Mapi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 6,848
- 2,741
siwezi kumwacha hata kwa dawa. kuwa na nwanaume ambaye si mzinifu ni big deal so hayo mapungufu mengine hayahusu na wala hamtajua kama acontribute chochote ndani ni siri yetu mimi na yeye cha maana ni upendo wa dhati.
mi kitakacho niondoa kwa mume ni kama akiwa mzinifu tu mengine tutarekebishana
no body is an angel we make mistakes smtime ila sio mistake yauzinifu
kumbe hii hairekebishiki!!!