Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

Kuwa passive leader haimaanishi ni goigoi. Lakini pia kuna njia ya kummanipulate mtu kuelekea kwenye maamuzi. Japo binafsi napenda mwanaume ambae ni kiongozi. Hii kichwa yangu inavyopata moto, i need a man who can tell me 'sweettie, slow down on this. Lets tackle this on that other angle'.
Dada na wewe!
Sasa kama kichwa inawaka moto si ukakae jirani na FIRE?......LOL!
Nijibu swali niache siasa. Sitamuacha. Utaruka majivu ukanyage moto.
Umeanza lini kazi ya utabiri?
Kwanini tu usifikirie utakakoenda patakuwa bora zaidi?
 
Pamoja na kuwa maisha yanaendelea ila nenda class ukasome hata jioni. Dada kuna wakati atachoka kukubeba na ataamua kutafuta wa kumliwaza huko huko nje.

Liwazo ndio litampeleka nje?
 
Uwiiii yupo wapi mwanaume wa hivyo namsubiri kwa hamu sana


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
So problem kubwa katika mahusiano ni uzinxi!! Nimeshangaa wanawake wote wana majibu yanayofanana. Hata wale tunaowaona money mongers, wamekubaliana na mwanamme wa hali ya kawaida tu, maadamu ni MUAMINIFU!!!!

Ndipo upate somo hapo!
Ila huu mjadala ungefanyika "mafichoni" majibu yangekuwa tofauti sana
Hapa watu wanahofia kuharibu reputation yao...lol!
 
Huyo angekuwa wangu mimi ningemtunza kama lulu...naprefer mwanaume mpole!na kipato sio shida madhali anaonesha kutoa mchango wake kutokana na akipatacho inatosha ...la muhimu ni mapenzi ya dhati na kuaminiana which are ++ with him so he is perfect!

The big problem with you ladies here ni kwamba mnadhani mtu akiwa muaminifu tu inatosha

Lakini hii naona iko kinadharia zaidi kwani wengi wenu mnayoyafanya huku mitaani ni kinyume sana na mnayosema hapa!

Hii ni nini?
 
nimeisoma hii thread kwa umakin...lakin nimeona kuna vitu vitanifanya nisimuanche huyu mwanaume...

No body is perfect..nitaachana na huyu anaechelewa kutoa maamuzi..ntaenda kwa anae act immedietly

lakin ni kiwembe tena kile Gillette..We should learn to appreciate what we have..not what we don't have

He loves ME..yes.I love him yes why leaving such a nice man


Hana pesa nying but he contribute something to our life that's okay....Most men are NATURAL LEADERS they just step

back when their wives think they want to be the leaders..Mbona hakuact hivo when we were boyfriend what If I am the

SOURCE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!I will consider some facts before I pull the PLUG..



I want to give you an offer ili tuongee zaidi, mimi penda wewe vile unafikiri.
 
sio kwamba huyu wanamkubali kwasababu ya ugoi goi wake........ wanapata nafasi ya kuwa kchwa ktk familia (nafasi ambayo ni nadra kuipata?)
 
Wapo wengi sana!

Mbona sikutani nao!
To be honest am so selfish sipendi kushare mapenzi mwanaume wa tabia hiyo atanifaa kabisa sitakuwa na pressure ya mapenzi namiliki mwenyewe tu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Duniani hatujakamilika na kila mtu anamapungufu yake, kama nilimpenda mwenyewe na nikaamua kuishi naye kwa roho moja? Kwa nini nimtenge eti kisa Mungu kanipa uwezo zaidi yake?

Tukumbuke Kuna leo na kesho, na Mungu si baba Asha kana kwamba atakuandikia mafanikio daima, leo hii unamuacha mumeo kwa visingizio visivyo na miguu wala kichwa, kesho kazi huna au unapata kilema chochote sijui utaihudumiaje hiyo familia!

Eiyer Tunapotaka kutoa uamuzi, tusifikirie faida tu, fikiria na mbeleni pia, fikiria na utu pia, fikiria na Mungu pia!

Kwangu sitomuacha nitamvumilia huku nikimrekebisha taratibu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom