Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,503
- 176,618
Haukunaniliu kabla ya kuolewa?Mimi ni mke wa mtu tena nina watoto wawili..
Haukunaniliu kabla ya kuolewa?Mimi ni mke wa mtu tena nina watoto wawili..
Hivi Mkuu unajiamini nin kuanika namba yako Kama njugu😳😳Mm niko tayari kuzaa na ww just call me on 0766956027
Nipo serious, umempata mume...ni Mimi hapa.Weka mawasiliano tuanze kuyajenga!nipo serias natafuta mwanaume wa kuzaa nae
akitokea mzuri muelewa mwenye utu nishajitoa muhanga
Na ukiongezea ndio wengine wanaandamana kutaka ky sijui, daaah msitufanyie hivyo jamani.Hujaelewa kitu hapa, tatizo wanawake siku hizi wamekuw wengi Sana jaman, wanaume wachache
acheni kutafuta kiki nendeni kule love connectionNipo serious, umempata mume...ni Mimi hapa.Weka mawasiliano tuanze kuyajenga!
Siku hizi watu wana namba fake usipime unakuta yeye John namba imesajiliwa Musa so usishangae kihivyoHivi Mkuu unajiamini nin kuanika namba yako Kama njugu😳😳
Nimenyosha kidole muda tu halafu hunichagui, why?nipo serias natafuta mwanaume wa kuzaa nae
akitokea mzuri muelewa mwenye utu nishajitoa muhanga
kwani niliuliza swali gani?Nimenyosha kidole muda tu halafu hunichagui, why?
Kuolewa sasahivi imekuwa Kama sinema, asilimia sabini ya ndoa wanawake ndio waoaji na wanajitunza wenyewe na kulia watoto wao wenyewe pamoja na huyo mume yaani ni mbombongafu, Furaha ya Bibi harusi imekimbikia wapi?? Wanawake wanaolewa kwa uchungu sana bila Furaha yoyote ya kuolewa wakiwa wengi wao wamejilipia mahari wenyewe na kujinunulia Pete za uchumba kwa gharama zao wenyewe ili mradi asemwe kaolewa, sikuhizi wasioolewa ndio wajanja
Sawa kjnMkuu hapa huwa hatuweki no. Utapata shida sana. Ukipenda mzigo unaenda pm
Hilo wazo la kubaki single nalifikiria namie... Nataka niwe na watoto wasiozidi wa3 hata waku adopt nitulie kuwalea inavopaswa nimalize kaziKuoa au kuolewa sio lazima.
Kila mtu afuate hitaji la moyo wake.
Binafsi nawafahamu wanawake ambao hawataki kusikia swala la ndoa.
Wameamua kuzaa na hawataki mawasiliano na hao wanaume waliozaa nao.
Hilo wazo la kubaki single nalifikiria namie... Nataka niwe na watoto wasiozidi wa3 hata waku adopt nitulie kuwalea inavopaswa nimalize kazi
Njoo pmnipo serias natafuta mwanaume wa kuzaa nae
akitokea mzuri muelewa mwenye utu nishajitoa muhanga
Ha haa ukifikiria mauza uza ya mwenzako unaona atakuongezea stress tu. Bora niwe bize na watoto kwakweliWewe tu na ujasiri wako.
Ndo ngumu sana aisee.
Mi nahisi siitamani kabisa.
Nna mpango niwe na mtoto tu nimlee kivyangu.
Ha haa ukifikiria mauza uza ya mwenzako unaona atakuongezea stress tu. Bora niwe bize na watoto kwakweli
We kaoe tu... Mi napima upepo kwanzaHebu kaolewe huko.
Ukiwa single utakufa kwa stress.
We kaoe tu... Mi napima upepo kwanza