kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,073
- 6,639
Mkuu wewe ni ke?
Maana namna ulivyojibu mmmmmhhhhh!!!!!
En ways,nijuavyo mwanamke anaweza kuvunja ndoa kwa sababu ndogo sana na isiyokuwa na msingi kabisa
Kama vile kunuka miguu.....lol!
mkuuu umeniacha hoi!!....