Ma Ex wa mke wangu wananipa mzuka wa kufanya mapenzi

pablo5060

Member
Mar 22, 2022
33
50
Kwa muda mrefu nimekua nikipitia nyuzi mbali mbali za wanajamvi zinazohusu maswala ya mapenzi na stori mbali mbali za watu kuchakatana shuhuda nyingi za wadau wa umu ni wachakataji wazuri yani wote wana nguvu za kiume full package hongereni sana

Leo nimeona niweke jambo langu jamvini japokua sio muandishi mzuri ila naamini ndugu zangu mtanielewa na mtanisaidia kupambana na hii hali. Hii kitu sijui inanitesa kisaikolojia au ni upumbavu wangu tu nashindwa kuelewa... Ngoja ni dive kwenye mada:-

Miaka kadhaa iliyopita nilipiga moyo konde kidume niliagana na nyonga nikaingia rasmi kwenye maisha ya ndoa japo kua wadau wengi walinishangaa kwanini nimeoa mapema ilo sikutaka kulizingatia kwasababu huwa nna maamuzi magumu nikiamua kufanya jambo langu. Mke wangu nilimuoa alipomaliza chuo sikutaka kulaza damu binafsi sinaga mazoea na pisi mbovu zenye sura za baba zao kwaiyo mke wangu dosari za kutafuta na tochi, sasa kama mnavojua wanawake wazuri huwa wanapitia changamoto nyingi sana na mara chache sana kukuta kachakatwa na wanaume wachache kama title inavoeleza apo juu kiukweli ma ex wa mke wangu wananipa mzuka sana wakuchakata mbususu yoyote itakayo katiza kwenye 18 zangu najua wengi mtashangaa apo ila ipo ivi

Kuna siku nimetulia home na wife after dinner nilikua nimeshika simu yake nataka kumuwekea mtoto katuni ghafla meseji ikaingia kwenye simu yake namba haina jina

"Mbona kimya nimekutext whatsApp hujajibu txt kipenzi"

Ile meseji ilinishtua ila nikakaza sikuuliza chochote muda huo, nika i copy ile namba pembeni kwa matumizi ya badae ila nafsi ilikua haijatulia nikaingia room nikaisave kwenye simu yangu ikaoneka whatsApp nikacheki dp nikamuona jamaa mmoja namfahamu na miaka ya nyuma kuna rafiki yangu wakaribu alishawah nambia yule jamaa anatoka na mke wangu wa sasa kipindi icho nafukuzia mzigo yani kabla sijaoa, apo uvumilivu ulinishinda nikamuita wife room nikamuuliza uyu nani ? Nikamuonesha ile picha aloweka jamaa whatsapp -

Wife: Uyu kaka nafamiana nae ila alikua rafiki wa dada angu kitambo

Mimi: mbona kakutext na kwenye sim yako na inaonesha mpo kwenye penzi moto ?

Apo nilimuona kakosa confidence kabisa kwakufupisha nilimbana sana hadi akafunguka kua kweli yule jamaa alikua mtu wake istoshe ndo mtu aliyefungua tunda lake yani jamaa alikata utepe, sasa jamaa kama anashindwa ku give up kua demu wake kaolewa bado analitaka penzi la mke wangu. Sasa apo ndo kuna yule shetani akanitembelea nikaanza kumuuliza maswali ambayo sijawahi muuliza tangu tuanze safari yetu ya mapenzi, nikaunda maswali yakimtego nijue idadi ya wanaume aliokua nao kabla yangu huku nikimuaminisha kua mavi ya kale hayanuki basi akaingia laini akataja idadi ilinishtua kiasi ila nikajisemea moyoni nimeyakanyaga mwenyewe, nikamlazimisha tena anitajie majina yao, apo alikua mzito kidogo ila dakika za mwisho akataja wadau waliomkula najua kuna alio waficha ila hawa aliowataja wananiumiza sana kichwa yani kuna dogo mmoja apa mtaani yupo kwenye list sikutegemea kabisa.

Ninachoshangaa nikwamba baada ya izo stori sijawah mchukia wife ila kila nikimuona natamani anipe tunda nilile tangu siku iyo nampelekea moto wa ajabu yani kila nikikumbuka kuna jamaa walishawahi mpiga moto alafu nawajua yani hisia zinaongezeka nikishinda maskani siku iyo namchakaza sana, juzi kati kajifanya anaumwa nikajikuta napiga punyeto nikarudi kwenye chama ghafla, hii hali inapelekea hata nikifanya mapenzi na michepuko nikikumbuka tu zile stori basi napeleka moto mkali sana hisia sijui zinatoka wapi..

