Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

Hahahahahaaaa!
Gud qn!!
...
Kukimbia tatizo sio kutatua tatizo!!!
Kama ulivyosema hakuna mkamilifu, unajua huyo mwengine ungemkuta na weakness gani?????????
...
Kuna msemo unasema "Mbwa ukimjua jina hakupi tabu!"
hahahaha!
Waukumbuka huu?
Mwanaume hata awe na akili kiasi gani, ni lazima atapata athari za kisaikojia pale akiwa na kipato kidogo kuliko mkewe! Hii hutokana na hicho unachokiita NATURAL LEADER!
Yap! Usipochukua hatua atazidi na kuzidi kuwa bwe.ge!

Fahamtum!!!!
...
Kwanini usimfanye ajihisi superior kabla ya kuchukua uamuzi wa kumuacha????????

Unaujua huu msemo!!!!!

Its better the DEVIL you know Than the Angel you don't know!!!!

Na ndio maana nilisema...I will consider some facts before I pull the plug
 
Binadamu hubadilika akitaka mwenyewe

Lakini huyo nimesema ndivyo alivyo!
Je utaendelea kuwa nae?

sitachoka kumrekebisha kila kukicha kama nampenda then atatia akili kama anataja abadilike na awe respinsible au abaki hivyo na anikose na isitoshe hao ni wachache sana mwanaume gani anapenda kupelekwapelekwa
 
Hawa jamaa huwa wanataka haki sawa sasa haki sawa ni kama hizo au wanataka zipi??tena kama ndio huyo mwanamke msomi na anaijua na ameisoma haki sawa basi awe mpole tu ai-practise tu..

Na wanawake wana njaa nayo hii we acha tu!!!!!!
 
sitachoka kumrekebisha kila kukicha kama nampenda then atatia akili kama anataja abadilike na awe respinsible au abaki hivyo na anikose na isitoshe hao ni wachache sana mwanaume gani anapenda kupelekwapelekwa

Sasa umekuja mwenyewe kwenye kona
So jibu lako ni kuwa utamuacha au siyo?
 
Baby huyu Eiyer anahitaji hiyo makitu....nampa last warning,, asijaribu sumu kwa kuionja

Ukimwaga ugali namwaga mboga
We jidai tru
Ukijichanganya sister Asha unamkosa!
 
Back
Top Bottom