denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Kwanza tuliambiwa hiyo gesi mabomba yanaelekea ulaya, halafu tukaambiwa sio yetu tena, kwa haya yanayoendelea sasa naamini hizo kauli, seriously kuna mtu anatakiwa kutolea maelezo hili suala la gesi, utawala wake uliacha maswali mengi sana kuhusu hii gesi yetu.