Ex-GF wangu kaolewa jana

Mmmh.... Think like a man! Kwanini uliachwa?

Dont give answers like a woman while pointing fingers at someone!

Btw, keshaolewa huyo! Usimsumbulie ndoa yake tena kwa kukumbushia madhambi!!!



hujamwelewa, ni hivi:- alishaolewa kweli ila kakutana nae akiwa keshaachika,
 
Ninachosema tu ni kuwa I was right. Yule nilikuwa namfahamu kama ninavyojifahamu mwenyewe.

u love her mkuu,me ndo nachoona hapa,thts why u bothered kutafta hii thread...muwowe jmn,she is free now,
 
Hii thread nimelazimika kuitafuta hadi nimeipata tena. Nilinangwa sana nilipoileta. Lakini juzi tuesday nimekutana na huyu dada (ex wangu) kwenye ukumbi wa hoteli nilikokuwa napiga deiwaka siku hiyo. She is doing very well financially and professionally. Na ana mtoto mmoja wa miaka 3. Lakini she broke up with the guy mwaka sasa na hataki kusikia lolote about him. Msiseme nafurahia, lakini I saw it coming. Walikuwa hawaendani hata ukiwaangalia unaona wazi. Imagine hata nilipompa pole kwa tukio hilo alisema hahitaji pole, labda pongezi kwa uamuzi mgumu. Na akasema she is happier now, kwa maneno yake "single but not looking".

Mi pia bado niponipo.

Kubalini tu kuwa mtu huwa anamjua mtu wake, kisichomfaa akikiona tu atajua hapa no.

Mtu mwenyewe kazi unayofanya ni porter wa hotel halafu mbwewe kibao, nyinyi ndio mnaendaga kwa waganga kutia nuksi wanawake.

Kuna wakati vitu vingine tunalazimisha tu, mimi nikiwa secondary nilikuwa na girlfriend na sikuamini hapa duniani kama kuna mwanamke mzuri zaidi yake tulivyofika form four baada ya gradu akanitosa kumbe alikuwa na mtu wa wake kitaa na finally alimuoa.

Nilichojifunza mimi kwa kipindi kile nisingeweza kummiliki mwanamke kwa sababu ndio muda wa kuongeza shule na kujijenga, sasa niko stable tuna mawasiliano mazuri na nikiwa na shida ya cash ananipa na akihitaji kwangu nampa pia, mleta mada kuwa mkweli tu ni kwamba ulizidiwa maarifa.
 
Mmmh.... Think like a man! Kwanini uliachwa?

Dont give answers like a woman while pointing fingers at someone!

Btw, keshaolewa huyo! Usimsumbulie ndoa yake tena kwa kukumbushia madhambi!!!

How does a woman answer??

Gender stereotyping nyingine bana,kwani usingemtaja mwanamke usingeeleweka?
 
Huwa wanasema wanawake hatujui tunataka nini lakini naona hii ina apply kote kote.

Mkuu ni hivi, mara nyingi hao mnaowaona marugaruga ndio wanaume ambo wanaaminika na wenye maadili na tabia nzuri ambayo inamshawishi mwanamke kufanya maamuzi ya kusettle nao. Tofauti na nyie vijana wa mujini mnaojiona wajanja na kujiona bado mnataka kula maisha na hamko tayari kusettle hata mkimpata mwanamke mliyependana. Mnataka kuishi a westernized life ambayo mara nyingine huwa yanawashinda.mwishoni.

Be happy for your ex and respect her decision.
All the best with your choice(ies).
 
Yani tangu tulipoachana 2005 sijawahi kum-miss wala nini, yani hata ikitokea tumeonana ni hi hi hakuna zaidi. Lakini saa hizi ninapofikiria kuwa yuko kwenye honeymoon na yule mrugaruga niliyemwona juzi, no, hapana, haikubaliki aise!

Wew ndio mrugaruga ndio maana alikupa kibut sio type yake kapata type yake kaaolewa kabisa. Hivi hushangai tangu uachane nae hata chozi halikumtoka wala kukupigia magot
Teheheeeeeeee......!
 
Mtu mwenyewe kazi unayofanya ni porter wa hotel halafu mbwewe kibao, nyinyi ndio mnaendaga kwa waganga kutia nuksi wanawake.

Kuna wakati vitu vingine tunalazimisha tu, mimi nikiwa secondary nilikuwa na girlfriend na sikuamini hapa duniani kama kuna mwanamke mzuri zaidi yake tulivyofika form four baada ya gradu akanitosa kumbe alikuwa na mtu wa wake kitaa na finally alimuoa.

Nilichojifunza mimi kwa kipindi kile nisingeweza kummiliki mwanamke kwa sababu ndio muda wa kuongeza shule na kujijenga, sasa niko stable tuna mawasiliano mazuri na nikiwa na shida ya cash ananipa na akihitaji kwangu nampa pia, mleta mada kuwa mkweli tu ni kwamba ulizidiwa maarifa.

Mimi siyo porter kwenye hoteli. Nafanya kazi yangu mwenyewe nimejiajiri, majuzi tulipokutana nilikuwa na kazi hapo hotelini. Kwa hayo mengine uliyosema nimekusoma.
 
Huwa wanasema wanawake hatujui tunataka nini lakini naona hii ina apply kote kote.

Mkuu ni hivi, mara nyingi hao mnaowaona marugaruga ndio wanaume ambo wanaaminika na wenye maadili na tabia nzuri ambayo inamshawishi mwanamke kufanya maamuzi ya kusettle nao. Tofauti na nyie vijana wa mujini mnaojiona wajanja na kujiona bado mnataka kula maisha na hamko tayari kusettle hata mkimpata mwanamke mliyependana. Mnataka kuishi a westernized life ambayo mara nyingine huwa yanawashinda.mwishoni.

Be happy for your ex and respect her decision.
All the best with your choice(ies).

Kama alikuwa anamfaa mbona wameachana?
 
Wew ndio mrugaruga ndio maana alikupa kibut sio type yake kapata type yake kaaolewa kabisa. Hivi hushangai tangu uachane nae hata chozi halikumtoka wala kukupigia magot
Teheheeeeeeee......!

Mkuu naona umedandia gari kwa mbele
 
Back
Top Bottom