DaMie
JF-Expert Member
- Mar 24, 2010
- 684
- 171
Kijana acha dharau yeye ndo chaguo lake ndo maana alikukataa wewe kaamua kuolewa na huyo jamaa
Sweetheart upo jamani!!! Nimekumic sana:kiss:. Mwaa
Kijana acha dharau yeye ndo chaguo lake ndo maana alikukataa wewe kaamua kuolewa na huyo jamaa
Noooo! Hii haiwezekani bana. Yule dogo hana sifa ya kuniachanisha na demu kama yule. Ni bahati tu imemdondokea kutokana na desperation ya msichana, lakini he doesn't deserve her, that's what I feel but I'm not going to do anything about it. Nimesema feelings zangu, na najua zitaisha soon kama mmoja alivyosema. Namwombea dada yangu huyo maisha yake ya ndoa yakawe mazuri na ya furaha, maana yakiwa kinyume na hapo mtihani huu utanirudia.
Hamfai? unayajua mapigo ya huyo jamaa?
Sweetheart upo jamani!!! Nimekumic sana:kiss:. Mwaa
Yani tangu tulipoachana 2005 sijawahi kum-miss wala nini, yani hata ikitokea tumeonana ni hi hi hakuna zaidi. Lakini saa hizi ninapofikiria kuwa yuko kwenye honeymoon na yule mrugaruga niliyemwona juzi, no, hapana, haikubaliki aise!
Ndiyo, tulipoachana tulikubaliana tuwe kaka na dada. Na mie kama kaka namtakia mazuri dada yangu.
Kila mwanamke anapenda aolewe. Ulipomwacha wewe na alipoona muda unakwenda akawa desperate. Jamaa alipojitokeza tu akamrukia, bila kujali kama anamfaa au sivyo. Alichotaka ni kuolewa kwanza mengine baadaye. ndiyo kawaida ya wanawake baada ya kusota muda mrefu bila kuolewa.
Mimi naamini huo si wivu ila unamwonea huruma huyo ex- wako
Sasa hayo ndo yanaitwa maneno ya mkosaji!!We kinachokufanya uamini huyo jamaa hamfai ni haraka yakuolewa tu ...ni nini haswa??
mie naamini ni huyu mleta mada ndio kawa desperate kwa mawivu baada ya kuona alichokiacha kina thamani labda alikokimbilia ni moto.
Pole, hata kama hamfai ndoa tayari
Tuliachanaga miaka mingi sana kwa hiyo nilijua sina hisia yoyote naye tena. Alivyonijulisha anaolewa anaomba mchango wa send-off nikamchangia kama kawaida na send-off nimeshiriki sherehe juzi 9 December. Sasa sijui ni kwanini nilipomwona yule mchumba wake alhamisi ile, nikaanza kuhisi kwenye nafsi yangu kwamba yule jamaa hamfai, yaani kwa ninavyomfahamu yule dada ile siyo type yake kabisa! Dada kakosea kuchagua bana, no! Siwezi kueleza hii hali, naamini siyo wivu but no, siyo yule kabisa bana!
Tuliachanaga miaka mingi sana kwa hiyo nilijua sina hisia yoyote naye tena. Alivyonijulisha anaolewa anaomba mchango wa send-off nikamchangia kama kawaida na send-off nimeshiriki sherehe juzi 9 December. Sasa sijui ni kwanini nilipomwona yule mchumba wake alhamisi ile, nikaanza kuhisi kwenye nafsi yangu kwamba yule jamaa hamfai, yaani kwa ninavyomfahamu yule dada ile siyo type yake kabisa! Dada kakosea kuchagua bana, no! Siwezi kueleza hii hali, naamini siyo wivu but no, siyo yule kabisa bana!
Habari ndungu huwa sitembelei anga hizi lakini naona hapa imebidi....... Kama ameolewa hatakuwaje demu wako tena..... jamaa hamfai???? kumbuka..... True love is not finding a perfect man, but loving an imperfect man perfectly...[/QUO
nimependa kwenye nyekundu...mshakiii huwezi jua ex wako anapewaa niniii na huyo mluga mlugaa unae mona,yawezekanaa we ndo mluga luga semaa hujioni,wee unachako kuombwa mchango si kupendwaaa...then ulijuaje hamfai kwa kumuangaliaa...we umekuwa sheh yahaya siku hiziii ndungu