Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

Mkuu wewe ni ke?
Maana namna ulivyojibu mmmmmhhhhh!!!!!

En ways,nijuavyo mwanamke anaweza kuvunja ndoa kwa sababu ndogo sana na isiyokuwa na msingi kabisa
Kama vile kunuka miguu.....lol!

mkuuu umeniacha hoi!!....
 
I'm happy coz yeye mwenyewe anashea mimi na wengine. maisha ya kujibanabana yako wapi?
Lady doctor hebu kuja hapa!
Huyu hapa anashea na anajisikia happy tu!

Wewe DEMBA ile kitu haigawanyiki bana!
 
Last edited by a moderator:
Huyu hana poor him just honesty and transparency i cant help him thow he can make good voiceless husband

Naomba nikuulize ka swali ka kizushi
Hivi hadi muda huu wanaume wangapi wameshakula hiyo kitu?

Sorry,
Unaweza kuacha kujibu kama hujisikii
Lakini natamani kujua ili nikuulize kitu!
 
Hata hilo nalo nina wasiwasi nalo

sikiza hakuna mwanamke anayetaka ndondocha ila kuna hao wazito kutoa maamuzi kama ulivo mention kwenye uzi wako wanarekebishika haiwezekani miaka yote mnayoishi awe mzito mtafundishana penye mapungufu hakuna aliyeumbwa anajua kila kitu wote tunajifunza kutokana na makosa.
mi bado nasisitiza upendo wa thati na kuwa committed to each other
 
sikiza hakuna mwanamke anayetaka ndondocha ila kuna hao wazito kutoa maamuzi kama ulivo mention kwenye uzi wako wanarekebishika haiwezekani miaka yote mnayoishi awe mzito mtafundishana penye mapungufu hakuna aliyeumbwa anajua kila kitu wote tunajifunza kutokana na makosa.
mi bado nasisitiza upendo wa thati na kuwa committed to each other
Binadamu hubadilika akitaka mwenyewe

Lakini huyo nimesema ndivyo alivyo!
Je utaendelea kuwa nae?
 
Naomba nikuulize ka swali ka kizushi
Hivi hadi muda huu wanaume wangapi wameshakula hiyo kitu?

Sorry,
Unaweza kuacha kujibu kama hujisikii
Lakini natamani kujua ili nikuulize kitu!


uliza second question
 
Hapo hujaelewa kipi?umeuliza swali moja ila jibu la hilo swali lina nipa swali la kipengele b
sasa nmejibu kipengele a) nasubir b)
Ok!
Sasa nitakuulizajer nilichotaka wakati swali umelitia kapuni?
Basi ninong'oneze!
 
Hawa jamaa huwa wanataka haki sawa sasa haki sawa ni kama hizo au wanataka zipi??tena kama ndio huyo mwanamke msomi na anaijua na ameisoma haki sawa basi awe mpole tu ai-practise tu..
 
Back
Top Bottom