Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

Mkuu Eiyer Hii ni FICTION kwa dunia ya sasa ila hawa wachangiaji wameona tu upepo unaendaje.Its not from dey hearts!!
 
Last edited by a moderator:
Aisee kiuhalisia hapa mwanamke lazima awe na hekima,busara na mapenzi ya juu sana kwa huyo mumewe otherwise ni mchezo wa pata potea!! Si tunayaonaa!!! Btw-binafsi!! kama mambo mengine Yupo fiti ananijali,2naelewana,2nasikilizana,baaasi NIMBADILI WA NINI? ataendelea kuwa mume wangu wa kufa na kuzikana ! Baaaasi!!!! Kuna lingine Eiyer ?

Dah!
Kuna jambo ninajifunza kwenye huu uzi

Kuhusiana na majibu yako ni kwamba ndoa ina mambo mengi sana,lakini una uhakika kuwa hayo hapo hayata kuboa?
 
Hapana siwezi kumuacha kwani nitakua nimemfahamu muda mrefu as u said tangu tupo sekondari na kama alikua na hiyo tabia ya ukimya basi nimeizoea tangu kitambo lakini hata hivyo kama imeanza tukiwa kwenye ndoa nitajichunguza kama mimi ndio sababu mayb kwasababu nimemzidi basi nitajishusha na kumpa heshima yake.Lakini siwezi kumuacha wala kutaka kubadilishiwa will love my hubby with my body n soul!!!!!!!!!!!!!!
Very true my brother women tend to be men where men have ceased to be men and this includea having the superior manhood so keep kimya when she is out other doing het duty of gegedaring
 
Very true my brother women tend to be men where men have ceased to be men and this includea having the superior manhood so keep kimya when she is out other doing het duty of gegedaring

Mkuu huyo si binti2013 ???
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wewe ni ke?
Maana namna ulivyojibu mmmmmhhhhh!!!!!
LOL..... no-1.jpg


En ways,nijuavyo mwanamke anaweza kuvunja ndoa kwa sababu ndogo sana na isiyokuwa na msingi kabisa
Kama vile kunuka miguu.....lol
!
ha ha ha

Mtambuzi inaonekana kati ya tabia ambazo wanawake wanazichukia na kutotaka wenza wao wawe nazo ni uzinzi
Hii ni ishara ya ubinafsi au kitu gani?

Eti Jawilat kizuri si unakula na nduguyo?
Mbona unang'aka bibie
?
ajitokeze anayependa mumewe/mkewe awe mzinzi.
 
Last edited by a moderator:
Dah!
Kuna jambo ninajifunza kwenye huu uzi

Kuhusiana na majibu yako ni kwamba ndoa ina mambo mengi sana,lakini una uhakika kuwa hayo hapo hayata kuboa?

ofkoz ndoa inamambo mengi sana ndugu yangu !! Yapi hayo yatakayoniboa?
 
Nahisi haya mambo mengine U can rightly prove them kwa kuangalia mazingira yanayotuzunguka na siyo what is spoken..!!
 
Back
Top Bottom