EXCLUSIVE INTERVIEW!! Mada: Mapenzi na Pesa......

EXCLUSIVE INTERVIEW!! Mada: Mapenzi na Pesa......

Lala 1 mwanaume ndo huwa mtu wa mwisho kuamua matumizi ya kinga(Condom)..Kutokana na life style yako bila shaka Condom kawa rafiki yako wa karibu ili uendelee kula hizi raha maana hatujui kama tuendapo zipo.Swali ushawahi kulala na mtu mkakubaliani avae then wakati wa majambozi akaivua Condom juu kwa juu?kama ilitokea ilikuaje ulivyogundua kama haijatokea ikitokea utafanyaje?

Swal la dogo la nyongeza:Ikitokea umepata mimba kwa mistake zozote upo tayali kuzaa?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mkuu naomba nikutoe wasiwasi.. "visichana" na "vivulana" vingi vinavyosoma huu uzi, wala havina clue ya kitu kinachoendelea hapa. Nimetangulia kusema this sh*t is deep!

Huyo Data mwenyewe HANA CLUE do maana anabwabwaja tu hapa! HE CANT READ BETWEEN THE LINES!!!!!
 
no kakaangu hapo unakosea
sio kila mwanamke
kuna ambao tunaamini ktk upendo na tumekuwa na watu ambao hawana kitu
bt ana vision na anabidii ya kutafuta
sio coz nimekupenda ndo ukae tu nakupiga chini

Mweleze hata kama huna kitu lazima uwe na mipango na uitekeleze
 
data nahsi kunapointi imekuvuka.. Kunapost anasema "kutoa hela haimaanishi avue pichu, hlo ni swala jingne linalohtaji ushawishi mwingne, anatumia hela yako kwa ajili ni ukatili kukataa huruma yako.
Hapa ndipo penye tatizo kubwa la msingi, ambalo watu wengi hawataki kuliona. Ukishaona mwanaume umefikia point ya kuona kwamba ili mdada akuvulie pichu lazma umhonge, then something is terribly wrong somewhere! It sn't spossed to be like that.. where did we go wrong?
 
Last edited by a moderator:
Jana nilikuwa nastorisha na wadada in their late 20's. Mawazo ya huyu sista ndo mawazo ya wanawake walio wengi sasa hivi, dunia imebadilika, baadhi ya wanawake ''wamechoka'' kufikiria... Wanahitaji ready-made, they are tired to strive on their own. Free lunch and dinner, then getting laid is the modern game..

tatizo kubwa kwa wanaume, wazazi wako wanaishi maisha ya kubangaiza, yawezekana kabisa una watoto wanaoishi maisha magumu, then unamsapotpi mwanamke ambaye hata asante kwake ni issue, i see the problem with men....some men are just ignorant kwa kweli.
lara 1 has been realistic but sorry to a.sses with a mentality of this kind..
Kuwa na itikadi za kipare ni vizuri saa nyingine!!imeandikwa amelaaniwa mtu anayewasahau watu wa nyumbani kwake.Kuhonga ni sawa nakula unga ukianza hauachi,Kuna watu wamejipa majukumu ya ubaba


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Lala 1 mwanaume ndo huwa mtu wa mwisho kuamua matumizi ya kinga(Condom)..Kutokana na life style yako bila shaka Condom kawa rafiki yako wa karibu ili uendelee kula hizi raha maana hatujui kama tuendapo zipo.Swali ushawahi kulala na mtu mkakubaliani avae then wakati wa majambozi akaivua Condom juu kwa juu?kama ilitokea ilikuaje ulivyogundua kama haijatokea ikitokea utafanyaje?

Swal la dogo la nyongeza:Ikitokea umepata mimba kwa mistake zozote upo tayali kuzaa?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Mimba siwezi kupata coz NATUMIA NYOTA YA PINK!!!!!!!! LOL!

Condom hawzi kuvua, jeuri hio aitoe wapi? Anajua tu hapo nikipata mtoto wake itabidi ahame duniani kwa gharama. Namimi i aint dumb at all, plus im learned! legal rights zangu nazijua vizuri. Afu mtu wa visasi a vita sanaa. Na vita yangu ili iishe lazima nishinde ila nisipshinda itaendelea milele. Utanipiga najikusanya nakurudia upya na nguvu mpya, hivo hivo i never give up easily!