Naliwasilisha kwenu wanajamii kama kuna mtu amewahi tokewa na hali kama yangu anipe muongozo namna yakutatua ila mke sitaki kumuacha bado nampenda na atuambie ilikuaje hii kitu ikamkuta.. stori ni ndefu nimefupisha
 
Siku tukiwa wa kweli kwenye mahusiano yetu. Tukawa huru kusema pasipo kuficha vitu mfano malengo au maamuzi kuhusu ndoa/ mahusiano tutakua na mahusiano bora au ndoa bora.

Na uwakika huyo mwanamke kakubali kuolewa na wewe kwa sababu ya ile prestige ya kua naye kaolewa baada ya ndoa. Hamkua wazi kabla ya ndoa yenu ndio maana kuna mambo yatazidi kukushangaza.

Kaa jua huyo demu anaitoa nje ya ndoa ata utomb* vipi, anapeleka palipo na hisia
 
Upuuzi mkubwa wa Watu ni Kuingia kwenye Ndoa Bila Kuwachunguza Wenza Wenu. Mnaita Utandawazi na Maamuzi Magumu. Hivi unaingiaje Kwenye Ndoa Humjui Mwenza wako na Hana Hata Hiyo Bikra ?

Kuna Mambo mengi utagundua Baadae mkikaa sana kwenye Ndoa Na Utajuta.

Wewe upo kwenye Stress Kubwa Za Kugundua Umeoa Mtu Aliyepitiwa na Wengi kitu ambacho mwanaume Kamili hataki Kukisikia Masikioni
 
Kwa muda mrefu nimekua nikipitia nyuzi mbali mbali za wanajamvi zinazohusu maswala ya mapenzi na stori mbali mbali za watu kuchakatana shuhuda nyingi za wadau wa umu ni wachakataji wazuri yani wote wana nguvu za kiume full package hongereni sana

Leo nimeona niweke jambo langu jamvini japokua sio muandishi mzuri ila naamini ndugu zangu mtanielewa na mtanisaidia kupambana na hii hali. Hii kitu sijui inanitesa kisaikolojia au ni upumbavu wangu tu nashindwa kuelewa... Ngoja ni dive kwenye mada:-

Miaka kadhaa iliyopita nilipiga moyo konde kidume niliagana na nyonga nikaingia rasmi kwenye maisha ya ndoa japo kua wadau wengi walinishangaa kwanini nimeoa mapema ilo sikutaka kulizingatia kwasababu huwa nna maamuzi magumu nikiamua kufanya jambo langu. Mke wangu nilimuoa alipomaliza chuo sikutaka kulaza damu binafsi sinaga mazoea na pisi mbovu zenye sura za baba zao kwaiyo mke wangu dosari za kutafuta na tochi, sasa kama mnavojua wanawake wazuri huwa wanapitia changamoto nyingi sana na mara chache sana kukuta kachakatwa na wanaume wachache kama title inavoeleza apo juu kiukweli ma ex wa mke wangu wananipa mzuka sana wakuchakata mbususu yoyote itakayo katiza kwenye 18 zangu najua wengi mtashangaa apo ila ipo ivi

Kuna siku nimetulia home na wife after dinner nilikua nimeshika simu yake nataka kumuwekea mtoto katuni ghafla meseji ikaingia kwenye simu yake namba haina jina

"Mbona kimya nimekutext whatsApp hujajibu txt kipenzi"

Ile meseji ilinishtua ila nikakaza sikuuliza chochote muda huo, nika i copy ile namba pembeni kwa matumizi ya badae ila nafsi ilikua haijatulia nikaingia room nikaisave kwenye simu yangu ikaoneka whatsApp nikacheki dp nikamuona jamaa mmoja namfahamu na miaka ya nyuma kuna rafiki yangu wakaribu alishawah nambia yule jamaa anatoka na mke wangu wa sasa kipindi icho nafukuzia mzigo yani kabla sijaoa, apo uvumilivu ulinishinda nikamuita wife room nikamuuliza uyu nani ? Nikamuonesha ile picha aloweka jamaa whatsapp -

Wife: Uyu kaka nafamiana nae ila alikua rafiki wa dada angu kitambo

Mimi: mbona kakutext na kwenye sim yako na inaonesha mpo kwenye penzi moto ?

Apo nilimuona kakosa confidence kabisa kwakufupisha nilimbana sana hadi akafunguka kua kweli yule jamaa alikua mtu wake istoshe ndo mtu aliyefungua tunda lake yani jamaa alikata utepe, sasa jamaa kama anashindwa ku give up kua demu wake kaolewa bado analitaka penzi la mke wangu. Sasa apo ndo kuna yule shetani akanitembelea nikaanza kumuuliza maswali ambayo sijawahi muuliza tangu tuanze safari yetu ya mapenzi, nikaunda maswali yakimtego nijue idadi ya wanaume aliokua nao kabla yangu huku nikimuaminisha kua mavi ya kale hayanuki basi akaingia laini akataja idadi ilinishtua kiasi ila nikajisemea moyoni nimeyakanyaga mwenyewe, nikamlazimisha tena anitajie majina yao, apo alikua mzito kidogo ila dakika za mwisho akataja wadau waliomkula najua kuna alio waficha ila hawa aliowataja wananiumiza sana kichwa yani kuna dogo mmoja apa mtaani yupo kwenye list sikutegemea kabisa.

Ninachoshangaa nikwamba baada ya izo stori sijawah mchukia wife ila kila nikimuona natamani anipe tunda nilile tangu siku iyo nampelekea moto wa ajabu yani kila nikikumbuka kuna jamaa walishawahi mpiga moto alafu nawajua yani hisia zinaongezeka nikishinda maskani siku iyo namchakaza sana, juzi kati kajifanya anaumwa nikajikuta napiga punyeto nikarudi kwenye chama ghafla, hii hali inapelekea hata nikifanya mapenzi na michepuko nikikumbuka tu zile stori basi napeleka moto mkali sana hisia sijui zinatoka wapi..

Naliwasilisha kwenu wanajamii kama kuna mtu amewahi tokewa na hali kama yangu anipe muongozo namna yakutatua ila mke sitaki kumuacha bado nampenda na atuambie ilikuaje hii kitu ikamkuta.. stori ni ndefu nimefupisha


✍✍✍✍✍✍✍
 
Mkuu unamvumilia mwanamke malaya kisa ana tako kubwa,alafu unakaa unateseka kwa kuhesabu wana waliomkojolea na kukuza tako lake,wewe ni bwege
Mkuu tatizo ni kumpata mwanamke wakumkojolea peke ako ni kipengere tena afadhari ya hawa tulionao wamekojolewa,ukioa mwanamke bikra watamkojolea tu kwasabu wanawake ni curious atataka aonje tu mshedede mwingine una radha gani ...
Mwisho wa siku tubaki tukiamini kua kila mtu atapewa wakufanana nae
 
Kwa muda mrefu nimekua nikipitia nyuzi mbali mbali za wanajamvi zinazohusu maswala ya mapenzi na stori mbali mbali za watu kuchakatana shuhuda nyingi za wadau wa umu ni wachakataji wazuri yani wote wana nguvu za kiume full package hongereni sana

Leo nimeona niweke jambo langu jamvini japokua sio muandishi mzuri ila naamini ndugu zangu mtanielewa na mtanisaidia kupambana na hii hali. Hii kitu sijui inanitesa kisaikolojia au ni upumbavu wangu tu nashindwa kuelewa... Ngoja ni dive kwenye mada:-

Miaka kadhaa iliyopita nilipiga moyo konde kidume niliagana na nyonga nikaingia rasmi kwenye maisha ya ndoa japo kua wadau wengi walinishangaa kwanini nimeoa mapema ilo sikutaka kulizingatia kwasababu huwa nna maamuzi magumu nikiamua kufanya jambo langu. Mke wangu nilimuoa alipomaliza chuo sikutaka kulaza damu binafsi sinaga mazoea na pisi mbovu zenye sura za baba zao kwaiyo mke wangu dosari za kutafuta na tochi, sasa kama mnavojua wanawake wazuri huwa wanapitia changamoto nyingi sana na mara chache sana kukuta kachakatwa na wanaume wachache kama title inavoeleza apo juu kiukweli ma ex wa mke wangu wananipa mzuka sana wakuchakata mbususu yoyote itakayo katiza kwenye 18 zangu najua wengi mtashangaa apo ila ipo ivi

Kuna siku nimetulia home na wife after dinner nilikua nimeshika simu yake nataka kumuwekea mtoto katuni ghafla meseji ikaingia kwenye simu yake namba haina jina

"Mbona kimya nimekutext whatsApp hujajibu txt kipenzi"

Ile meseji ilinishtua ila nikakaza sikuuliza chochote muda huo, nika i copy ile namba pembeni kwa matumizi ya badae ila nafsi ilikua haijatulia nikaingia room nikaisave kwenye simu yangu ikaoneka whatsApp nikacheki dp nikamuona jamaa mmoja namfahamu na miaka ya nyuma kuna rafiki yangu wakaribu alishawah nambia yule jamaa anatoka na mke wangu wa sasa kipindi icho nafukuzia mzigo yani kabla sijaoa, apo uvumilivu ulinishinda nikamuita wife room nikamuuliza uyu nani ? Nikamuonesha ile picha aloweka jamaa whatsapp -

Wife: Uyu kaka nafamiana nae ila alikua rafiki wa dada angu kitambo

Mimi: mbona kakutext na kwenye sim yako na inaonesha mpo kwenye penzi moto ?

Apo nilimuona kakosa confidence kabisa kwakufupisha nilimbana sana hadi akafunguka kua kweli yule jamaa alikua mtu wake istoshe ndo mtu aliyefungua tunda lake yani jamaa alikata utepe, sasa jamaa kama anashindwa ku give up kua demu wake kaolewa bado analitaka penzi la mke wangu. Sasa apo ndo kuna yule shetani akanitembelea nikaanza kumuuliza maswali ambayo sijawahi muuliza tangu tuanze safari yetu ya mapenzi, nikaunda maswali yakimtego nijue idadi ya wanaume aliokua nao kabla yangu huku nikimuaminisha kua mavi ya kale hayanuki basi akaingia laini akataja idadi ilinishtua kiasi ila nikajisemea moyoni nimeyakanyaga mwenyewe, nikamlazimisha tena anitajie majina yao, apo alikua mzito kidogo ila dakika za mwisho akataja wadau waliomkula najua kuna alio waficha ila hawa aliowataja wananiumiza sana kichwa yani kuna dogo mmoja apa mtaani yupo kwenye list sikutegemea kabisa.

Ninachoshangaa nikwamba baada ya izo stori sijawah mchukia wife ila kila nikimuona natamani anipe tunda nilile tangu siku iyo nampelekea moto wa ajabu yani kila nikikumbuka kuna jamaa walishawahi mpiga moto alafu nawajua yani hisia zinaongezeka nikishinda maskani siku iyo namchakaza sana, juzi kati kajifanya anaumwa nikajikuta napiga punyeto nikarudi kwenye chama ghafla, hii hali inapelekea hata nikifanya mapenzi na michepuko nikikumbuka tu zile stori basi napeleka moto mkali sana hisia sijui zinatoka wapi..

Naliwasilisha kwenu wanajamii kama kuna mtu amewahi tokewa na hali kama yangu anipe muongozo namna yakutatua ila mke sitaki kumuacha bado nampenda na atuambie ilikuaje hii kitu ikamkuta.. stori ni ndefu nimefupisha
Sasa hicho kishimo ni mpira unavutika ww kazana weeee ukichoka anaosha wanaenda kupewa wengine wanajipigia hakuna vile utapakomoa. Kila kitu kwa kiasi mkuu. Hizo ni stress baada ya kujua ukweli wake.
 
Kwa muda mrefu nimekua nikipitia nyuzi mbali mbali za wanajamvi zinazohusu maswala ya mapenzi na stori mbali mbali za watu kuchakatana shuhuda nyingi za wadau wa umu ni wachakataji wazuri yani wote wana nguvu za kiume full package hongereni sana

Leo nimeona niweke jambo langu jamvini japokua sio muandishi mzuri ila naamini ndugu zangu mtanielewa na mtanisaidia kupambana na hii hali. Hii kitu sijui inanitesa kisaikolojia au ni upumbavu wangu tu nashindwa kuelewa... Ngoja ni dive kwenye mada:-

Miaka kadhaa iliyopita nilipiga moyo konde kidume niliagana na nyonga nikaingia rasmi kwenye maisha ya ndoa japo kua wadau wengi walinishangaa kwanini nimeoa mapema ilo sikutaka kulizingatia kwasababu huwa nna maamuzi magumu nikiamua kufanya jambo langu. Mke wangu nilimuoa alipomaliza chuo sikutaka kulaza damu binafsi sinaga mazoea na pisi mbovu zenye sura za baba zao kwaiyo mke wangu dosari za kutafuta na tochi, sasa kama mnavojua wanawake wazuri huwa wanapitia changamoto nyingi sana na mara chache sana kukuta kachakatwa na wanaume wachache kama title inavoeleza apo juu kiukweli ma ex wa mke wangu wananipa mzuka sana wakuchakata mbususu yoyote itakayo katiza kwenye 18 zangu najua wengi mtashangaa apo ila ipo ivi

Kuna siku nimetulia home na wife after dinner nilikua nimeshika simu yake nataka kumuwekea mtoto katuni ghafla meseji ikaingia kwenye simu yake namba haina jina

"Mbona kimya nimekutext whatsApp hujajibu txt kipenzi"

Ile meseji ilinishtua ila nikakaza sikuuliza chochote muda huo, nika i copy ile namba pembeni kwa matumizi ya badae ila nafsi ilikua haijatulia nikaingia room nikaisave kwenye simu yangu ikaoneka whatsApp nikacheki dp nikamuona jamaa mmoja namfahamu na miaka ya nyuma kuna rafiki yangu wakaribu alishawah nambia yule jamaa anatoka na mke wangu wa sasa kipindi icho nafukuzia mzigo yani kabla sijaoa, apo uvumilivu ulinishinda nikamuita wife room nikamuuliza uyu nani ? Nikamuonesha ile picha aloweka jamaa whatsapp -

Wife: Uyu kaka nafamiana nae ila alikua rafiki wa dada angu kitambo

Mimi: mbona kakutext na kwenye sim yako na inaonesha mpo kwenye penzi moto ?

Apo nilimuona kakosa confidence kabisa kwakufupisha nilimbana sana hadi akafunguka kua kweli yule jamaa alikua mtu wake istoshe ndo mtu aliyefungua tunda lake yani jamaa alikata utepe, sasa jamaa kama anashindwa ku give up kua demu wake kaolewa bado analitaka penzi la mke wangu. Sasa apo ndo kuna yule shetani akanitembelea nikaanza kumuuliza maswali ambayo sijawahi muuliza tangu tuanze safari yetu ya mapenzi, nikaunda maswali yakimtego nijue idadi ya wanaume aliokua nao kabla yangu huku nikimuaminisha kua mavi ya kale hayanuki basi akaingia laini akataja idadi ilinishtua kiasi ila nikajisemea moyoni nimeyakanyaga mwenyewe, nikamlazimisha tena anitajie majina yao, apo alikua mzito kidogo ila dakika za mwisho akataja wadau waliomkula najua kuna alio waficha ila hawa aliowataja wananiumiza sana kichwa yani kuna dogo mmoja apa mtaani yupo kwenye list sikutegemea kabisa.

Ninachoshangaa nikwamba baada ya izo stori sijawah mchukia wife ila kila nikimuona natamani anipe tunda nilile tangu siku iyo nampelekea moto wa ajabu yani kila nikikumbuka kuna jamaa walishawahi mpiga moto alafu nawajua yani hisia zinaongezeka nikishinda maskani siku iyo namchakaza sana, juzi kati kajifanya anaumwa nikajikuta napiga punyeto nikarudi kwenye chama ghafla, hii hali inapelekea hata nikifanya mapenzi na michepuko nikikumbuka tu zile stori basi napeleka moto mkali sana hisia sijui zinatoka wapi..

Naliwasilisha kwenu wanajamii kama kuna mtu amewahi tokewa na hali kama yangu anipe muongozo namna yakutatua ila mke sitaki kumuacha bado nampenda na atuambie ilikuaje hii kitu ikamkuta.. stori ni ndefu nimefupisha
Ningekuwa mimi kwa ile msg tu ningekuwa nisharudisha mtu kwao.

Kwa ufupi kijana hauko sawa. Sina mengi zaidi ya hilo.

Ukipata muda uliza maana ya tamko "Duyuthi".

Nachojua ni kuwa "Duyuthi" hataingia peponi.

Shukrani.
 
Kwa muda mrefu nimekua nikipitia nyuzi mbali mbali za wanajamvi zinazohusu maswala ya mapenzi na stori mbali mbali za watu kuchakatana shuhuda nyingi za wadau wa umu ni wachakataji wazuri yani wote wana nguvu za kiume full package hongereni sana


 
Mkuu unajisifia kuchapiwa? Huwa mnalishwa nini huko kwenye ndoa? Mnalazimishwa kuoa?
IMG-20220307-WA0001.jpg
 
Back
Top Bottom