Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

Naomba sababu mdida !!

Kuna sababu nyingi sana ila kubwa ni kwamba wanaume wengi hawapendi wanawake wenye kipato kuwazidi, sasa inapotokea mke ana kipato kikubwa mwanaume anakosa kujiamini nakutoa lawana za hapa na pale. Mfano mwanamke sio rahisi kumwambia mume wake eti kwa sababu una hela ndo maaana.........lakini kwa mume ni rahisi kutamka haya. Kifupi ni wanaume wengi hawapendi mafanikio ya wake zao.
 
Hili lina ka ukweli fulani hivi
Lakini pia inaonesha pia wanawake wana ka tabia ka kutamani kuongoza ila wanakakosa tu!

indeed..........kama wanabisha waseme hapa.
 
Back
Top Bottom