Kwa hio wanaume mara nyingi wanapenda kuwa on my good side
 
kwa MAWAZO NA MAANDIKO YA LARA NI AINA YA MABINT WANAOJIUZA KWA VIBOPA. SOMA KOMENT YAKE HAPO JUU ANAMREFER AUNT YAKE(5O YEARS) KWAMBA BADO ANACHUNA MABUZ,..
THATS WHY I SAY SHE IS UNLUCKY TO HAVE TO SHARE THE BLOOD....WITH RELATIVES THAT SELLS PUU**Y FOR MONEY..
LAKINI HOJA YANGU KUBWA HAPA NI VISCHANA AMBAVYO NAONA VINAMPRAISE LARA.. SAD.

SHE IS JUST,, ILL.

Hahaha anaitaji uponyaji sio
 
TheChoji tatizo linaanzia kwetu wanaume, na hili lilikuzwa na sisi akina "domo zege" ukifika pochi ndio inakuwa mdomo na kwasababu mwanamke ni bnadam na vizuri anavipenda pesa ikajaa akilini zaidi ya maneno matam. Sahv tunamtafta mchawi kumbe tumejiloga wenyewe.
 
Last edited by a moderator:
This lady is smart and a realist who knows what she wants,when and how to go about to have it!if i were a man this would be the type of woman to go for!Smart women are always seen to be weirdos because of their high thinking capacity and realistic ways of tackling and handling life!! Lara1 is smart and brave,thats all i see!:thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup:
 
KOMA UKOMAEEEEEEEE! Aunt yangu mzuri, na alikuwa mjane tangia 34 years ULITAKA NAE AFE NA KIKOKO???????? Kwani alipenda kufiwa? Ndio alifiwa but LIFE HAD TO O ON and she is still a woman. Hao wanaume wanaochunwa WAMETAKA WENYEWE! Kilichowatoa kwa wake zao?????????

Nishakwambia KUPIGWA PUMBU FREELY SIO GUARANTEE FOR HAPPINESS!!!!!!!!! Watu kibao wanapigwa free pumbu miaka hadi miaka hakuna happiness yoyote zaidi ya kuchakaa tu abortions zisizo na idadi.

WAKEUP GIRLS!!!!!!!!!!!!! ITS NOT WORH IT.

..u U..m. A .LA.Y.A WA AUNTI WA AUNT YAKO UMEUZUNGUMZA WEWE MWENYEWE...
KWANINI WANITOLEA MIMI MAPOVU.
NEXT TIME DONT REFER TO UR CLOSEST..una EXPOSE TABIA ZA UKOO WENU... VERY SORRX
 
TheChoji tatizo linaanzia kwetu wanaume, na hili lilikuzwa na sisi akina "domo zege" ukifika pochi ndio inakuwa mdomo na kwasababu mwanamke ni bnadam na vizuri anavipenda pesa ikajaa akilini zaidi ya maneno matam. Sahv tunamtafta mchawi kumbe tumejiloga wenyewe.
Ndio maana nikasema kama wewe ni mgeni kwenye mambo ya mapenzi, na unatumia mbinu za kizamani kama hii ya kuhonga, ukikutana na mwanamke mjanja utahonga na papuchi hupewi! Achana na wanawake type hii. Unaweza kupata wanawake wengi tu kwa gharama ambazo ungetumia kumpata huyu mmoja! lol
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo Lara ni kila mwanamke?

Okay, suppose ni kweli, basi live with it or die; hayo malalamiko ya kila siku yanaboa. Au sijui unataka kujicomvice nini, maana ni wewe mwenyewe ushakuja na shuhuda za watu wenye kile ulichokiita real love.

^^
Objective arguments cant change truth revealed by experience
^^
 
This lady is smart and a realist who knows what she wants,when and how to go about to have it!if i were a man this would be the type of woman to go for!Smart women are always seen to be weirdos because of their high thinking capacity and realistic ways of tackling and handling life!! Lara1 is smart and brave,thats all i see!:thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup:

Trust me, if u were a smart man, u wldnt go for such a woman. Ask urself.. whats in it for you? Either way as a man u stand to lose.. so why go for her?
 
no kakaangu hapo unakosea
sio kila mwanamke
kuna ambao tunaamini ktk upendo na tumekuwa na watu ambao hawana kitu
bt ana vision na anabidii ya kutafuta
sio coz nimekupenda ndo ukae tu nakupiga chini

^^
Unazunguka pale pale
Mwanamke aina ya lara 1 ni mzuri maana unamjua tangu mwanzo kuwa hapendi wanaume wa pato la chini, binafsi mwanamke wa aina hii simhitaji hata kama wa bure! Maana natambua pesa ni maua, si wakati wote ntakuwa na pesa! Pia wakujifanya ana upendo hali ikiyumba anaondoka huyo ni hatari kuliko sumu ya nyoka..ni ndege arukae kila mti kutafuta vilipoiva na ku-pretend ana real love kumbe mchumia ukoo!
All in all wanawake wa toleo la sasa,
MONEY IS YOUR HUSBAND
^^
^^
 
Last edited by a moderator:
This lady is smart and a realist who knows what she wants,when and how to go about to have it!if i were a man this would be the type of woman to go for!Smart women are always seen to be weirdos because of their high thinking capacity and realistic ways of tackling and handling life!! Lara1 is smart and brave,thats all i see!:thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup:

thas why u are a girl,..kaa kimya.
 
Trust me, if u were a smart man, u wldnt go for such a woman. Ask urself.. whats in it for you? Either way as a man u stand to lose.. so why go for her?

If i were a man i would have been smarter than her to realise she is smart!Imagine this lady performing other tasks,initiating a business,or a career woman,a mother performing her duties!she is the persistent go getter "Till she gets it".and why would you stand to lose aswell,use her capabilities,she can always back you up!as a man you need to be SMART enough to have such a wifey or girlfriend all in all She is a SMART woman!
Mmeskia mwenzenu anaimba nataka demu asinipende mimi apende verossa,dont just see the negative side of things! LoL
 
Ndio maana nikasema kama wewe ni mgeni kwenye mambo ya mapenzi, na unatumia mbinu za kizamani kama hii ya kuhonga, ukikutana na mwanamke mjanja utahonga na papuchi hupewi! Achana na wanawake type hii. Unaweza kupata wanawake wengi tu kwa gharama ambazo ungetumia kumpata huyu mmoja! lol

yap ndo maanaake
sio kila niliekula au naekula hela yake ndo nimvulie pichu!!!!!?
hii tabia imeendekezwa na wanaume wenyewe mi Nakula nasepa
 
^^
Nimewahi kuleta mada hapa kuwa Mbele ya pesa kila goti la mwanamke litapigwa, niliandamwa..sasa at least mmeona hali ilivyo.
..
Benki zetu ziandae FEDHA HALALI KWA MALIPO YA MWANAMKE.
lara 1 si mnafiki ila kuna wanawake wanajifanya saints wakiona noti hizo yatakuwa Yes Sir
^^

Inategemea na mwanamke Himidini. Kila mwanamke kwenye hii dunia ana dreams zake na ana focus kwenye kile anachokitaka. Pia malezi huchangia, pesa ya mwanaume ni sawa na kua mtumwa... (thats according to me...)
Wanawake wanaopenda pesa za wanaume ni wengi lakini sio wote.
 
Last edited by a moderator:
^^
Unazunguka pale pale
Mwanamke aina ya lara 1 ni mzuri maana unamjua tangu mwanzo kuwa hapendi wanaume wa pato la chini, binafsi mwanamke wa aina hii simhitaji hata kama wa bure! Maana natambua pesa ni maua, si wakati wote ntakuwa na pesa! Pia wakujifanya ana upendo hali ikiyumba anaondoka huyo ni hatari kuliko sumu ya nyoka..ni ndege arukae kila mti kutafuta vilipoiva na ku-pretend ana real love kumbe mchumia ukoo!
All in all wanawake wa toleo la sasa,
MONEY IS YOUR HUSBAND
^^
^^

Himidini point yangu sio ukiyumba nikukimbie, no hujanisoma,mtu mwenye mipango na anaifanyia kazi na mi namsapoti unafikir akiyumba cwez kua km hapa kayumba?
no hyo inaeleweka, bt kuna waongeaji tu bila kutekekeza ndo hao tunaowaongelea
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom