Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
Hivi wanaume wenzangu mbona mnataabika juu ya wanawake?
Sisi wanaume tumekirimiwa uwezo mmoja tu na Mungu, kuamua ni aina gani ya mwanamke tunayetaka kuwa naye.
Katika ulimwengu wa mapenzi, sisi ni kama Simba awindaye naam tumepewa uwezo wa kuchagua ni kitoweo gani kinafaa kwa mlo.
Mwanamke awe anapenda pesa mbele au asiwe anapenda pesa kabisa, binafsi wala sioni kama ananibabaisha.
Jamii ya wanawake wenye mtazamo kama lara 1 haijalishi wapo wengi kiasi gani, hawa wana aina ya wanaume wanaoendana nao.
Sanaa ya utongozaji huwa inaelekeza hizi, jambo la kwanza kabla ya kutupia ndoana unapaswa kutambua aina ya mwanamke umtakaye na ni kwa malengo yapi.
Hivyo kama utahitaji mwanamke wa kutumia chapaa yako kiroho safi, then consult lara 1 otherwise utaonekana a big fat loser.
Hivyo wanaume wenzangu jitambueni kwanza, mwanamke hajakamilika pasipo mwanaume. Leo hii lara 1 anajitapa kwa kuwa nyuma yake wapo wanaume au yupo mwanaume.
Mwambie Himidini huenda akapunguza kulalama juu ya wanawake na pesa na lawama zake (maana ni asili yake) azihamishie kwenye mfumo wa kiuchumi wa nchi.
Last edited by a moderator: