EXCLUSIVE INTERVIEW!! Mada: Mapenzi na Pesa......

EXCLUSIVE INTERVIEW!! Mada: Mapenzi na Pesa......

ME NI MWANAUME, NARUDIA TENA NI MWANAUME LAKINI KIUKWELI NIMEMWELEWA NA KUMSOMA #lara 1 MWANZO MWISHOOO!! KIFUPI HAPA WANAUME TUMESEMWA KIAINA KUHUSU TABIA ZA KUHONGA OVYO, UKIWA MAKINI KUSOMA HII THREAD UTAELEWA KUWA #lara 1 ana encourage wanaume wachunge mifuko na zipu zao, ukiwa makini zaidi utagundua anafundisha wadada wenzie wasiteseke kwenye ndoa na mahusiano(in the name of love) kwa ujinga ujinga wa kusema 'nampenda ivo ivo'....


Wewe ni binge la genius,

Babu DC!!
 
lara, mimi nina swali, interview sijui ishaisha.!! kama una mpenzi wako mmoja, ana mihela, anakutreat vizuri na unapata mema yote unayoyataka. je hapo utasema anakuhonga? je wewe utajihesabia kuwa unamchuna au mazingira hayo yapo vipi.?

Mdogo wangu Husninyo,

Neno kuhonga/kuhongwa haliwahusu BF/GF au mume/mke...umeelewa??

When it comes to Bibi, huwa siangalii gharama kwa sababu its my duty to make her happy...(ingawa pia najua kuwa ni vigumu sana kumridhisha mwanamke in material terms)!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Binafsi sioni tatizo katika mawazo ya mtu yeyote + mienendo yake. Nobody else has control on that except him/herself.

Kwa maana hiyo, kila mtu atafute mtu wa kulingana na uwezo wake. Na pia kila mtu ajipime kabla ya kuparamia watu ambao anaona kabisa wamemzidi viwango. Najua hili ni gumu sana kwa wanaume walio wengi. But failure to take it in the equation is not excuse in case smarter women take an advantage of that loophole.

Babu dC!!

Thank you mkuu...
sioni kwa nini watu hawalioni hili
kila mtu aishi kwa utashi wake...hupaswi kumpangia mtu morals zako...
it is so simple
Mandela aliwahi kusema 'sometimes to quit is to lead'
hupaswi kukomaa na usiyoyaweza
 
Mdogo wangu Husninyo,

Neno kuhonga/kuhongwa haliwahusu BF/GF au mume/mke...umeelewa??

When it comes to Bibi, huwa siangalii gharama kwa sababu its my duty to make her happy...(ingawa pia najua kuwa ni vigumu sana kumridhisha mwanamke in material terms)!

Babu DC!!


Ukishaoa hakuna kuhonga ni kubeba majukumu....tu
 
Lara 1,Ayanda..mna point SANAA...Kiukweli mambo ya tru love ckuiz shda tu,a man awe nazo asiwe nazo he will still hurt you,so BORA KUWA NA SMTHN WORTH FIGHTIN FOR ,Ht km kuna heartbreak MONEY IS THERE,..say money doesnt buy hapiness o whatever bt habar ndo hyo especially ukishapitia uhusiano na Mwanaume HELA HANA NA BADO ANAKUPA MAUMIVU YA MOYO -

MSIMAMO NI 'KUWA NA THE FINEST MEN O HUSBAND AS LONG AS I KEEP BEING A FINE WOMAN TOO'...
 
Napenda mtazamo wako lara 1. Ukiamua kifanya kitu make it real.
Nadhani nisingekuwa a little religious ningekuwa kama wewe. I only chose one with my own appetite.

I hate the idea kwamba mwanaume anakupa pesa to nail you on bed. Mi huwa nawapa black and white mwanzoni kuwa I won't give it. So those who chose to give me their money, huwa nawaonesha it is not always the money that make woman get naked, i get the money and goes away easily.
 
Last edited by a moderator:
Hi guys

Mi mgeni humu hivyo kwanza salamu kwenu pili poleni kwa majukumu. Nami nikiri mjadala ulikuwa interesting sana na wa lakini sina uhakika kama unafundisha sana,ila ndio kawaida ya mambo yanayovutia sana.

Swali kwa lara1

Kutoka kwenye maelezo yako na kwa kawaida ya pesa sio za kuweka ni za matumizi,itakuwaje pale utakapokuwa na pesa zako za jasho lako za kitosha na ukawa na karibia kila kitu kinachohitaji pesa je bado utaendelea kutoa kwa pesa?

Pili ni maelezo yako yanaonyesha kuwa mama yako haishi maisha unayoishi wewe,je unadhani anakosea na kwamba she is old school?

Tatu ni kwamba huoni inaweza ikatokea siku uliokula vyao wakakutana kwa bahati na wakapanga baya dhidi yako kwasababu mali ya mtu haiendi bure?

Nne dini yako haitoi mafundisho ya kukataza hayo kwamba yakupasa sasa kifikiria kuacha kabisa hayo?

Mwisho ni kwamba unacho amini wewe ni kutokana na kuruhusu akili yako kuamini hivyo,jambo lililosababishwa na mazingira uliyokulia.tunachoamini sisi tulio tofauti na wewe ni kutokana na maisha tuliyokulia.je huoni kama kuna haja ya kufanyia utafiti msimamo wako kujua ukweli kama sisi tunavyofanyia utafiti msimamo wako? Maana unaonekana uko defensive sana.

Sorry kama nitakuwa nimekukwaza na swali lolote.
 
Hi guys

Mi mgeni humu hivyo kwanza salamu kwenu pili poleni kwa majukumu. Nami nikiri mjadala ulikuwa interesting sana na wa lakini sina uhakika kama unafundisha sana,ila ndio kawaida ya mambo yanayovutia sana.

Swali kwa lara1

Kutoka kwenye maelezo yako na kwa kawaida ya pesa sio za kuweka ni za matumizi,itakuwaje pale utakapokuwa na pesa zako za jasho lako za kitosha na ukawa na karibia kila kitu kinachohitaji pesa je bado utaendelea kutoa kwa pesa?

Pili ni maelezo yako yanaonyesha kuwa mama yako haishi maisha unayoishi wewe,je unadhani anakosea na kwamba she is old school?

Tatu ni kwamba huoni inaweza ikatokea siku uliokula vyao wakakutana kwa bahati na wakapanga baya dhidi yako kwasababu mali ya mtu haiendi bure?

Nne dini yako haitoi mafundisho ya kukataza hayo kwamba yakupasa sasa kifikiria kuacha kabisa hayo?

Mwisho ni kwamba unacho amini wewe ni kutokana na kuruhusu akili yako kuamini hivyo,jambo lililosababishwa na mazingira uliyokulia.tunachoamini sisi tulio tofauti na wewe ni kutokana na maisha tuliyokulia.je huoni kama kuna haja ya kufanyia utafiti msimamo wako kujua ukweli kama sisi tunavyofanyia utafiti msimamo wako? Maana unaonekana uko defensive sana.

Sorry kama nitakuwa nimekukwaza na swali lolote.
Mhhhhhh!

Moja mi kutoa kwa pesa its a kind of a turn on! Nikiwq na peea nitatoa bure labda huwezi jua!

Mama yangu ni yeye na amechagua kudedicate maisha yake akitii amri za mumewe na kumfurahisha bt me I want a bigger life than that.

Ikitokea ndo hivo tena naliwa mande! Naomba isitokee ajali kazini.

Dini inakataza ndo hivo tena kiumbe mie mzito.

Mimi bana I want to write my own history!
 
Thank you mkuu...
sioni kwa nini watu hawalioni hili
kila mtu aishi kwa utashi wake...hupaswi kumpangia mtu morals zako...
it is so simple
Mandela aliwahi kusema 'sometimes to quit is to lead'
hupaswi kukomaa na usiyoyaweza

....brothers... Dark City The Boss,,,

sorry,,

i faulted YOU....
I WONDER NOW..... I had no reason to .. Why, ? I bothered ..! , lara 1
 
Last edited by a moderator:
mbona kila kitu kiko out in the open!! there is a clear cut distinction btn a respectable woman and a -----. one can choose to become either of the two but not both.

------, please read btn the lines:

I see you with your palms in your pants,
you think you got the world in your hands,
you wish to make it spin on your finger,
you wish to become a critical thinker,
but truth be told you are simply a hooker,
cheap or expensive.. just a hooker!!
 
Good! You should never bother! Hapa unasema hivi dakika kumi nyingi unaanza kunichimba.

naheshimu mawazo ya hao niliowataja..
Sikupondi,!

Nataka tu uwe mama bora wa wanao...eneapo utajaliwa familia..!! Sali sala na muogope MWENYE ENZI.
 
nimefatili dis intrview..nmegundua Lara 1 sio ----- bt ni money choppr..huh..
 
Duuuuuu huku sikuwezi..kubwa la maadui aka jeshi la mtu mmoja umetisha...umesema no free xxxxmbu??
 
Huduma gani? Who is talking about huduma? Usichanganye madesaa kabisaaa! Huduma na pesa haviingiliani! Kula esa yako doesn necessarliy mean ndo im into you na pichu navua! Thubutu yakoooo! Kiherehere hako kunihonga mie nalaaa tu, ila sex is another issue kabisaa amabayo haihusiai.

It doesnt mean kukea hongo yako ndo utapata sex, you are not evenclose. Mie napokea cause its RUDE tu anakupa kitu then wewe unaktaa kwa dharau. NDO MAANA NALIZIMIKA KUPOKEA! Hahahaaaa!!!!!!!!

To hav sex with me YOU HAVE TO OUTMART ME WHICH AINT EASY EITHER, AU YOU GOTTA TRICK ME NIKUONEE HURUMA. To me sex is always just a GAME, If i win n i control your mind hutokaa univue pichu, if you win then you are LUCY we will see for how long will you continue to be lucky.

Ndo maana nikasema for a man tobewith me HE HAS TO WORK HARD TO MAKE ME STAY.

Wera weraaa Lara1......baambie,sio lzm uvuliwe nguo...hayo ni maamuzi binafsi lkn ukijipendekeza twalaaa...tena twalaa kweli hivo visent bila huruma!!!! hahahaaaaaa
 
Back
Top Bottom