwingi kuchat na kuongea kwenye simu.
Labda kwanini haujawahi? Hakuna mwanaume aliyejitokeza mtandaoni na kukutongoza au wanakuja wasiokidhi vigezo unawakatalia? Maana kwa ulivyo maarufu hapa lazima utakuwa umetongozwa tu.
Hongera kwa marafiki zako kama mahusiano yao yanaenda vizuri.
Ningependa nikutane na mtu iwe love at the first sight,haya mambo ya online dating mtu ana ghairi mawawazo baada ya kukuona live. Wakati huo umepoteza muda mwingi kuchat na kuongea kwenye simu.
no Saint Ivuga ila ukiangalia post anavyokaribishwa mamdogo... kuna commet ya kwanza mamdogo kajibu.. sasa jina naona limeandikwa gentlemanx ndo sijaelewa hapo..!!!!
Ningependa nikutane na mtu iwe love at the first sight,haya mambo ya online dating mtu ana ghairi mawawazo baada ya kukuona live. Wakati huo umepoteza muda mwingi kuchat na kuongea kwenye simu.